Hapa mkuu umedanganya leo shaw,fred,pogba,mata,bailly,perreira na lindelof wamejitahidi sana tulikuwa na mapengo mengi mno.Fred hajui mpira....sorry to say
Fred bonge la mchezaji..makosa yake yanarekebishika..hivi kuna mchezaji anayecheza utumbo kama sanchez??..rashford ashana nae!!Perreira nimemkubali sana akirudi matic kiungo kipo timamu hata fred kaonesha kuna kitu trust mkuu jamaa yupo sawa
Sanchez leo hovyo ila fred na dogo perreira walitulia katikatiSanchez ndo anayemueka martial nje!!...huu mpira huu!!
Fred yupo vizuri,yupo fasta,,naamini atatulia atakuwa mzuri
Sanchez na rashford leo hovyo sana sijui nani alitoa ushaur wa jez namba 10 hata 19 yenyewe imempwaya ya dwight yorkeFred bonge la mchezaji..makosa yake yanarekebishika..hivi kuna mchezaji anayecheza utumbo kama sanchez??..rashford ashana nae!!
Sanchez na rashford leo hovyo sana sijui nani alitoa ushaur wa jez namba 10 hata 19 yenyewe imempwaya ya dwight yorke
Yule dogo na sanchez wamenikera sana hasa sanchez anapoteza mno mpira hakana nguvu za miguu yani wanazidiwa na perreira?Ningekuwa kocha ningemtoa Rashford kwa mkopo akapate dakika nyingi za kucheza.
Si unamuona Andreas alivyokwiva.
Sio habari makombe 20 yavunjwe rekodi kwanza ndo tuanze mjadalaBeaking News. Man unite anaongaza ligi
Ndo mana mourinho alihitaj mtu wa mwisho bailly sio mtu wa mwisho zile mambo ndo zinaianika bodi na utata waoSijaona sababu ya kuruhusu wapate goal hawa watoto
Ŵewe unayejua umesajiliwa timu gani mkuu?Fred hajui mpira....sorry to say
mpira uliangalia lakini?? kiungo kilishapwaya ukiangalia Pogba, Fred, Pereira si defensive midfielders wote ni attack minded halafu wawili kati walikuwa na kadi unategemea nini na Leicester walikuwa tayari wamejisacrifice, Fellaini alihitaji ile half ya pili ilivyoanza..ova
Pogba ni mwingine kabisa,amekuwa mpya(apewe gamba kabisa)
Fellain hakupaswa kuingia kabisa leo,alikuwa kama mlevi hivi.
Yule dogo na sanchez wamenikera sana hasa sanchez anapoteza mno mpira hakana nguvu za miguu yani wanazidiwa na perreira?
Mechi moja tu mtu kaanza kuongeaŴewe unayejua umesajiliwa timu gani mkuu?
Pia Pogba alichelewa kuanza mazoezi kocha alikuwa sahihi kumtoa kadri siku zinavyokwenda timu itakaa sawa kuna watu hawakuwepo mulempira uliangalia lakini?? kiungo kilishapwaya ukiangalia Pogba, Fred, Pereira si defensive midfielders wote ni attack minded halafu wawili kati walikuwa na kadi unategemea nini na Leicester walikuwa tayari wamejisacrifice, Fellaini alihitaji ile half ya pili ilivyoanza..ova