ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 4,970
- 6,964
Sawa sawa na amewapa yellow card 2 kama sio 3Mie nimeiona kazi ya fundi herrera kuwakata pumzi city kwa kukaa na mipira mguuni hivyo kusababisha wapanic. Nadhani ndio mchezaji anayeongoza kwa kuchezewa faulo nyingi kwenye derby ya leo.
GGMU.