Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Mbona anatembeza mipira vizuri tu??Pogba leo kaongezea rangi nyingine kichwani, kaongeza blue, lakini mguuni hana mpira kabisa, sijui ile control iliishia wapi.
Mbona anatembeza mipira vizuri tu??Pogba leo kaongezea rangi nyingine kichwani, kaongeza blue, lakini mguuni hana mpira kabisa, sijui ile control iliishia wapi.
Mi nashangaa..mi naona pogba hayupo vibaya kama wadau wanavosemaHakuna mchezaji kwa sasa kwenye pitch anayeonesha uwezo wa kuujua mpira km Pogba. Mpira wake ni wa burudani sana. Na ndiye anayedictate mpira upande wa United
Hajapoteza wala kupokwa mpira na opponent, amerelax na anacontrol ya kiwango cha juuHakuna mchezaji kwa sasa kwenye pitch anayeonesha uwezo wa kuujua mpira km Pogba. Mpira wake ni wa burudani sana. Na ndiye anayedictate mpira upande wa United
Dakika ya 60Dk ya ngapi wakuu
Mkuu kama ndio unachotaka timu utaikimbia hii..timu ya ushindi ni timu ya kukimbiza, Angalia kina deBruine wanavyokimbiza na timu inashinda goli nyingi, hapa hatuhitaji kurelax.Hajapoteza wala kupokwa mpira na opponent, amerelax na anacontrol ya kiwango cha juu
Daaa we ndugu ni kama Mimi japo najitahidi kucheki game wanazochezaHii timu yetu tokea ifanye ujinga ile gemu ya sevilla,me am done with them..mzuka hata wakucheki mechi tu sina
Sahivi tupambane na FA tuDaaa we ndugu ni kama Mimi japo najitahidi kucheki game wanazocheza
Mawazo yako hayana backup yeyoteMtakuwa wa 3 EPL!
Hayo ni mafanikio makubwa sana toka kuwa wa 6 mwaka jana!
Man City
Liverpool
Man United
Tottenham
Nkamu gwangu tumechoka lakini siyo kama wewe tunamaliza hapo hapo, twa masiku Malafyale!!Mtakuwa wa 3 EPL!
Hayo ni mafanikio makubwa sana toka kuwa wa 6 mwaka jana!
Man City
Liverpool
Man United
Tottenham
Comical Alli katika ubora wako.Mtakuwa wa 3 EPL!
Hayo ni mafanikio makubwa sana toka kuwa wa 6 mwaka jana!
Man City
Liverpool
Man United
Tottenham
Kuna uwezekano mkubwa Totts akakupiga punch hadi kuingilia mlango wa dharura UEFA.Mtakuwa wa 3 EPL!
Hayo ni mafanikio makubwa sana toka kuwa wa 6 mwaka jana!
Man City
Liverpool
Man United
Tottenham