SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Katika sub ambayo sijaielewa ni kumtoa herrera na kumuacha mata ambae toka gemu inaanza alikua ameflop kitambo yani dah. Hii timu nadhani hata msimu ujao ni haya haya leo furaha kesho huzuni kama Arsenal![]()
![]()
![]()
Mwache the special one afanye mambo yake
