stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,998
- 4,250
Refa si amalize tu huu mpira?🙂🙂🙂Hawatutishi hao mkuu
(najipa moyo)![]()
Nadhani umesikia pundits wanasema nn juu yetu ....Sijaona mantic ya swali lako akati unaona timu inadefend mda wote kama timu ya mabeki 3...Playing style ipi hiyo unayoongelea?
Nashukuru kwa kunijibia mkuu.Huoni tunavyochezaga ama? Timu inacheza cheza tu. Selection ya wachezaji itamcost JM.
Uishe tu weekend yetu iwe poaRefa si amalize tu huu mpira?🙂🙂🙂
Tatu kwa mbiliNgapi ngapi uko wakuu?
Aibu yaoHawa watangazaji Jim Beagley na Drury wanaichukia sana Man Utd.