Kipigo kibaya hadi kwenye mechi ya ligi jamaa Anaomba agrigetiii hadi mashutiHii mechi ingekuwa fainali, Man United tumewatoa kwa sababu mechi ya kwanza 5 November mwaka jana Chelsea tulishinda 1-0 pale Stanford Bridge goli la Alvaro Morata akisaidiwan na César Azpilicueta dk ya 55
Na mechi zote mbili tulikuwa na shots nyingi, short on target nyingi, passes nyingi na possession 54% na ya jana 56%
Kaja huyuNipeni picha ya wale zeruzeru wa VIP enzi ya fergie
Wasenge wameondoka na uchawi wa OT
Shoga tu huyu waje jamaa walikua ndio wabeba tunguli za babu daah baada ya kustaafu na wao wakakimbiaKaja huyu![]()
Halafu, jezi namba 39 si ndiyo alianza nayo Rashford na kipindi hicho akawa anatupia balaa?Kaja huyu![]()
Naona hujaelewa mkuu, angalia vizuri hiyo pichaShoga tu huyu waje jamaa walikua ndio wabeba tunguli za babu daah baada ya kustaafu na wao wakakimbia
Kaja huyu![]()
Mmeshaanza. Kabla Mourinho hajaanza kazi, mlisema hamuoni future ya Rashford, Lingard na Martial. Namba wanapewa ila wanambwela tu.Huyu Dogo Anakipaji Kizuri tu! Lakini Kwa Ninavyomuelewa Mourinho basi siioni Future ya Huyu Dogo.
Ukitaka kuona kama huyu ana future kwa mourinho dogo anacheza kwa maelezo vile kocha anataka havuk mstar ni mtu sahihi kwa mbinu zake ni nadra kumuona akipanda.Huyu Dogo Anakipaji Kizuri tu! Lakini Kwa Ninavyomuelewa Mourinho basi siioni Future ya Huyu Dogo.
Huyu scott alifanya vizur sana mechi za maandalizi ya msimu ukiona kocha hakutaka kumtoa kwa mkopo halafu namba anayocheza ina wakongwe na wataalamu jiulize sana kuna herrera,carick,matic,pogba kwa nini abaki?Shoga tu huyu waje jamaa walikua ndio wabeba tunguli za babu daah baada ya kustaafu na wao wakakimbia
kipaji kipya hicho kutoka Ureno
Rashford alikuwa akichezeshwa namba yake aliyoiozea sasa mfumo wa kumtoa kushoto na kulia umempoteza ila atakaa sawa tu ni mzur akicheza namba 9 sasa kuna ule ujio wa zlatan na lukaku umemfanya kocha awe anamtafutia sehemu ya kuchezaHalafu, jezi namba 39 si ndiyo alianza nayo Rashford na kipindi hicho akawa anatupia balaa?
Gelson MartinsJina
Katika wachezaji ambao naamini watakuwa na future kwa Mourinho, huyu dogo yumo. Anakwenda na vile anavotaka Mou. Nimemsoma jamaa anacheza mpira kama kazi sio ubishoo kama wachezaji wengine. Na ni mtulivu sana na yupo makini.Huyu Dogo Anakipaji Kizuri tu! Lakini Kwa Ninavyomuelewa Mourinho basi siioni Future ya Huyu Dogo.
Finali ipi? Copa del rey au? Maana final haitizamwi mechi ilopita ilikuwa ngap ngapi 😀 😀 😀Hii mechi ingekuwa fainali, Man United tumewatoa kwa sababu mechi ya kwanza 5 November mwaka jana Chelsea tulishinda 1-0 pale Stanford Bridge goli la Alvaro Morata akisaidiwan na César Azpilicueta dk ya 55
Na mechi zote mbili tulikuwa na shots nyingi, short on target nyingi, passes nyingi na possession 54% na ya jana 56%
Mmeshaanza. Kabla Mourinho hajaanza kazi, mlisema hamuoni future ya Rashford, Lingard na Martial. Namba wanapewa ila wanambwela tu.
Finali ipi? Copa del rey au? Maana final haitizamwi mechi ilopita ilikuwa ngap ngapi 😀 😀 😀
Rashford ni mmoja ya wachezaji waliocheza mechi nyingi barani ulaya since last season(tangu Mourinho amekuja)Hapa Hatupo Kubishana Bali Kueleza ideas zinazohusu Soccer!
Hivi Hao uliowataja (Rashford, Lingard na Martial) Nani hapo aliyekuwa ana Future Man U?
Hapana Hata mmoja hapo ambaye ana uhakika Wa FXI.
Au Hujui Kama Mourinho yupo sokoni Kutafuta World Class Watakao Cheza Hizo Nafasi Wanazocheza Hao?
Kuja Kwa Sanchez tu Rashford Kashaanza Kupotezwa!
Sasa Subiri Usajili Wa Next Season Uone Uone Mwisho Wa Hao Madogo.