Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aliemuelewa Sanchez naomba anielekeze leo alikua anacheza utumbo gan
Na kitu kinachoniboa mimi,ingekuwa Martial ndo kacheza hivi leo,basi angekaa benchi kwa mechi tano zijazo..narudia tena kusema sanchez usajili wake tulikurupuka tu..ni bora tungetafuta mtu wa kucheza winga ya kulia ambaye angeongeza nguvu ya ushambuliaji..

Martial sio kwamba nampenda sana,no,,sioni sababu ya sanchez kumweka benchi..

Rashford sijui anaelekea wapi huyu dogo..yasije yakawa yale ya welback

Bailly na lindelof wanaweza kutengeneza patnership nzuri,,kocha inabidi aendelee kuwapa nafasi

Perreira ni kama usajili mpya..trio yao yeye pamoja na pogba na fred ilikuwa nzuri sana...wamefanya mechi iwe na tempo ila sasa tatizo likaja kwenye washambuliaji wetu(rashford,sanchez,mata),,wote hawa walikuwa ovyo..
 
Na kitu kinachoniboa mimi,ingekuwa Martial ndo kacheza hivi leo,basi angekaa benchi kwa mechi tano zijazo..narudia tena kusema sanchez usajili wake tulikurupuka tu..ni bora tungetafuta mtu wa kucheza winga ya kulia ambaye angeongeza nguvu ya ushambuliaji..

Martial sio kwamba nampenda sana,no,,sioni sababu ya sanchez kumweka benchi..

Rashford sijui anaelekea wapi huyu dogo..yasije yakawa yale ya welback

Bailly na lindelof wanaweza kutengeneza patnership nzuri,,kocha inabidi aendelee kuwapa nafasi

Perreira ni kama usajili mpya..trio yao yeye pamoja na pogba na fred ilikuwa nzuri sana...wamefanya mechi iwe na tempo ila sasa tatizo likaja kwenye washambuliaji wetu(rashford,sanchez,mata),,wote hawa walikuwa ovyo..
Mpaka sasa sijaona impact ya maana ya ujio wa Sanchez.(japo ujio wake nilitegemea uwe na mafanikio makubwa)

Huyu Rashford dawa yake ni kumchapa mkopo tu kwa sasa.
 
Would-You-Swap_-53.jpg

ed woodward anapaswa amchukue huyu mtumishi hewa kwenye dili zake za biashara.
sehemu pekee ambayo alex sanchez anatupa faida kubwa ni nje ya uwanja.

bado tuna safari ndefu sana ya kuboresha kiwango cha uchezaji ili kufikia performance ya Manchester City, tusisahau msimu uliopita tofauti ya point ilikuwa ni zaidi ya 15 na pia kiuchezaji walikuwa juu zaidi kuliko sisi.

dah namuonea huruma sana andreas perreira kwa sababu nafasi yake analazimika kupambana na Matic wakati nafasi nyengine unakuta mchezaji anagombea nafasi na average players kama lingard, mata, smalling na jones.
 
Weka herera na matic kwny kiungo
Valencia na young kwny beki
Pale mbele toa mata weka martial.
Hapo first 11 itakua moto
 
Would-You-Swap_-53.jpg

ed woodward anapaswa amchukue huyu mtumishi hewa kwenye dili zake za biashara.
sehemu pekee ambayo alex sanchez anatupa faida kubwa ni nje ya uwanja.

bado tuna safari ndefu sana ya kuboresha kiwango cha uchezaji ili kufikia performance ya Manchester City, tusisahau msimu uliopita tofauti ya point ilikuwa ni zaidi ya 15 na pia kiuchezaji walikuwa juu zaidi kuliko sisi.

dah namuonea huruma sana andreas perreira kwa sababu nafasi yake analazimika kupambana na Matic wakati nafasi nyengine unakuta mchezaji anagombea nafasi na average players kama lingard, mata, smalling na jones.
Ed ndio alimsajili Sanchez??? Wft are you talking budah???


Hivi unajua kazi ya position ya ED?




Alex Sanchez alikuwa proposed na huyo huyo Mou kazi ya ED ni Kusaini Cheque.



Nadhani hiyo ndio sababu kubwa ya kwanini request zake za kuletewa wachezaji zimekuwa zikipigwa chini na ED.


Tafuta Job Description (,JD) utofautishe majukumu ya kocha Wa team na chief executive officer Wa team (CEO,)
 
Na kitu kinachoniboa mimi,ingekuwa Martial ndo kacheza hivi leo,basi angekaa benchi kwa mechi tano zijazo..narudia tena kusema sanchez usajili wake tulikurupuka tu..ni bora tungetafuta mtu wa kucheza winga ya kulia ambaye angeongeza nguvu ya ushambuliaji..

Martial sio kwamba nampenda sana,no,,sioni sababu ya sanchez kumweka benchi..

Rashford sijui anaelekea wapi huyu dogo..yasije yakawa yale ya welback

Bailly na lindelof wanaweza kutengeneza patnership nzuri,,kocha inabidi aendelee kuwapa nafasi

Perreira ni kama usajili mpya..trio yao yeye pamoja na pogba na fred ilikuwa nzuri sana...wamefanya mechi iwe na tempo ila sasa tatizo likaja kwenye washambuliaji wetu(rashford,sanchez,mata),,wote hawa walikuwa ovyo..
Hivi goli la kwanza amesababisha nani
Hivi ile pasi aliyekosa goli lukaku yeye na kipa aliyetoa ni nani? Tuache chuki na mapenzi tuwe tunaangalia mazuri pia sio makosa tu.
 
Hivi goli la kwanza amesababisha nani
Hivi ile pasi aliyekosa goli lukaku yeye na kipa aliyetoa ni nani? Tuache chuki na mapenzi tuwe tunaangalia mazuri pia sio makosa tu.
We jamaa vipi..kigoli uchwara kile, wewe ndo unaona amefanya kazi...sanchez huyu akuna kitu anakifanya uwanjani,na angekuwa kocha mwingine mwenye akili,hata namba hapati kwa mpira anaocheza..anacheza utafikiri mnywa gongo
 
Ila herera ndo anafit pale.fred bado makosa ni mengi sana.ila akiwa intoduced kidgokdgo atazoea
Fred yupo sharp huwezi kumlinganisha na herrera..herrera msimu uliopita mbona alicheza kawaida tu..fred na pogba ndo naona wataenda sawa..ila kuna mechi herrera lazima awepo kati kustabilize mambo
 
Msimu huu mechi za nyumbani tunavaa bukta nyeusi badala ya nyeupe tulizozizoea. Yaani ni kama tutakuwa away kwa mechi za Old Trafford
Tatizo ni jezi tunayotumia (fulana) ina rangi nyeusi kwa chini hivyo haipatani na bukta nyeupe

Vipi kuhusu soksi hujagundua tu kwamba soksi zenye rangi nyekundu nao sio utamaduni wetu uliozoeleka
Kawaida ni fulana nyekundu,bukta nyeupe na soksi nyeusi
 
Tangu ligi ianze ni Man Utd pekee ndio hajawahi kupoteza mchezo hata mmoja. Hawa jamaa wanaweza maliza ligi bila kupoteza.
 
Back
Top Bottom