Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Southgate aliposema "sitajali hali ya rashford kule man u atakuwepo Russia" unaweza itafsiri hii kauli kwa namna gani!? Kuhusu lukaku nimesema naamini alikuwa na uwezo Wa kusaidia kuliko hapo ila mfumo mbovu Wa Mwl ndo kikwazo. Kuhusu defence kama sikosei tofauti ya magoli ya kufungwa kati ya mou na van gaal ni kama 7 tu hivi. Nasema ni defence mbovu kwa sababu hii ya mou iliundwa na timu nzima na wachezaji wengine walinyimwa nafasi ya kuonyesha uwezo wao kwa sababu wote wanatakiwa kuwa mabeki na viungo wakati ile ya van gaal watu walifunguka zaidi
1. Hata defense ya van gaal ilikuwa nzuri, tofauti ya van gaal na mou ni kwamba sasa hivi tunafunga zaidi, kipindi cha lvg tulikuwa hatufungi wala hatufungwi draw za suluhu zilikuwa nyingi ama 1-1

2. So mtu akijitamba kwa waandishi wa habari na kuongea mambo mengi na asiyatimize tuamini matendo yake ama maneno yake? Nimekuuliza swali uwanjani namna southgate alivyomtumia Rashford kuna utofauti gani na alivyomtumia mou? Hujanijibu unanilitea press conference,

3. Lvg pia hawakupewa nafasi, kila kocha na mfumo wake, ndio maana mou anataka watu wake, kama mchezaji hafit huo mfumo. Mfano lvg ana tabia ya kuchezesha watu namba sio zao toka enzi hizo, di maria kuwa striker, robben kuwa striker, bastian toka winga hadi kiungo mkabaji, rooney striker to midfielder, enrique alikuwa striker mpaka akawa full back, watu nao wanalalamikia hivyo lakini huo ndio mfumo wake.

Kipindi bodi ya man u inamchukua mou ilijua fika ni kocha wa kujihami hivyo ni responsibility yao kumpa wachezaji wanaojua huo mfumo na sio kumpangia mou afanye nini yeye ndio kocha na ana final say, na utamaduni wa man u tunasimama na kocha wetu hadi mwisho wa safari, haya mambo ya kuchukia chukia mengi yanaletwa na glory hunters.
 
Jose anapenda wachezaji wenye umri mkubwa,sijawahi kusikia kamyanyua kinda kama LVG au Sir Alex.
 
Jose anapenda wachezaji wenye umri mkubwa,sijawahi kusikia kamyanyua kinda kama LVG au Sir Alex.
Scott ana umri gani? ametokea wapi? timu yetu ya under 23 imekuwa relegated unataka achukue wapi hao kinda?
okay nipe umri wa Pogba, Lukaku, Matic, Diogo, Linderlof, Fred, Eric, Sanchez halafu angalia nani ana umri mkubwa hapo uje uthibitishe kauli yako.
mnapenda sana kuongea vitu vya kusikia sikia sijui kwanini au ndio tabia zetu wabongo sielewi
 
Jose anapenda wachezaji wenye umri mkubwa,sijawahi kusikia kamyanyua kinda kama LVG au Sir Alex.
Bailly 23
Lindelof 22
Dalot 19
Lukaku 24
Pogba 25

hawa ni wachezaji walionunuliwa na Mourinho tangu aje United wenye umri chini ya miaka 25......umri ni namba tu Buffon anamiaka 40 lakini soko lake bado bichi simpo simpo sababu anadeliver

Fergie alimrudisha Scholes wakati alishastaafu nadhani unakumbuka...alimsajiri RVP akiwa na miaka 30 akawa top scorer EPL na kutupa ndoo 2012/13

CR7 umri wake unaujua na habari yake unayo???

Dembele 21, Asensio 20, Coman 20, Jesus 20 hawa ni baadhi tu unaowatetea tho hawako United hebu nitajie nani ana uhakika wa kuanza mechi 3 mfululizo kwenye timu zao??? unaetetea watoto

tumsapoti kocha penda United

GGMU
 
una akili sana chief, tatizo unabishana na wale jamaa wa kitaa wao hawanaga statistics wala facts ila manenoooo meeeeengi na kelele tupu! ukiwapiga maswali kama hayo juu wanapotea. ona huyo hata kujieleza hajui, tuna defense mbovu then tumefungwa goli chache? hapo hapo kuna mwingine anasema defense yetu ni bora kuliko ya man city kweli??? kabisa fans wengi wa man u ni fuata upepo wanaongea nonsense!
Tofautisha kati ya Wapenzi wa Mpira na Mashabiki wa mpira . Wapenzi huchambua hata uwezo wa mchezaji na alichofanya kuisaidia timu. Ashabiki wenyewe ni wapiga kelele kama waandishi wa habari wa bongo hata mpira hajawahi kucheza wala hata danadana 30 hawezi kupiga. Huba jiiiingi kukosoa bila kuwa na data/info kamili. Naomba kuwasilisha
 
Jengine ninaloliona Mimi hapa jamvini klni kwamba kunawatu JINI MRITHI anawatafuna. Watu wanamatumaini kuwa ManUtd itarudi kuwa ileeee ya SAF. 1998/1999,2000/2004. Hapana NARUDIA HAPANA MRITHI WA SIR ALEX F. naomba tuwe wavumilivu, tunashindwa kuelewa kunakocha mpenda matokeo na kunakocha MSUKA TIMU . Mfano Mourinho ni kocha wa Matokeo (results) lakini Guadiola ni kocha wa Kusuka/timu (Tactics and composition) najua wale Wapenzi wa mpira mmenielewa . asante naomba tuvumilie tusubiri matokeo
 
Leo usiku saa 21:15 kuna mechi ya kirafiki
Bayern v United
Tukubali tukatae hali ya timu bado tunaitengeneza hakuna strong tim u B ila strong Tim A inaweza patikana. Ila bado combinations hazijabalance. Na hata zikibalance halafu kwa bahati mbaya mmoja akapata majeruhi alafu ndo mnaratiba ya big match like MCity, Liverpool, Chelsea, Arsenal. Hapo ndipo Wapenzi,mashabiki, mpaka wachezaji wanakuwa wanahofu Kama vile kuna mchezaji ametolewa na kadi nyekundu katikati ya mchezo means No wins are assured/guaranteed
 
Jengine ninaloliona Mimi hapa jamvini klni kwamba kunawatu JINI MRITHI anawatafuna. Watu wanamatumaini kuwa ManUtd itarudi kuwa ileeee ya SAF. 1998/1999,2000/2004. Hapana NARUDIA HAPANA MRITHI WA SIR ALEX F. naomba tuwe wavumilivu, tunashindwa kuelewa kunakocha mpenda matokeo na kunakocha MSUKA TIMU . Mfano Mourinho ni kocha wa Matokeo (results) lakini Guadiola ni kocha wa Kusuka/timu (Tactics and composition) najua wale Wapenzi wa mpira mmenielewa . asante naomba tuvumilie tusubiri matokeo


Mkuu Sio Kwamba Mrithi Wa Sir AF hayupo! Yupo mrithi Wa Kuweza Kuleta Mafanikio zaidi ya Aliyoyaleta yeye!
Ila zama, Soko, Umiliki na Washabiki Wa Wakati Huo si Wa sasa hivi.

Kama Nipo Sahihi SAF baada ya Kukabidhiwa Timu ya Man United alikaa Miaka 6 bila ya Mafanikio akiwa anatengeza Timu tu mpaka alipopata Hicho Kizazi chake cha Mafanikio! Prove me wrong!!!!

Lakini Kwa Zama hizi Unadhani Kuna Timu itakayokubali Kumvumilia Kocha Miaka 6 bila ya Mafanikio?

Mkuu SAF hakupata Mafanikio Kirahisi Kama watu wanavyodhani Bali Alistruggle Kwa Miaka 6 mpaka akataka Kujiuzulu, Lakini Hatimae Akafanikiwa Kupata Kizazi ambacho Kilimalizika 2011.

Kwasasahivi Ni lazima Kocha astahamiliwe Atengeze Kizazi chake Ambacho Kitaleta Mafanikio! Lakini Je Kwa Mpira na Mashabiki Wa Sasa Unafikiri Wako Tayari Kumuachia Kocha Atengeze Timu hatua Kwa Hatua?

Mashabiki Wanachotaka Wao Ni Makombe tu Bila Ya Kujali Kwenye Kikosi unao Kina nani!!

Hivi wanadhani SAF Miaka 6 aliyostruggle hakukuta Wachezaji Pale United? Aliwakuta Kina Mark Hughes lakini je alifanikiwa? Bali alisubiri mpaka Katengeneza Chemistry Yake.

Kwahiyo Mrithi Wa SAF anaweza Kupatikana sana tu ila Kwa Mpira Wa sasa Timu haziko Tayari Kusubiri Mrithi Bali ziko Tayari Kumfukuza mrithi.
 
Mkuu Sio Kwamba Mrithi Wa Sir AF hayupo! Yupo mrithi Wa Kuweza Kuleta Mafanikio zaidi ya Aliyoyaleta yeye!
Ila zama, Soko, Umiliki na Washabiki Wa Wakati Huo si Wa sasa hivi.

Kama Nipo Sahihi SAF baada ya Kukabidhiwa Timu ya Man United alikaa Miaka 6 bila ya Mafanikio akiwa anatengeza Timu tu mpaka alipopata Hicho Kizazi chake cha Mafanikio! Prove me wrong!!!!

Lakini Kwa Zama hizi Unadhani Kuna Timu itakayokubali Kumvumilia Kocha Miaka 6 bila ya Mafanikio?

Mkuu SAF hakupata Mafanikio Kirahisi Kama watu wanavyodhani Bali Alistruggle Kwa Miaka 6 mpaka akataka Kujiuzulu, Lakini Hatimae Akafanikiwa Kupata Kizazi ambacho Kilimalizika 2011.

Kwasasahivi Ni lazima Kocha astahamiliwe Atengeze Kizazi chake Ambacho Kitaleta Mafanikio! Lakini Je Kwa Mpira na Mashabiki Wa Sasa Unafikiri Wako Tayari Kumuachia Kocha Atengeze Timu hatua Kwa Hatua?

Mashabiki Wanachotaka Wao Ni Makombe tu Bila Ya Kujali Kwenye Kikosi unao Kina nani!!

Hivi wanadhani SAF Miaka 6 aliyostruggle hakukuta Wachezaji Pale United? Aliwakuta Kina Mark Hughes lakini je alifanikiwa? Bali alisubiri mpaka Katengeneza Chemistry Yake.

Kwahiyo Mrithi Wa SAF anaweza Kupatikana sana tu ila Kwa Mpira Wa sasa Timu haziko Tayari Kusubiri Mrithi Bali ziko Tayari Kumfukuza mrithi.
Mmmmh
 
Bailly 23
Lindelof 22
Dalot 19
Lukaku 24
Pogba 25

hawa ni wachezaji walionunuliwa na Mourinho tangu aje United wenye umri chini ya miaka 25......umri ni namba tu Buffon anamiaka 40 lakini soko lake bado bichi simpo simpo sababu anadeliver

Fergie alimrudisha Scholes wakati alishastaafu nadhani unakumbuka...alimsajiri RVP akiwa na miaka 30 akawa top scorer EPL na kutupa ndoo 2012/13

CR7 umri wake unaujua na habari yake unayo???

Dembele 21, Asensio 20, Coman 20, Jesus 20 hawa ni baadhi tu unaowatetea tho hawako United hebu nitajie nani ana uhakika wa kuanza mechi 3 mfululizo kwenye timu zao??? unaetetea watoto

tumsapoti kocha penda United

GGMU

Mbona umemsahau Ibrahimivic ?????.Hao uliowataja wametoka kikosi cha pili.
 
Mbona umemsahau Ibrahimivic ?????.Hao uliowataja wametoka kikosi cha pili.
Msimu wa kwanza mou kachukua
IBRA 34
Mikh 27
Pogba 24
Baily 23
Wastani wa umri ni 27
Msimu wa pili kachukua
Linderlof 23
Matic 28
Lukaku 24
Wastani Ni 28. Jumla ya wastani wa wachezaji wote alio sajili kabla ya msimu huu ni 26. Ukiangalia huo wastani huwezi sema Mou amesajili wazeee. Kwa msimu miwili ameleta watu wawili tu wenye umri mkubwa.
 
Jose anapenda wachezaji wenye umri mkubwa,sijawahi kusikia kamyanyua kinda kama LVG au Sir Alex.
Hivi Fergie baada ya ile class of 92 ni makinda wangapi wengine alio wapatia nafasi ya kuingia kikosi cha Kwanzaa?
 
Hivi Fergie baada ya ile class of 92 ni makinda wangapi wengine alio wapatia nafasi ya kuingia kikosi cha Kwanzaa?


Mimi si Mshabiki Wa Man U Lakini Mpaka Mchezaji Wa Mwisho Kabisa aliyetoka Academy ambaye Ni Giggs anastaafu Kucheza Soka Basi SAF Katika Timu Hakuwa na Mchezaji Aliyepandisha Kutoka Academy akawa anacheza Kikosi Cha Kwanza Kwa Uhakika
 
Back
Top Bottom