Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kocha alimharibu sana kwa kutompa namba na kumuamini kwa kipindi kirefu hadi amekuwa upset wakati wachezaji wengi Wa France wanaocheza namba yake walipewa sana nafasi ktk vilabu vyao. Kwani hata rashford si ni uhaba tu Wa talented players tu pale england ndo ulifanya southgate amwite!? La sivyo kwa mkeka alokuwa anapewa na mou asingekuwepo Russia. Kiufupi Mou kwa kiasi kikubwa hawezi kuendeleza wachezaji wadogo
Umeongea kweli mkuu..pamoja na mafanikio machache mourinho aliyoyapata,bado ni mmoja kati ya kocha wa ovyo ovyo tu kuwahi kutokea..mpira wake hauvutii,,migogoro na wachezaji mpaka anaboa..not interested anymore kuangalia United yangu..
 
Pogba alimaliza vizur ligi?
Alikuwa anapangwa karibia kila game ukiondoa mbili tatu alizowekwa benchi. Pia naamini kocha Wa ufaransa anaamini uwezo Wa pogba ila anajua ubovu Wa Mourinho ndio unafanya mchezaji aonekane mbovu pia. Kuhusu giroud hyo siyo justification sometimes makocha wanachemka pia. Vipi kwani giroud ni mzuri kuliko benzima? Fellaini anaweza timiza vema majukumu ya namba 6 kuliko Raidja naingolan? Brandt ni mzuri zaidi kuliko Leroy sane?
 
Alikuwa anapangwa karibia kila game ukiondoa mbili tatu alizowekwa benchi. Pia naamini kocha Wa ufaransa anaamini uwezo Wa pogba ila anajua ubovu Wa Mourinho ndio unafanya mchezaji aonekane mbovu pia. Kuhusu giroud hyo siyo justification sometimes makocha wanachemka pia. Vipi kwani giroud ni mzuri kuliko benzima? Fellaini anaweza timiza vema majukumu ya namba 6 kuliko Raidja naingolan? Brandt ni mzuri zaidi kuliko Leroy sane?
Mkuu sasa kama martial ni mzur anajua mourinho ni mbovu kwa nini amuache amchukue dembele alietoka majeruh?
 
Yeyote atakayejua kucheza attacking football na kutengeneza partnership nzuri ktk defence.
Kwa upande wangu timu ipo kwa kocha sahihi sikatai kuna muda anazingua ila wachezaji wanazingua zaidi haiwezekan martial kacheza pre season kama hatak halafu anaingia chong toka sub utasema kazoefu kanaenda kubadili mech
 
Mkuu sasa kama martial ni mzur anajua mourinho ni mbovu kwa nini amuache amchukue dembele alietoka majeruh?
Mou amemfanya martial aonekane kama wewe unavyoamini. Yaani tungekuwa na kocha mzuri naamini hata Pereira angekuwa mchezaji kamili tena muhimu
 
Mou amemfanya martial aonekane kama wewe unavyoamini. Yaani tungekuwa na kocha mzuri naamini hata Pereira angekuwa mchezaji kamili tena muhimu
Hapana mpira unaonekana martial anakipaji cha mpira ila mzembe sana mbona lingard anatoboa?
 
Kwa upande wangu timu ipo kwa kocha sahihi sikatai kuna muda anazingua ila wachezaji wanazingua zaidi haiwezekan martial kacheza pre season kama hatak halafu anaingia chong toka sub utasema kazoefu kanaenda kubadili mech
Kwa kocha sahihi kwa man u hao kina tahit chong na gomes lazima mmoja wao angepewa nafasi ya kutosha na akawa ni raised star,ila kwa sababu wako mikononi mwa mou basi tutegemee ugomvi ktk next contracts za Hawa watoto.
 
Kwa kocha sahihi kwa man u hao kina tahit chong na gomes lazima mmoja wao angepewa nafasi ya kutosha na akawa ni raised star,ila kwa sababu wako mikononi mwa mou basi tutegemee ugomvi ktk next contracts za Hawa watoto.
Mourinho hapendwi tu hata sir alex hakumpa nafasi pogba muda ulikuwa bado hao wakina chong na gomez muda bado watapata nafasi tu

Huyo scott mctominay katokea wap?


Kipa kapandishwa na mourinho

Chong mourinho

Gomes mourinho


Sijajua mantik yako
 
Mourinho hapendwi tu hata sir alex hakumpa nafasi pogba muda ulikuwa bado hao wakina chong na gomez muda bado watapata nafasi tu

Huyo scott mctominay katokea wap?


Kipa kapandushwa na mourinho

Chong mourinho

Gomes mourinho


Sijajua mantik yako
Sasa ni sahihi kumuamini scot na fellaini kuliko Herrera? Ndio maana nasema jamaa anaharibu vipaji vya wachezaji. Suala la mctominay si baya ila si ktk kufikia hatua ya kumuweka benchi Herrera. Hapo ndo naamini ni kocha anayejua kutengeneza mivurugano ktk klabu tu
 
Sasa ni sahihi kumuamini scot na fellaini kuliko Herrera? Ndio maana nasema jamaa anaharibu vipaji vya wachezaji. Suala la mctominay si baya ila si ktk kufikia hatua ya kumuweka benchi Herrera. Hapo ndo naamini ni kocha anayejua kutengeneza mivurugano ktk klabu tu
Ni sahihi kinachoangaliwa ni mahitaj ya mech husika sasa scott kafit ktk mfumo unafanyaje?

Bale kakaa bench isco kaanza kuna shida?
 
Hebu niambie chong na gomes mctominay na yule kipa mdogo kocha yupi kawapandisha?
Ha ha ha mourinho nadhani huwa anapandisha wstoto ili aonekane naye ni mtu anayenyanyua watoto. Ila fuatilia watoto hao wengi wao huwatoa kwa mkopo na kuwauza juu kwa juu. Labda hapo man u itakuwa ngumu kufanya hyo Tabia yake manake pale kuna falsafa ya kukuza na kuamini wachezaji wachanga ambayo ipo ktk set up ya timu. Akifanya hivyo atapata tabu sana kama anavyopata tabu sana kama anavyopingwa sasa kumuuza martial na ED Woodward
 
Sasa ni sahihi kumuamini scot na fellaini kuliko Herrera? Ndio maana nasema jamaa anaharibu vipaji vya wachezaji. Suala la mctominay si baya ila si ktk kufikia hatua ya kumuweka benchi Herrera. Hapo ndo naamini ni kocha anayejua kutengeneza mivurugano ktk klabu tu
Herrera katoka kua mchezaji wa msimu hadi spain national team aliitwa..msimu wa pili mourinho kaanza nae benchi mechi tano mfululizo..how comes utegemee mchezaji aperform??..afterall analipwa mpunga wake kama kawa
 
Ha ha ha mourinho nadhani huwa anapandisha wstoto ili aonekane naye ni mtu anayenyanyua watoto. Ila fuatilia watoto hao wengi wao huwatoa kwa mkopo na kuwauza juu kwa juu. Labda hapo man u itakuwa ngumu kufanya hyo Tabia yake manake pale kuna falsafa ya kukuza na kuamini wachezaji wachanga ambayo ipo ktk set up ya timu. Akifanya hivyo atapata tabu sana kama anavyopata tabu sana kama anavyopingwa sasa kumuuza martial na ED Woodward
Mkuu mourinho hajapingwa na ed kumuuza martial sema bei haijafikiwa tu wanayotaka na vilabu vinavyomtaka ni vya england mtu kagoma kusain mkataba ed anazuiaje aisuzwe? Ili aje kuondoka bure
 
Mkuu mourinho hajapingwa na ed kumuuza martial sema bei haijafikiwa tu wanayotaka na vilabu vinavyomtaka ni vya england mtu kagoma kusain mkataba ed anazuiaje aisuzwe? Ili aje kuondoka bure
Man u wana option ya kuongeza mwaka mmoja ktk mkataba Wa martial. Mou anaona vyovyote poa tu wakati Woodward anaona ni muhimu sana hicho kipengele kikafanyiwa kazi
 
Back
Top Bottom