Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unautani wewe..martial ni nani sasa??
Inategemea na mfumo, kwenye 4-3-3 anakuwa wing forward aka mshambuliaji wa pembeni kwenye 4-2-3-1 ni attacking midfield left aka kiungo mshambuliaji wa kushoto.

Anaweza pia kucheza striker ila sio natural position yake.
 
Anaweza kucheza nafasi yoyote mbele (foward)..kipindi cha van gaal kwani alicheza no ngapi..si no 9??
Hajacheza 9 kipindi cha lvg alikuwa anacheza kiungo mshambuliaji wa kushoto, 9 ya lvg ilikuwa ni rooney na rashford mwishoni, pamoja na dogo wilson
 
Anaweza kucheza nafasi yoyote mbele (foward)..kipindi cha van gaal kwani alicheza no ngapi..si no 9??
Hilo sijakataa anacheza sehemu yoyote pele mbele ila kiasili si striker kama rashford
 
Current squad sio mbaya na depth ipo
Tatizo naona ni kocha
Kwa kikosi hikihiki cha sasa cha ManU ukimpa kocha mzuri na creative kitafanya mengi mazuri tu
Msimu uliopita nililisema hili.
Tuna timu nzuri sana,ila tunakutana na Tot tunapigiwa mpira kama watoto.


Mou muoga sana.
 
Msimu uliopita nililisema hili.
Tuna timu nzuri sana,ila tunakutana na Tot tunapigiwa mpira kama watoto.


Mou muoga sana.
Spurs hadi kuipata ile chemistry ya timu kocha wao ana muda gani? Jaman tuwe tunaangalia mbali kocha ana miaka miwili pochetino mwaka wa tano huu mnamlinganisha na mourinho aliyetukuta kipa ndio mchezaj bora wa timu miaka mitatu mfululizo?
 
Spurs hadi kuipata ile chemistry ya timu kocha wao ana muda gani? Jaman tuwe tunaangalia mbali kocha ana miaka miwili pochetino mwaka wa tano huu mnamlinganisha na mourinho aliyetukuta kipa ndio mchezaj bora wa timu miaka mitatu mfululizo?
Kwahiyo mkuu unaona tumpe miaka mingapi waziri wetu wa ulinzi? Kama kumi hivi sio?

Maana tuendako naona kiza tu
 
Kwahiyo mkuu unaona tumpe miaka mingapi waziri wetu wa ulinzi? Kama kumi hivi sio?

Maana tuendako naona kiza tu
Mkuu kwa timu pep aliyoikuta unakumbuka ilivyokuwa inatupa tabu ndo ije hii mpya ujue wengi tunajilinganisha na jirani lakin tunasahau foundation yao ilikuwa bado nzito ukija hata chelsea aliyoachiwa conte na mourinho uliona msingi wake alipojaribu kuanza kuweka misingi yake chelsea ikaanza kuyumba hilo jambo kwetu walifanya van gal na moyes kuua misingi yetu sasa hivi tunaanza upya kutafuta muunganiko wa tiku tuwe wavumilivu.
 
Kama ishu ni kujenga tim bora asilie kununua wachezaji.atumie hao hao
Katumia pesa nying kufanya usajili hakuna progres yyte misimu miwili .
Mbaya zaidi unaenda na defence mentality kwa timu kaliba ya leicester tot?
Bora ungedifens na man city cyo vibwengo vngn
 
Jana tu kacheza na bayen mechi ya kirafiki cyo ya kupoteza chochote.bora wangecheza mpira wa kuvutia cyo kupark bus .
Yaaan yule jamaa mpk hasira yan
 
Jana tu kacheza na bayen mechi ya kirafiki cyo ya kupoteza chochote.bora wangecheza mpira wa kuvutia cyo kupark bus .
Yaaan yule jamaa mpk hasira yan
Ed woorward alivyokuwa mjanja hajampa tena hela za kipuuzi za kusajili..msimu huu hamalizi pale OT
 
Mkuu kwa timu pep aliyoikuta unakumbuka ilivyokuwa inatupa tabu ndo ije hii mpya ujue wengi tunajilinganisha na jirani lakin tunasahau foundation yao ilikuwa bado nzito ukija hata chelsea aliyoachiwa conte na mourinho uliona msingi wake alipojaribu kuanza kuweka misingi yake chelsea ikaanza kuyumba hilo jambo kwetu walifanya van gal na moyes kuua misingi yetu sasa hivi tunaanza upya kutafuta muunganiko wa tiku tuwe wavumilivu.
Mkuu kama ni kujenga timu basi bora tutafute kocha anayefundisha mpira si huyu anayefundisha kujilinda.
 
Mkuu kama ni kujenga timu basi bora tutafute kocha anayefundisha mpira si huyu anayefundisha kujilinda.
Wakujenga timu alikuwa van gal maana alianza project na watoto jiulize kwa nini alitolewa? Kwa nini mourinho ana soka bovu hafukuzwi? Kuna kitu wataalam wameona tumuunge mkono kocha
 
Wakujenga timu alikuwa van gal maana alianza project na watoto jiulize kwa nini alitolewa? Kwa nini mourinho ana soka bovu hafukuzwi? Kuna kitu wataalam wameona tumuunge mkono kocha
Nitaendelea kuipenda timu yangu ila naipa matumaini kidogo sana.
 
Nitaendelea kuipenda timu yangu ila naipa matumaini kidogo sana.
Timu ipo vizur tu ni marekebisho madogo ujue mnalinganisha timu zenye misingi ya muda mrefu sana sisi misingi yetu ilivurugwa sana timu itakuja vizur

Pogba kaanza mazoez
Matic mgonjwa
Lukaku kaanza mazoezi
Valencia mgonjwa
Young anarud

Sijui mnaogopa nini yani mechi za majaribio mnatema maneno kiasi hicho van gal bingwa wa mech za majaribio na makombe yake piga sana barca na madrid hata uefa ilikuwa mzik kwenda
 
Back
Top Bottom