Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Ngoma ikivuma sana........There is s hurricane in Manchester! Sorry guys
Ngoma ikivuma sana........There is s hurricane in Manchester! Sorry guys
Ngoma ikivuma sana........
Hamna mtu atahama United ni club kubwa tofautu na vitotoor unexperience Arsenal or Chelsea au Man City nadhani kila mtu ameona kwamba mwaka huu United hawapo vizuri kwanza wachezaji baadhi wamestaafu na wengine wameuzwa na wengine wameumia so hapo hamna haja ya kuongea sana wakuu mambo bado sana......maana inafikia mpaka Mancheda anaingia ndani, hamna jinsi imebidi iwe hivyo...
Hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeman u hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee............................................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!11
tunatisha mtu wangu.
Sina la kusema
Mimi nnalo...
I think were are just not good enough...tumepata tulichostahili...tulipanda uzembe na matunda yake ni kwenda kucheza kombel la mbuzi(Europa League)...
Ukitazama mechi ya kwanza na Basel...mpaka half time 2-0 up....suprisingly tukajaishia na 3-3 draw baada ya kuruhusu jamaa kutupiga 3-2, that was uncharacteristic United Style.
.
"I play for Manchester United to play in the Champions League but some players dream of playing for United in any competition and you have to respect that.".....Patrice Evra
pole sana ndugu zangu kwa kuchezea kichapo dhidi ya basel fc au zile jezi mlijua mnacheza na baca nini poleni sana kufungwa kunauma bora sisi tumetoka kwa ushindi....
..city till i die...
Hamkujua ka wanastaafu!? Na kwa nini mliwauza!? Babatov, Valencia, Owen, Carrick nk hao Sio wachezaji wenu!?
Kocha wenu nimemuona atapata tabu sana na atakufa siku sio zake wewe subiri tu......
pole sana ndugu zangu kwa kuchezea kichapo dhidi ya basel fc au zile jezi mlijua mnacheza na baca nini poleni sana kufungwa kunauma bora sisi tumetoka kwa ushindi....
..city till i die...
ulianza kushabikia Man C lini aisee........