Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Na hilo ndio nalo lijua Mimi. Maana products za mwisho ni kina Gibson,cleverly,Welbeck na wengine. Kwa hiyo hii ya kusema man utd ina falsafa ya kuwapa nafasi makinda kutoka kwenye academy yetu ni uongo au kukariri tu.
Unasema ni uongo wakati Muda huo huo umewataja wakina cleverly, are you mentally fit ?
 
Unacho kisema ni sawa japo hata hilo ukiangalia utakuja kuona makinda walio sajiliwa na Fergie na wakapata wakiwa wadogo nafasi kwa muda wote alio kaa pale hawazidi wa 5. Japo Mimi namkumbuka Rooney na Ronaldo kidogo na Anderson japo hakufikia level za juu. Ila sajili nyingi zilikuwa ni watu ambao wako matured
Lois Nani alikuja na miaka mingapi ?
 
Unacho kisema ni sawa japo hata hilo ukiangalia utakuja kuona makinda walio sajiliwa na Fergie na wakapata wakiwa wadogo nafasi kwa muda wote alio kaa pale hawazidi wa 5. Japo Mimi namkumbuka Rooney na Ronaldo kidogo na Anderson japo hakufikia level za juu. Ila sajili nyingi zilikuwa ni watu ambao wako matured
Chicharito?
 
Unacho kisema ni sawa japo hata hilo ukiangalia utakuja kuona makinda walio sajiliwa na Fergie na wakapata wakiwa wadogo nafasi kwa muda wote alio kaa pale hawazidi wa 5. Japo Mimi namkumbuka Rooney na Ronaldo kidogo na Anderson japo hakufikia level za juu. Ila sajili nyingi zilikuwa ni watu ambao wako matured
Chicharito, Rafael, Louis Nani, Patrice Evra walikuja wakiwa na miaka mingapi
 
Unasema ni uongo wakati Muda huo huo umewataja wakina cleverly, are you mentally fit ?
Hivi Cleverly kacheza Kikosi cha kwanza mechi ngapi chini ya Fergie?.Kama Fergie aliweza kumuamini unadhani ni kwanini alimrudisha Scholes(kikongwe) na kuwafanya kina Pogba na Morrison kuondoka?

Hapo nimewataja kuonyesha hao ni baadhi ya walio toka kwenye academy na wakaonekana wana pptential lakini hawakuweza kucheza timu kwa mafanikio.
 
Lois Nani alikuja na miaka mingapi ?
Luis Nani kaja 2007 at age of 21 ila niambie 2007,2008. Wakati huo upande wa kulia kina Cr7 upande wa kushoto ni Giggs. Nani kaingia kikosi cha kwanza msimu wa 2009 baada ya giggs kuanza kucheza kati na Valencia kusajiliwa.
 
Chicharito kasajiliwa 2010 akiwa na miaka 22. Msimu wa kwanza alikuwa anaingia kama Super sub(mechi nyingi). Msimu wa pili akiwa na 23-24 ndio kaanza kucheza kwa uhakika kabla ya ujio wa RVP.
Kwahiyo hoja yako ni nini?
 
Chicharito, Rafael, Louis Nani, Patrice Evra walikuja wakiwa na miaka mingapi
Rafael kaja 2008 akiwa na miaka 18. Muda huo RB alikuwa G. Neville second choice alikuwa Wes Brown. Rafael alikuwa anacheza game chache na kilicho msaidia zaid ni hao wenye namba walikuwa kila siku wana majeruhi. Kuhusu Evra nikupe Homework ukaangalie alisajiliwa akiwa na miaka mingap halafu plus mwaka mmoja ambao chaguo la kwanza alikuwa G. Heinze.
 
Chicharito kasajiliwa 2010 akiwa na miaka 22. Msimu wa kwanza alikuwa anaingia kama Super sub(mechi nyingi). Msimu wa pili akiwa na 23-24 ndio kaanza kucheza kwa uhakika kabla ya ujio wa RVP.
Acha uongo alisajiliwa akiwa na miaka 21
 
Acha uongo alisajiliwa akiwa na miaka 21
Kabla ya kuniita muongo ungejaribu kujiridhisha japo kidogo ungekuwa umepata jibu kamili. Angalia hapo kazaliwa tarehe mwezi na mwaka gani halafu upige hesabu mpaka July 2010 alikuwa na miaka mingapi. Ukimaliza uje useme kati ya Mimi na wewe nani Muongo.
Screenshot_2018-08-06-08-26-29.jpg
 
Man U mnanifanya moyo wangu unasuuzika sana kila ninaposoma huu uzi. Mnaonekana kukata tamaa na kutomkubali Moufara.

Hamna kitu napenda maishani kama kuona Manyumbu United mkipata tabu sana. Asanteni kwa hilo. Muendelee kutaabika tu ili mioyo yetu iendelee kusuuzika.

Nasikia mnauza Pogshit kwenda Barca kwa £24M!!!! Ni kweli?
 

Kwa haraka 90% ya mashabiki wa MUFC mitandaoni wameshamchoka Mou.

Lawama zake na soka lake la kizamani.
Glory hunters hao, angalia timu yetu old trafford kumetuliaaa, ila away mashabiki kibao na wanashangilia mwanzo mwisho, ifungwe ama ishinde.

Umaarufu wa UTD umeiponza kupata mashabiki ambao timu ikifanya vibaya haiwahusu ila ikifanya vizuri hakuna mashabiki kama wao.

hili jambo lilizungumzwa msimu uliopita kwenye forums nyingi za mashabiki wa ukweli, plastic fans wanaijaza old Trafford na kusababisha uwanja uwe kimya, na Mou pia alisema measure zinatakiwa zichukuliwe ili ku improve OLD Trafford atmosphere.

Timu imesikia na sasa hivi wame introduce ticket za Bei rahisi ambazo zitauzwa kwa vijana tu prefferably local boys ili kupunguza idadi ya watalii na kuongeza amsha amsha.

Manchester-United-v-Huddersfield-Town-Premier-League.jpg


Manchester-United-v-Southampton-Premier-League-Old-Trafford.jpg


So msijali tunaoipenda United tutaendelea kuishabikia na kum support kocha wetu, timu ikitwaa makombe na nyie tunawakaribisha muje kushangilia pia.
 
Back
Top Bottom