Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Performance ya leo sijaiona kwa muda mrefu sana.

Imenikumbusha glory days chini ya utawala wa Sir Alex Ferguson pale ambapo tulikuwa tunapambana mpaka dakika ya mwisho.

Inatokea mara chache sana katika career ya Mourinho, kwenye big match tena akiwa ugenini kufunguka kama alivyofanya leo.

Ahsante Mourinho kwa kulinda heshima na Brand ya Man Utd leo kwa kutompa ubingwa City.

Daima utakumbukwa na wanazi wa Man Utd kwa mechi ya leo.


Manchester is Red.
 
Hongereni kwa ushindi mnono ila timu yenu bado kabisa . Ni mwaka wa De Gea huu ama sivyo msingekuwa mlipo.Najua city watalibeba eventually ila sikutaka Pep alibebe kirahisi rahisi bila maumivu. Nasubiri Liverpool wawagonge City j4.
De gea alifanya save mbili tu za wazi leo. Unataka kusemaje tena.
 
Nilikuwa namuonea huruma Giggs wakati wa mapumziko sura ilikuwa inatia huruma ile mbaya
 
Back
Top Bottom