GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,380
Mkuu unaangalia kupitia wap
Mkuu unaangalia kupitia wap
Supersport mkuuMkuu unaangalia kupitia wap
Safiiiii!!!!Maticcccccccccccc 2-0
Yaaas Rashford in...hapa ndio utajua ujinga wa Mou, yaani Mata anazungusha uwanja mzima anamtoa? Hata watangazaji wanaguna hapa. Mou ni tatizo kubwa
Anatukaba sana hana makali yoyote,nadhani hawa ndio wanaitwaga Machachari lakini sio hatari.Mr Martial nakusalimia
Nataka nikupigie simuGood, Glory Glory Manchester United