tycoonff
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 918
- 1,269
Brother muda mwingine nasisi mashabiki tuwe tunajaribu kuwa waelewa. Winga wa kushoto wapo sanchez, martial, rashford ambae anaweza pia kucheza kama striker. Hatuna winga wa kulia, huwezi kuwaweka lingard au mata wacheze kama winga na utarajie matokeo makubwa. Ni lazima tutafute winga wa kulia, willian anafaa hiyo nafasi. Martial hata akiondoka ni sawa tu maana namba yake wapo sanchez na rashford. Timu haiwezi kununua wachezaji tu bila kuuza, winga wa kushoto wapo wengi apungue mmoja tulete winga wa kulia.Unamuondoa Martial na Rojo,unawaacha smalling,jones....yani huyu mourinho sio mzima kichwani.
Hivi kweli unamuuza martial kisa Willian duuuh