1. msimu wa kwanza wa mourinho Herrera ameonesha kiwango kikubwa kupata kutokea toka aanze kucheza mpira.
2. Lukaku hajawahi cheza kwa mafanikio kama ya msimu uliopita
3. Ukitoa majeruhi Bailly anacheza vizuri sana na kiwango chake kinakua
4. DE Gea amechukua tuzo ya golden gloves (sina uhakika kama aliwahi)
5. Ibrahimovic hakuwahi kuchukua ubingwa wa ulaya kaupatia Man u hata kama ni Europa.
6. Valencia anakuwa regarded kama moja ya beki namba mbili bora duniani kwa sasa.
7. Rashford amefunga goli 7 msimu uliopita za ligi, ndio goli nyingi zaidi kufunga kwenye msimu toka aanze kucheza soka (nipe proof kwamba ameflop)
8. Martial katupia goli 10 hajafikisha zile 12 za msimu wa kwanza alipokuja ila there is no way mchezaji wa pembeni mwenye goli 10 akawa flop kama sijakosea leroy sane kamzidi goli 1 tu martial, na ukumbuke martial hajacheza mechi zote alikuwa akipokezana na rashford na sanchez
Wachezaji waliosajiliwa na mourinho kama Pogba, Bailly, ibrahimovic, Mkhitariyan, matic, lukaku etc wote wameperform vizuri sana with exception of lindelof ambae naamini ni star wetu wa baadae