Labda mganga kasema ndio ana nyota ya goliRashbeck
![]()
Chalsea mbovu inawatoa jashoAll the best man u..stil we have many chances
Chalsea mbovu inawatoa jasho
Duh hamumtaki mara hii ? Anapomwagaga pesa kununua wachezaji huwa mnamsifia. Lakini mlijua staili ya mpira anaofundisha attackers anawafanya defenders, midfielders wanakuwa defenders. GGMourinhoforeverJose ni janga sijawahi kumkubali muda ni Mwl mzuri.
SOMETIMES FOOTBALL IS ALL ABOUT LUCK
Duh hamumtaki mara hii ? Anapomwagaga pesa kununua wachezaji huwa mnamsifia. Lakini mlijua staili ya mpira anaofundisha attackers anawafanya defenders, midfielders wanakuwa defenders. GGMourinhoforever
Ngongo mkuu unakosea martial na rashford ukitegemea wawe striker maumivu kocha sijaona tatizo angalia nafas zilizotengenezwa na umakin wa ufungaji sizan kama martial aliagizwa na kocha awe anapiga vile jones kumtumia kama bek ni hatar sanaJose ni janga sijawahi kumkubali muda ni Mwl mzuri.
Shida mmaliziaji chelsea mbele alikuwa hazard tu angalia impact aliyokuwa nayo hata dakika mbili alizocheza willian kaonesha madhara mapema sanaSidhani wakati mwingine unaona team ipo hovyo.Fikiria kipindi cha kwanza Man hawakuwa na shoot on target