Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,562
- 21,516
Unasema ni uongo wakati Muda huo huo umewataja wakina cleverly, are you mentally fit ?Na hilo ndio nalo lijua Mimi. Maana products za mwisho ni kina Gibson,cleverly,Welbeck na wengine. Kwa hiyo hii ya kusema man utd ina falsafa ya kuwapa nafasi makinda kutoka kwenye academy yetu ni uongo au kukariri tu.