Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Acha kumlinganisha Sir Fergie na Upuuzi. Tena nakuonya.


Class of 90's ni eveidence tosha kuwa furguson ni Mbobezi wa kuthamini soka la vijana. Hapo bado sijakutajia dau alilolitoa kwa Kinda Wayne Rooney na Christiano Ronaldo.


Naomba unitajie Game rasmi walau 5 ambazo Gomes na Chong walianza katika first eleven.



Mourinho ni mbahatishaji tu na mbinu zake zimeshakuwa outdated. Game ya UEFA kati ya Villareal na Man united Alimuanzisha Ferain aliyekuwa hajacheza kwa kipindi kisichopungua miezi miwili na kumuweka benchi Huyo Mctomminay aliyekuwa na outstanding performance vs Team zote kubwa. Sasa hapo utasema una kocha.




MSIMAMO WANGU NI ULE ULE MIAKA YOTE, Mourinho ni tatizo. Hawezi kujitatua mpaka atakapotatuliwa.
Yani we jamaa akili zako nacheka sana watu hapa tunajadili vizur bila kuleta mikwara ya kitoto hadi raha sasa wewe unampiga nani mkwara?


Baada ya class of 92.nini kimefuata huwa nakupuuza sana na sipend kukujibu
 
Acha kumlinganisha Sir Fergie na Upuuzi. Tena nakuonya.


Class of 90's ni eveidence tosha kuwa furguson ni Mbobezi wa kuthamini soka la vijana. Hapo bado sijakutajia dau alilolitoa kwa Kinda Wayne Rooney na Christiano Ronaldo.


Naomba unitajie Game rasmi walau 5 ambazo Gomes na Chong walianza katika first eleven.



Mourinho ni mbahatishaji tu na mbinu zake zimeshakuwa outdated. Game ya UEFA kati ya Villareal na Man united Alimuanzisha Ferain aliyekuwa hajacheza kwa kipindi kisichopungua miezi miwili na kumuweka benchi Huyo Mctomminay aliyekuwa na outstanding performance vs Team zote kubwa. Sasa hapo utasema una kocha.




MSIMAMO WANGU NI ULE ULE MIAKA YOTE, Mourinho ni tatizo. Hawezi kujitatua mpaka atakapotatuliwa.

Hauwezi kumuanzisha Chong au Gomez kwenye mechi za mashindano.
 
Hebu niambie chong na gomes mctominay na yule kipa mdogo kocha yupi kawapandisha?
We Jamaa nasoma comments zako zimejaa upupu.

Unatokwa mapovu na hao wachezaji ambao hawapati nafasi isipokuwa mctomminay.


Mbona huwataji wachezaji vijana ambao mourinho aliwakuta Van Gal kawaweka kwenye sehem ya kikosi na amewauza kama si kuwatupilia kwenye vitimu vya hovyo. Kuna bwana mdogo alikuwa anapiga namba tatu Cameron Jake Borthwick-Jackson. Unajua huyu yuko wapi sasa?

Van Gal huyu bwana mdogo alikuwa ameshaanza kuaminiwa.


Daaah ngoja niishie hapa
 
Mfumo wa Mourinho ndio wenye matatizo, Mourinho ana wachezaji wake. Kama anaona sio mchezaji unaemfaa atafanya kila mbinu akuondoe.
Kisu mkuu hilo lipo wazi kila kocha huwa na mfumo wake kila kocha huwa anafagia kutafuta timu anayoona ina mfaa city,liverpool,chelsea hata spurs potchetino alifagia sana mwishowe timu hukaa sawa shida tunataka kushindana na timu zilizojijenga muda mrefu
 
Lingard ametoboa wapi??..world cup umeona alivyokuwa ovyo??
Mimi team yangu ya Taifa ni England since wayback.


Nasema, Dele Ali, Lingard na Sterling hawa ni wachezaji wa hovyooooo sijawahi kuwaona. Na wamechangia kwa kiasi kikubwa England kutoka nusu fainali.



Ukiona mtu mzima anamuona Lingard shujaa akapimwe akili.
 
nyie jamaa mna shida sana lawama zote anapewa Mou mnalishana chuki tu humu kumchukia kocha wenu bure! hao kina poch, klopp wako wapi na attacking yao? tatizo mnaona kama martial ni muhimu saaanaaaa yes anakipaji lakini kwa sasa anatakiwa mpambanaji timu inahitaji makombe sio mbwembwe! mnasahau juzi tu hapa world cup spain alitokaje? brazil katokaje? barca uefa katokaje? ivi attacking play isiyo na matunda mnaitaka yanini? mnaboa sasa
Kwasababu umejitanabaisha sio shabiki wa team hii, unaruhusiwa kusom comments mkuu sio kila kitu ukommemt.
 
nyie jamaa mna shida sana lawama zote anapewa Mou mnalishana chuki tu humu kumchukia kocha wenu bure! hao kina poch, klopp wako wapi na attacking yao? tatizo mnaona kama martial ni muhimu saaanaaaa yes anakipaji lakini kwa sasa anatakiwa mpambanaji timu inahitaji makombe sio mbwembwe! mnasahau juzi tu hapa world cup spain alitokaje? brazil katokaje? barca uefa katokaje? ivi attacking play isiyo na matunda mnaitaka yanini? mnaboa sasa
Kombe bila kucheza entertaining football haina maana..nani ambaye alikuwa haenjoy kuangalia mechi za liverpool msimu uliopita??
 
Acha kumlinganisha Sir Fergie na Upuuzi. Tena nakuonya.


Class of 90's ni eveidence tosha kuwa furguson ni Mbobezi wa kuthamini soka la vijana. Hapo bado sijakutajia dau alilolitoa kwa Kinda Wayne Rooney na Christiano Ronaldo.


Naomba unitajie Game rasmi walau 5 ambazo Gomes na Chong walianza katika first eleven.



Mourinho ni mbahatishaji tu na mbinu zake zimeshakuwa outdated. Game ya UEFA kati ya Villareal na Man united Alimuanzisha Ferain aliyekuwa hajacheza kwa kipindi kisichopungua miezi miwili na kumuweka benchi Huyo Mctomminay aliyekuwa na outstanding performance vs Team zote kubwa. Sasa hapo utasema una kocha.




MSIMAMO WANGU NI ULE ULE MIAKA YOTE, Mourinho ni tatizo. Hawezi kujitatua mpaka atakapotatuliwa.
Hii gemu ya sevilla ndo niliamini huyu jamaa ni mbahatishaji tu..jitu kama fellaini siku chache kabla ya hiyo mechi aligoma kusaini mkataba wa kuondelea kubaki united,na alikuwa hajacheza mechi nyingi,,ila mourinho alimwanzisha,,kilichotupata wote mnakijua

Sasa hapo utasema una kocha??
 
hawa jamaa zetu humu ndani wenyewe ni kila kitu Mou hafai Mou hafai hafai, ivi mnaona miili ya wale madogo? physically madogo hawawezi kucheza ligi kuu! watakua wanaanguka anguka tu kila wakiguswa na opponent ndio maana mou kakiri wazi kwamba wana skills but they need to develop physically! mnataka hao makocha wenu embu nambie timu gani kati ya arsenal, chelsea, liverpool imeenda pre season na hao mnaowaita madogo na wakapata nafasi?
acheni kuongopa eti mourinyo hawapi nafasi madogo si kweli wanapewa nafasi vizuri tu!
kuna kipindi rashford alipewa mda mwingi wa kucheza hadi mkaanza kusema anachoshwa! you guys ain't serious at all
You're such A watermelon Head.


Mtu unapewa £ 300 milion za usajili unakuja kusema wachezaji wana miili midogo?????


Ukimtoa Sanchez nitajie mchezaji aliesajiliwa na mourinho ambae si giant. Pogba, Lukaku, Matic, wote hao kawasajili mourinho.


Halafu vitu kama hujui you better freeze your Fucking Mouth. Hujui kama kabla ya Kuja Sanchez upande wa kushoto alikuwa anatokea Rashford au Martial?? Au umesahau??? Na kama unakumbuka kila aliekuwa anaingia kuchukua namba ya mwezake lazima akiwashe .


Mambo yamebadirika baada ya kutua sanchez. Ile rotation ya kuchezeshwa rashford na martial kwa kupokezana imepotea. Ni either mmoja acheze mwingine bench limuhusu. Fuatilia game za united utaona hili.


Lastly , kocha kulalamika ni dalili ya kushindwa.
 
Kombe bila kucheza entertaining football haina maana..nani ambaye alikuwa haenjoy kuangalia mechi za liverpool msimu uliopita??
nani anakumbuka hizo moments? labda salah alipata awards! wengine wote hakuna anaekumbuka hizo mnaziita entertaining moments ndio maana saivi wamevunja kibubu waimarike wabebe kombe!
 
Nashangaa sana mchezaji kiwango kinashuka lawama anapewa kocha hii ajabu

Kama martial talented anaachwaje anaitwa dembele aliecheza mechi chache barcelona na kaitwa katoka kwenye majeruhi?

Martial anahitaji kukaza sana
Kwahiyo ukiachwa kikosi cha team ya taifa wewe ni mbovu???


Lacazette vs Giroud nani alikuwa na takwimu nzuri ???


Sane vs Brandts nani alikuwa na mafanikio au takwimu nzuri kabla ya world cup?


Ila najua unatambua nani aliitwa World cup?


Halafu huyo Dembele alicheza game ngapi ?
 
Hii gemu ya sevilla ndo niliamini huyu jamaa ni mbahatishaji tu..jitu kama fellaini siku chache kabla ya hiyo mechi aligoma kusaini mkataba wa kuondelea kubaki united,na alikuwa hajacheza mechi nyingi,,ila mourinho alimwanzisha,,kilichotupata wote mnakijua

Sasa hapo utasema una kocha??
Darmian hilo kocha alifanya kosa hamna kocha asie kosea mfano mechi ya city na liverpool

Liverpool walikuwa wakiongoza 4-2 klopp alimtoa can na kumuingiza milner bado kidogo mechi iishe 4-4

Iiverpool vs everton

Iiverpool alikuwa akiongoza 1 klopp kamtoa salah

Everton wakarud mchezon mechi ikaisha 1-1

Mifano michache tu hiyo
 
Back
Top Bottom