911sep11
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,469
- 4,306
biashara matangazo
biashara matangazo
Lacazette nae ahame Arsenal sababu hajachaguliwa ,Wakati Martial yuko kwenye form Deschamps alimchagua Martial Euro 2016 na akampiiga benchi karibia mechi zote akamchezesha PayetMartial out of the world cup..this lad must leave this summer..hatofanikiwa chini ya mourinho
Sijaangalia tu factor hiyo..bali mustakabali wake na hapa united..tokea sanchez alivyowasili,jamaa amepoteana wakati recently alikuwa kwenye form nzuri..sioni akipata nafasi next season,so ni bora aondokeLacazette nae ahame Arsenal sababu hajachaguliwa ,Wakati Martial yuko kwenye form Deschamps alimchagua Martial Euro 2016 na akampiiga benchi karibia mechi zote akamchezesha Payet
In short Deschamps hamkubali Martial
Makocha wa timu kubwa wana challenge sana ku-deal na wachezaji chipukiziSijaangalia tu factor hiyo..bali mustakabali wake na hapa united..tokea sanchez alivyowasili,jamaa amepoteana wakati recently alikuwa kwenye form nzuri..sioni akipata nafasi next season,so ni bora aondoke
Ok..wewe unaona martial afanyaje?,au man united ifanye nini juu ya martial?Makocha wa timu kubwa wana challenge sana ku-deal na wachezaji chipukizi
Licha ya kumnunua kwa hela nyingi Dembele but Barcelona wanataka kumuuza/kumpeleka kwa mkopo kwenye timu nyingine atakayocheza mechi na kurudisha confidence yake.
Unamkumbuka Renato Sanches ? Unaweza kuamini ameshindwa kupata namba hata Swansea
Martial ni mvivu sana ila mchezaji mzur sana kuna wachezaj kuwa nao raha sana mfano firminho kama hajafunga atakaba au kutoa pass ya goli hata city wapo hivyo martial akipoteza mpira kwa heli full back wanapata shida sana kucheza na martialMartial out of the world cup..this lad must leave this summer..hatofanikiwa chini ya mourinho
Yeye martial anatakiwa kujituma sio timu ijitume akiendelea na tabia za uzembe timu inaingia sokoni anatakiwa kupigania namba akizembea atajikuta stoke city au inter millanOk..wewe unaona martial afanyaje?,au man united ifanye nini juu ya martial?
Itakuwa kosa kubwa sana kwa Mourinho kumuuza MartialOk..wewe unaona martial afanyaje?,au man united ifanye nini juu ya martial?
Ajitume wakati nafasi ya kupata game time ni ndogo..mi naona wamweke tu sokoni..na pia naona mourinho hampendi..mourinho angekuwa amepangua wachezaji wengi tu,sema sera za united zinambana..Yeye martial anatakiwa kujituma sio timu ijitume akiendelea na tabia za uzembe timu inaingia sokoni anatakiwa kupigania namba akizembea atajikuta stoke city au inter millan
Sioni wa kumtoa lukaku pale mbele nikiangalia kwa jins anavyopambana na mabek kwa zile nguvu kuangusha mipira ni hivyo tu bado rashford na martial wanashindwa kutumia nafas hizo gem nyingi sana mipira imetoka kwa de gea moja kwa moja kwenda kwa likaku ambapo hiyo mipira imakuwa na madhara lakini hawez de gae kumpigia martial na rashfordItakuwa kosa kubwa sana kwa Mourinho kumuuza Martial
1.Martial anapaswa kuongeza workrate yake (Young,Valencia,Lingard ) wanacheza sababu workrate yao ni kubwa.Jose anaitumia sana hiyo factor
2.Mourinho anapaswa kuwa flexible kutengeneza formation ya kuwatumia Martial,Lukaku& Sanchez.
Lukaku anatakiwa kufanyiwa rotation na Sanchez anaweza akacheza kama striker
3.Last option ni kumpeleka kwa mkopo wa msimu mmoja Martial au Rashford ili apate uzoefu wa kutosha(Lukaku,Kane,JT) walicheza kwa mkopo na wakaja kuwa wachezaji wazuri
Mechi 44 kacheza vipi na kufunga goli 11?Ajitume wakati nafasi ya kupata game time ni ndogo..mi naona wamweke tu sokoni..na pia naona mourinho hampendi..mourinho angekuwa amepangua wachezaji wengi tu,sema sera za united zinambana..
Itakuwa kosa kubwa sana kama Mourinho atamuuza MartialOk..wewe unaona martial afanyaje?,au man united ifanye nini juu ya martial?
Leta game time baada ya sanchez kuja..Mechi 44 kacheza vipi na kufunga goli 11?
Sasa jiulize kwa nini kaletwa sanchez ikiwa martial anacheza vizur?Leta game time baada ya sanchez kuja..
Hivi form ya martial ya january,sanchez ameifikia hata robo?..nilikuwa sijaona sababu za kusajili mchezaji nafasi ya LW,labda RW,sababu on left flank,tunawatu kama martial/rashford ambao walikuwa wancompete kwenye hiyo nafasiSasa jiulize kwa nini kaletwa sanchez ikiwa martial anacheza vizur?
City walishindwa kumchukua sanchez kufuatana na kiwango bora cha sane sasa niambie kat ya rashford na martial nani alikuwa na muendelezo bora wa kiwango?
Mi siwezi kuendelea na mjadala wa martial ila ninachoweza kukwambia mourinho hana cha kufanya juu ya martial mchawi ni yeye mwenyewe kwa nini sio lingard?Hivi form ya martial ya january,sanchez ameifikia hata robo?..nilikuwa sijaona sababu za kusajili mchezaji nafasi ya LW,labda RW,sababu on left flank,tunawatu kama martial/rashford ambao walikuwa wancompete kwenye hiyo nafasi
So its better martial awekwe sokoni..