Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Mfumo wake
Mfumo wa Mourinho ndio wenye matatizo, Mourinho ana wachezaji wake. Kama anaona sio mchezaji unaemfaa atafanya kila mbinu akuondoe.
Mfumo wake
hawa jamaa ni wanataka ubishani tu hawaelewi nini wanatakaSasa mchezaji mzur united ni yupi? Tatizo letu ni lipi hasa?
Yani we jamaa akili zako nacheka sana watu hapa tunajadili vizur bila kuleta mikwara ya kitoto hadi raha sasa wewe unampiga nani mkwara?Acha kumlinganisha Sir Fergie na Upuuzi. Tena nakuonya.
Class of 90's ni eveidence tosha kuwa furguson ni Mbobezi wa kuthamini soka la vijana. Hapo bado sijakutajia dau alilolitoa kwa Kinda Wayne Rooney na Christiano Ronaldo.
Naomba unitajie Game rasmi walau 5 ambazo Gomes na Chong walianza katika first eleven.
Mourinho ni mbahatishaji tu na mbinu zake zimeshakuwa outdated. Game ya UEFA kati ya Villareal na Man united Alimuanzisha Ferain aliyekuwa hajacheza kwa kipindi kisichopungua miezi miwili na kumuweka benchi Huyo Mctomminay aliyekuwa na outstanding performance vs Team zote kubwa. Sasa hapo utasema una kocha.
MSIMAMO WANGU NI ULE ULE MIAKA YOTE, Mourinho ni tatizo. Hawezi kujitatua mpaka atakapotatuliwa.
Acha kumlinganisha Sir Fergie na Upuuzi. Tena nakuonya.
Class of 90's ni eveidence tosha kuwa furguson ni Mbobezi wa kuthamini soka la vijana. Hapo bado sijakutajia dau alilolitoa kwa Kinda Wayne Rooney na Christiano Ronaldo.
Naomba unitajie Game rasmi walau 5 ambazo Gomes na Chong walianza katika first eleven.
Mourinho ni mbahatishaji tu na mbinu zake zimeshakuwa outdated. Game ya UEFA kati ya Villareal na Man united Alimuanzisha Ferain aliyekuwa hajacheza kwa kipindi kisichopungua miezi miwili na kumuweka benchi Huyo Mctomminay aliyekuwa na outstanding performance vs Team zote kubwa. Sasa hapo utasema una kocha.
MSIMAMO WANGU NI ULE ULE MIAKA YOTE, Mourinho ni tatizo. Hawezi kujitatua mpaka atakapotatuliwa.
We Jamaa nasoma comments zako zimejaa upupu.Hebu niambie chong na gomes mctominay na yule kipa mdogo kocha yupi kawapandisha?
Kisu mkuu hilo lipo wazi kila kocha huwa na mfumo wake kila kocha huwa anafagia kutafuta timu anayoona ina mfaa city,liverpool,chelsea hata spurs potchetino alifagia sana mwishowe timu hukaa sawa shida tunataka kushindana na timu zilizojijenga muda mrefuMfumo wa Mourinho ndio wenye matatizo, Mourinho ana wachezaji wake. Kama anaona sio mchezaji unaemfaa atafanya kila mbinu akuondoe.
Mkuu franceKuna timu ilitoka kwa aibu kama Germany? Nao walikuwa na madoido? Na katika timu zote zilizocheza nusu na fainali yenyewe sijaona iliyokuwa inacheza defensive game
Mimi team yangu ya Taifa ni England since wayback.Lingard ametoboa wapi??..world cup umeona alivyokuwa ovyo??
Kabisa mkuu.Hauwezi kumuanzisha Chong au Gomez kwenye mechi za mashindano.
tatizo hajui hata defensive game ikoje, hata hiyo germany sijui kama anajua kwanini ilitoka mapema.Mkuu france
Kwasababu umejitanabaisha sio shabiki wa team hii, unaruhusiwa kusom comments mkuu sio kila kitu ukommemt.nyie jamaa mna shida sana lawama zote anapewa Mou mnalishana chuki tu humu kumchukia kocha wenu bure! hao kina poch, klopp wako wapi na attacking yao? tatizo mnaona kama martial ni muhimu saaanaaaa yes anakipaji lakini kwa sasa anatakiwa mpambanaji timu inahitaji makombe sio mbwembwe! mnasahau juzi tu hapa world cup spain alitokaje? brazil katokaje? barca uefa katokaje? ivi attacking play isiyo na matunda mnaitaka yanini? mnaboa sasa
France kashambulia game ya australiatatizo hajui hata defensive game ikoje, hata hiyo germany sijui kama anajua kwanini ilitoka mapema.
hili ni jukwaa huru kama hujisikii achana na comment zangu tuKwasababu umejitanabaisha sio shabiki wa team hii, unaruhusiwa kusom comments mkuu sio kila kitu ukommemt.
Kombe bila kucheza entertaining football haina maana..nani ambaye alikuwa haenjoy kuangalia mechi za liverpool msimu uliopita??nyie jamaa mna shida sana lawama zote anapewa Mou mnalishana chuki tu humu kumchukia kocha wenu bure! hao kina poch, klopp wako wapi na attacking yao? tatizo mnaona kama martial ni muhimu saaanaaaa yes anakipaji lakini kwa sasa anatakiwa mpambanaji timu inahitaji makombe sio mbwembwe! mnasahau juzi tu hapa world cup spain alitokaje? brazil katokaje? barca uefa katokaje? ivi attacking play isiyo na matunda mnaitaka yanini? mnaboa sasa
Hii gemu ya sevilla ndo niliamini huyu jamaa ni mbahatishaji tu..jitu kama fellaini siku chache kabla ya hiyo mechi aligoma kusaini mkataba wa kuondelea kubaki united,na alikuwa hajacheza mechi nyingi,,ila mourinho alimwanzisha,,kilichotupata wote mnakijuaAcha kumlinganisha Sir Fergie na Upuuzi. Tena nakuonya.
Class of 90's ni eveidence tosha kuwa furguson ni Mbobezi wa kuthamini soka la vijana. Hapo bado sijakutajia dau alilolitoa kwa Kinda Wayne Rooney na Christiano Ronaldo.
Naomba unitajie Game rasmi walau 5 ambazo Gomes na Chong walianza katika first eleven.
Mourinho ni mbahatishaji tu na mbinu zake zimeshakuwa outdated. Game ya UEFA kati ya Villareal na Man united Alimuanzisha Ferain aliyekuwa hajacheza kwa kipindi kisichopungua miezi miwili na kumuweka benchi Huyo Mctomminay aliyekuwa na outstanding performance vs Team zote kubwa. Sasa hapo utasema una kocha.
MSIMAMO WANGU NI ULE ULE MIAKA YOTE, Mourinho ni tatizo. Hawezi kujitatua mpaka atakapotatuliwa.
You're such A watermelon Head.hawa jamaa zetu humu ndani wenyewe ni kila kitu Mou hafai Mou hafai hafai, ivi mnaona miili ya wale madogo? physically madogo hawawezi kucheza ligi kuu! watakua wanaanguka anguka tu kila wakiguswa na opponent ndio maana mou kakiri wazi kwamba wana skills but they need to develop physically! mnataka hao makocha wenu embu nambie timu gani kati ya arsenal, chelsea, liverpool imeenda pre season na hao mnaowaita madogo na wakapata nafasi?
acheni kuongopa eti mourinyo hawapi nafasi madogo si kweli wanapewa nafasi vizuri tu!
kuna kipindi rashford alipewa mda mwingi wa kucheza hadi mkaanza kusema anachoshwa! you guys ain't serious at all
nani anakumbuka hizo moments? labda salah alipata awards! wengine wote hakuna anaekumbuka hizo mnaziita entertaining moments ndio maana saivi wamevunja kibubu waimarike wabebe kombe!Kombe bila kucheza entertaining football haina maana..nani ambaye alikuwa haenjoy kuangalia mechi za liverpool msimu uliopita??
Kwahiyo ukiachwa kikosi cha team ya taifa wewe ni mbovu???Nashangaa sana mchezaji kiwango kinashuka lawama anapewa kocha hii ajabu
Kama martial talented anaachwaje anaitwa dembele aliecheza mechi chache barcelona na kaitwa katoka kwenye majeruhi?
Martial anahitaji kukaza sana
Darmian hilo kocha alifanya kosa hamna kocha asie kosea mfano mechi ya city na liverpoolHii gemu ya sevilla ndo niliamini huyu jamaa ni mbahatishaji tu..jitu kama fellaini siku chache kabla ya hiyo mechi aligoma kusaini mkataba wa kuondelea kubaki united,na alikuwa hajacheza mechi nyingi,,ila mourinho alimwanzisha,,kilichotupata wote mnakijua
Sasa hapo utasema una kocha??
Hebu weka takwimu zao per last season..unaangalia league ya ujerumani? au nawewe ni kocha? brandtz ni bora kuliko sane!