Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Ha ha haha ha ha ha
Wazee wa Europaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Leagueeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wazee wa Europaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Leagueeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Yaani hapa napata bia baridiiiiiiManchester clubs zinakwenda kucheza kombe la Lucky Rangers a.k.a mchangani
Man u and Man city Out labda watakutana kwenye Europa
Mwaka huu Man U ni mndwebedo tu!!hehehehehe Carling bye bye, CL bye bye, FA Man city anawasubiri, EPL hakuna dalili kwa mambo yanavyokwenda.
Mi naungana na Mzee wenger wa JF tu kwamba jamaa wajiandae na mechi za alhamisi
![]()
![]()
...bye bye
nini?...hahahahahahaha!
Wee huoni hata hili sredi lao wamelikimbia? uskute wamebadili ID halaf wamejichanganya sredi la Arsenal lolMwaka huu Man U ni mndwebedo tu!!
Nahisi leo timu zote za Manchester zinaweza kutolewa ... ... .... Mancs watatoka kwa matokeo yasiyo juu yao dakika 50 zinazokuja zitatupa ukweli khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Prof. anapendelea wote wa-qualify ... .... ..
Wanaomboleza tu kwa sasa. Mtaani kwetu kumetuliaaaaa!!Wee huoni hata hili sredi lao wamelikimbia? uskute wamebadili ID halaf wamejichanganya sredi la Arsenal lol
MBWA WAKUBWA! NaONA JEZI ZIMEWATISHA MkAJUA BARCA.
....and the winner is.....
![]()
...who laugh lasts,....!