Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hahahaha watu mna matusi humu. Ina maana Man Utd wamekuwa very cheap kiasi hiki.
sio cheap mkuu, its just mazingira yanafanana na kwetu. wangepiga kwenye snow, viwanja vya kisasa, etc ingekuwa ni mazingira tofauti.

kwa ambao tumeshafanya kazi kwenye duka hilo geti la vibati bati tumeshashusha na kupandisha sana, ni mazingira ambayo tumeyazoea.
 
Antonio Valencia has 90+% pass accuracy every match. Of all his passes.

Backward: 65%
Sideways: 32%
Forward: 3%
Tungekuwa na kocha anaeitakia mema timu yetu,wangeingia sokoni kutafuta fullbacks wenye uwezo kidogo..hivi mnaonaga kyle walker anavopandaga juu na kwa ubora na kufanya timu inashambulia vizuri??

Huyu valencia kashachoka for shure,young is not that good kwa upande wangu,shaw angepata maelekezo mazuri naamini angefit pale vizuri tu..
 
Tungekuwa na kocha anaeitakia mema timu yetu,wangeingia sokoni kutafuta fullbacks wenye uwezo kidogo..hivi mnaonaga kyle walker anavopandaga juu na kwa ubora na kufanya timu inashambulia vizuri??

Huyu valencia kashachoka for shure,young is not that good kwa upande wangu,shaw angepata maelekezo mazuri naamini angefit pale vizuri tu..
Wewe ni mtanzania halisi.
 
Antonio Valencia has 90+% pass accuracy every match. Of all his passes.

Backward: 65%
Sideways: 32%
Forward: 3%
Niliwahi kusome United tunahitaji new full back mpira wa siku hizi unawategemea sana fullback kwenye kushambulia na hatuna hata mmoja

Sijafuatilia maendeleo ya Rafael huko France but ana DNA ya kucheza United
 
Daah kuna watu walisema ligi itaisha hivi;
1. Man City
2. Liverpool
3. Spurs
4. United
 
Daah kuna watu walisema ligi itaisha hivi;
1. Man City
2. Liverpool
3. Spurs
4. United


Sio Kuna Watu Mkuu! Kuna Mtu Kila Kati Ya Msimu (January) Husema Hivyo..
ila Mwanzo Wa Kila Msimu Husema Namba 1 ni Liverpool..
 
Sasa huyu nae kwenye parade ya man city kaenda kufanya nini?
IMG_20180515_132030.jpg
 
Back
Top Bottom