Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Glory hunters hao, angalia timu yetu old trafford kumetuliaaa, ila away mashabiki kibao na wanashangilia mwanzo mwisho, ifungwe ama ishinde.

Umaarufu wa UTD umeiponza kupata mashabiki ambao timu ikifanya vibaya haiwahusu ila ikifanya vizuri hakuna mashabiki kama wao.

hili jambo lilizungumzwa msimu uliopita kwenye forums nyingi za mashabiki wa ukweli, plastic fans wanaijaza old Trafford na kusababisha uwanja uwe kimya, na Mou pia alisema measure zinatakiwa zichukuliwe ili ku improve OLD Trafford atmosphere.

Timu imesikia na sasa hivi wame introduce ticket za Bei rahisi ambazo zitauzwa kwa vijana tu prefferably local boys ili kupunguza idadi ya watalii na kuongeza amsha amsha.

Manchester-United-v-Huddersfield-Town-Premier-League.jpg


Manchester-United-v-Southampton-Premier-League-Old-Trafford.jpg


So msijali tunaoipenda United tutaendelea kuishabikia na kum support kocha wetu, timu ikitwaa makombe na nyie tunawakaribisha muje kushangilia pia.
Mi naona Ceo wa unuted hayupo makini na mambo ya uwanjani yeye anaangalia pesa akiumia lukaku timu haina mbadala halafu ni timu kubwa hatari sana akikosekana pogba huna mtu wa kujaza nafasi mourinhi anataka watu sio masihara ukiangalia united ya 2008 timu yetu Kwa sasa inawachezaji ambao sio wapambanaji


Hii ya 2008 kila sehemu kuna watu zaidi ya wawili

IMG_20180806_102324_808.jpg
IMG_20180806_102256_561.jpg
IMG_20180806_102207_027.jpg
IMG_20180806_102028_558.jpg
 
Glory hunters hao, angalia timu yetu old trafford kumetuliaaa, ila away mashabiki kibao na wanashangilia mwanzo mwisho, ifungwe ama ishinde.

Umaarufu wa UTD umeiponza kupata mashabiki ambao timu ikifanya vibaya haiwahusu ila ikifanya vizuri hakuna mashabiki kama wao.

hili jambo lilizungumzwa msimu uliopita kwenye forums nyingi za mashabiki wa ukweli, plastic fans wanaijaza old Trafford na kusababisha uwanja uwe kimya, na Mou pia alisema measure zinatakiwa zichukuliwe ili ku improve OLD Trafford atmosphere.

Timu imesikia na sasa hivi wame introduce ticket za Bei rahisi ambazo zitauzwa kwa vijana tu prefferably local boys ili kupunguza idadi ya watalii na kuongeza amsha amsha.

Manchester-United-v-Huddersfield-Town-Premier-League.jpg


Manchester-United-v-Southampton-Premier-League-Old-Trafford.jpg


So msijali tunaoipenda United tutaendelea kuishabikia na kum support kocha wetu, timu ikitwaa makombe na nyie tunawakaribisha muje kushangilia pia.

Mkuu hapo Hauposahihi Kabisa! Umekosea Kuwita Wale Muliotofautiana Mawazo Kuwa Ni Plastic Fans...
Unawezekana Hao Wameanza Kuifia Man United tokea wewe unasoma Kindergarten.

Scholes na Giggs hawamrate Morinho Kuwa Ni Kocha Sahihi Wa Man United, So itakuwa Wonder of the Century iwapo Mtu atawita Plastic Legends.

Tukubali Kuwa Kutofautiana Mawazo Kupo na Wala Sio Kutokupenda Timu.
 
Mkuu mnabishana sana ila mimi nilivyowaelewa wakuu humu wanaompinga Mou,

sio kama hawajui Ed ni tatizo noooo wanajua jmaa nae anazingua katika suala fulani.... But wanalalamika uchezaji wa Mou mtindo wa falsafa ya kupack bus hadi pre- season.... pia wanalalamika lawama za wazi anazotoa Mou kuhusu team na kulaumu wachezaji.....


Angalia press conference baada ya liver angekuwa mtu wa kariba ya Sir Alex au hata Duma wa Simba asingesema et "sijajifunza kitu chochote coz nusu ya wachezaji wangu wa kikosi ya kwanza hawapo, Mara Sanchez hawez kuwa na furaha kwa wachezaji anaocheza nao".....

zunguka duniani kote hadi ndondo huwezi kuta kocha anaekatisha tamaa wachezaji kama Mou.....wew kama mchezaji na unasikia kuwa kocha anasema mmecheza shit, lawama juu eti bailly hawezi kuwa kiongozi.

Kumbuka kipindi cha sir Alex yeye alikuwa anasema huwezi win games pasipo kuwa na leaders katika team, akasema wachezaji wote lazima wawe leaders kuongea na wenzao ili wapate best results, kwa Mou hii haipo kabisa.

Tukubali Mou ni binadamu na anashindwa tusiongelee mafanikio ya inter, sjui Chelsea 2005 huko, tuangalie Mou anafanya min now, utagundua anakosa option, hii issue aliisema Gary lineker siku chache kabla ya Van gal kufukuzwa alisema atafukuzwa coz hana option pia anaonekana yupo confused hajui afanye nin, at last Van gal akafikuzwa.....hii inatokea kwa Mou why asikubali kushindwa yeye awe anatafuta viteteo kuwalaumu wachezaji mmoja mmoja.....

Wakuu wachezaji weng wamezidiwa age ya kuanzia 10 na makocha wao so tunasema coaches are like Fathers......baba bora anaficha mapungufu ya wachezaji wake Mara kadhaa nimeona Simeone wa Atletico katika press anasema yeye ndo wakulaumiwa wachezaji wametoa kila walichonacho.......umeona Lin Mou kafanya hivi????
Sasa kama style ya bus ndio style ya mou unataka pre season akacheze tiktak ya nini? Pre season ni kujiandaa na msimu mpya sasa ya nini ucheze style tofauti na utakayoicheza kwenye ligi? Sisi ni watu wa bus lazima tujifunze kulipark vizuri na huu ndio mda wa kujifunza na kujifua rasmi. Bus bus bus tu daadek. Sisi tunalipaki kazi yao kulisukuma, watajua wenyewe.

Na mwaka huu nnavyokwambia sio yutong tena tunaweka kitu marcopolo newbrand. Mpk sasa chelsea liver tunazo point zao za nyumbani kwetu kwao tutapata droo sio mbaya. Arsenal tutamla nje ndani as usual. Man cty droo zote mbili so kesi.

Kama hatuwezi kuwafunga kwa nini wao watufunge? Kwa nini tusipate walau point moja? Ikiwezekana basi kila mtu ashinde kwao.

Bus Bus Bus
 
Kama kawaida mambo ya kupaki basi hata mechi za kirafiki.
Morinyo fala sana
20180806_110052.jpg
 
Mkuu hapo Hauposahihi Kabisa! Umekosea Kuwita Wale Muliotofautiana Mawazo Kuwa Ni Plastic Fans...
Unawezekana Hao Wameanza Kuifia Man United tokea wewe unasoma Kindergarten.

Scholes na Giggs hawamrate Morinho Kuwa Ni Kocha Sahihi Wa Man United, So itakuwa Wonder of the Century iwapo Mtu atawita Plastic Legends.

Tukubali Kuwa Kutofautiana Mawazo Kupo na Wala Sio Kutokupenda Timu.
Ndo upuuzi ambao unanishangaza hata mimi..ukimkosoa mourinho unaitwa plastic fan!!..WTF
 
Class hii haitokuja kutokea Mpaka tupate kocha kama Pep Guardiola. Asante naomba # TUENDELEE KUVUMILIA WADAU WENZANGU##
my%20dream%20team.jpg
 
Mkuu hapo Hauposahihi Kabisa! Umekosea Kuwita Wale Muliotofautiana Mawazo Kuwa Ni Plastic Fans...
Unawezekana Hao Wameanza Kuifia Man United tokea wewe unasoma Kindergarten.

Scholes na Giggs hawamrate Morinho Kuwa Ni Kocha Sahihi Wa Man United, So itakuwa Wonder of the Century iwapo Mtu atawita Plastic Legends.

Tukubali Kuwa Kutofautiana Mawazo Kupo na Wala Sio Kutokupenda Timu.
Garry Neville ni mfano Tosha kwamba hawapo sahihi, hao ni wachumia tumbo wanalipwa ili wakosoe ndio kazi zao kama pundit.

Huyo G Neville alikuwa akimponda sana Van Gaal japo alimaliza top 4 na akawa anajisifia yeye ndie alifanya Van Gaal asitumie 4-1-4-1 sababu alitoa weakness ya hio formation, akapewa Timu valencia alifanya nini? Walifungwa mpaka goli 7 ilikuwa ni aibu.

Msimu wa mwisho LVG tulifungana point na man city 66, tulihitaji point 1 tu kwenda UEFA, miezi 3 ile wanamzomea kocha na wachezaji pale OT wangeishangilia timu nina uhakika tungeipata hio point 1.

Kocha anapokuja kwenye Timu anapewa malengo ya club, asipoyafikia hayo malengo anafukuzwa, sio kazi ya mshabiki kumzuia kocha asifikie malengo bali ya kazi ya mshabiki ni kuwa mchezaji wa 12 kuhakikisha Timu inashinda, ni aibu kwa timu kongwe kama man U kukosa Amsha Amsha za mashabiki.

Wewe mwenyewe unafahamu, miaka 10 iliopita liver wana kombe 1 tu, lakini Atmosphere ya Anfield unaijua ilivyo na sijaona mtu akimzomea klop na kama wapo wachache sana.

kuna Timu zenye historia ndogo kama Man city, hawa wakifanya mambo kama haya kidogo huwezi ukawalaumu maana hawana historia.

Na Haya sio maneno yangu tu mkuu, ni maneno ya mashabiki wengi wanaoitakia mema United, makundi mbali mbali ya washabiki wanataka kutengwe eneo kwa ajili ya vocal fans tu hao wanaokwenda kutalii na kuzomea wakae kwao pekee.

Manchester United fans' group sends message to club over Old Trafford atmosphere

Na mechi ya Brighton nusu fainali ya FA cup walifanya trial kuna kundi la Man U la MUFC TheredArmy walitengeneza kama initiatives fulani kuwaweka vocal fans pamoja na kuchangamsha uwanja, na kweli wakafanikiwa angalia hii video


Siku zote positive criticism zinakaribishwa ila mshabiki ambaye siku zote yupo negative timu yake ikifanya vibaya, na mda wote anaponda tu huu sio utamaduni wetu Man U. Mambo haya yapo Madrid, Chelsea etc waende huko wanazomea na kubadili makocha kila baada ya muda mfupi.
 
Mambo haya yapo Madrid, Chelsea etc waende huko wanazomea na kubadili makocha kila baada ya muda mfupi.

Yaani hapa mwishoni tu ndo umekosea.

Hao mashabiki wa kuzomea kila siku wapo kila timu kama ambavyo mada yako imewaelezea wa kwenu.
 
Mi naona Ceo wa unuted hayupo makini na mambo ya uwanjani yeye anaangalia pesa akiumia lukaku timu haina mbadala halafu ni timu kubwa hatari sana akikosekana pogba huna mtu wa kujaza nafasi mourinhi anataka watu sio masihara ukiangalia united ya 2008 timu yetu Kwa sasa inawachezaji ambao sio wapambanaji


Hii ya 2008 kila sehemu kuna watu zaidi ya wawili

View attachment 828124View attachment 828126View attachment 828128View attachment 828129
Agreed mkuu, sijawahi ona man u kali kama ya 2008, ilikuwa nzuri kushinda hata ya 1999. Kila namba sub yake ni nzuri pia.

Kwa stats tu, mechi 6 alizokosa lukaku msimu uliopita tumeshinda 2 tu.
 
Garry Neville ni mfano Tosha kwamba hawapo sahihi, hao ni wachumia tumbo wanalipwa ili wakosoe ndio kazi zao kama pundit.

Huyo G Neville alikuwa akimponda sana Van Gaal japo alimaliza top 4 na akawa anajisifia yeye ndie alifanya Van Gaal asitumie 4-1-4-1 sababu alitoa weakness ya hio formation, akapewa Timu valencia alifanya nini? Walifungwa mpaka goli 7 ilikuwa ni aibu.

Msimu wa mwisho LVG tulifungana point na man city 66, tulihitaji point 1 tu kwenda UEFA, miezi 3 ile wanamzomea kocha na wachezaji pale OT wangeishangilia timu nina uhakika tungeipata hio point 1.

Kocha anapokuja kwenye Timu anapewa malengo ya club, asipoyafikia hayo malengo anafukuzwa, sio kazi ya mshabiki kumzuia kocha asifikie malengo bali ya kazi ya mshabiki ni kuwa mchezaji wa 12 kuhakikisha Timu inashinda, ni aibu kwa timu kongwe kama man U kukosa Amsha Amsha za mashabiki.

Wewe mwenyewe unafahamu, miaka 10 iliopita liver wana kombe 1 tu, lakini Atmosphere ya Anfield unaijua ilivyo na sijaona mtu akimzomea klop na kama wapo wachache sana.

kuna Timu zenye historia ndogo kama Man city, hawa wakifanya mambo kama haya kidogo huwezi ukawalaumu maana hawana historia.

Na Haya sio maneno yangu tu mkuu, ni maneno ya mashabiki wengi wanaoitakia mema United, makundi mbali mbali ya washabiki wanataka kutengwe eneo kwa ajili ya vocal fans tu hao wanaokwenda kutalii na kuzomea wakae kwao pekee.

Manchester United fans' group sends message to club over Old Trafford atmosphere

Na mechi ya Brighton nusu fainali ya FA cup walifanya trial kuna kundi la Man U la MUFC TheredArmy walitengeneza kama initiatives fulani kuwaweka vocal fans pamoja na kuchangamsha uwanja, na kweli wakafanikiwa angalia hii video


Siku zote positive criticism zinakaribishwa ila mshabiki ambaye siku zote yupo negative timu yake ikifanya vibaya, na mda wote anaponda tu huu sio utamaduni wetu Man U. Mambo haya yapo Madrid, Chelsea etc waende huko wanazomea na kubadili makocha kila baada ya muda mfupi.
Yani
 
Yaani hapa mwishoni tu ndo umekosea.

Hao mashabiki wa kuzomea kila siku wapo kila timu kama ambavyo mada yako imewaelezea wa kwenu.
Lini liverpool wanazomea wachezaji wao? Ni lini kabla ya ED woodward kuja Man U ilikuwa inazomea wachezaji wake? Barcelona ushaona wanamzomea messi au wachezaji wao?

ILA MAdrid mambo ya kawaida kina Ronaldo na Balle wanazomewa na washabiki wao kabisa, Chelsea kule kawaida makocha wachache kabisa hawajazomewa.

Kama kuzomea tungemzomea Cantona ama Ferdinand, mmoja teja na mwengine kamtandika mshabiki kung Fu kick, lakini wote mashabiki wa united walikuwa pamoja nao na walivyorudi tuliona walifanya nini, Hii ndio Man United ninayoijua mimi, hii ya kuzomea ndio naiona hivi karibuni, Na ED anajua kwanini.
 
Back
Top Bottom