mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Good morninggg
Mkuu ukisema kwa mlango wa nyuma unamaanisha mmefokolewa.?Yaani tumeamua kumpa City ubingwa kwa mlango wa nyuma
Mkuu kama siyo Makhirikhiri itakua walikua wanacheza sankoro.Aliye elewa hii timu yetu ilikua inacheza nini, anieleweshe.?
Shubhaamit, jero yangu imeenda bure tu
Alikuja kutafuta team kubwa kama wenye jukwaa hili wanavyosemaHivi sanchez alikuja man united kufanya nini??
Sanchez kwa aina ya mpira wa Mou tutamlaumu sana sio yeye ata hao wengine ndio hvyoHivi sanchez alikuja man united kufanya nini??
So,ni bora huyu mhuni wa kireno anayejiita "special one" aondoke sio??Sanchez kwa aina ya mpira wa Mou tutamlaumu sana sio yeye ata hao wengine ndio hvyo
Mou wa ajabu sana
Kawafunga wanaoongoza ligi na kufungwa na washika mkia wa ligi
Mkuu wakati mwingine tutatenda dhambi tu,Sanchez ni 'mtu'Hivi sanchez alikuja man united kufanya nini??
Haya mambo mbona akina martial na rashford washafanya..kwahiyo rashford asipewe lawama yoyote kisa alifunga goli mbili dhidi ya liverpool??...nachosema ni kwamba sanchez angetakiwa awe anainfuence mechi kwa kiasi kikubwa na sio kufanya vitu basic ambavyo mchezaji yoyote anaweza kuvifanya..Mkuu wakati mwingine tutatenda dhambi tu,Sanchez ni 'mtu'
Mchezo dhidi ya city goal zote tatu zinatokana na mchango wake na upambanaji wake,aliassist mara mbili na ile assist ya kifua ya Herrera mpira ulitoka kwake baada ya kuwapita mabeki kiajabu.
Lawama zote abebe Mou,maana hadi tunamaliza msimu tupo nafasi ya pili(sijui kama tutamaliza wa pili)tunashinda kiajabu ajabu tu.
Katika sub ambayo sijaielewa ni kumtoa herrera na kumuacha mata ambae toka gemu inaanza alikua ameflop kitambo yani dah. Hii timu nadhani hata msimu ujao ni haya haya leo furaha kesho huzuni kama ArsenalHivi kwanini Mou alimtoa Herrera?
Halafu mbona babu Ferguson bado ana afya njema tu,kwani hawezi kurudi Mou akawa msaidizi?
Kikosi Mou alipanga vizuri ila sub zile sijazielewa kabisa.
