Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ona Pogba tunashambulia baada kuongezeka anatembea tu inabidi bei yake ichunguzwe
 
Mnabwabwaja sana nlikwambia huna ubavu wa kushinda pale subir mechi ya barcelona uwe unakamia umeona lukaku anavyocheza na timu ndogo?
 
Mnabwabwaja sana nlikwambia huna ubavu wa kushinda pale subir mechi ya barcelona uwe unakamia umeona lukaku anavyocheza na timu ndogo?
Timu ndogo ni ipi???? Hapa nashindwa kukuelewa

Hawa Chelsea sio wali droo na Barcelona ???
 
Jamaa kawa-mock ambao huwa wanasema Lukaku anazifunga timu ndogo tu. Maana leo kapiga goli na katoa assist. So kwa kauli ya Lukaku anazifunga timu ndogo tu, basi Chelsea nayo ndogo.

Mkuu,

Nilimuelewa jamaa ndio maana nikaandika "Labda", ila kiukweli Chelsea ni timu ndogo; YES ni timu ndogo kuifananisha na na Manchester United

Haters always wanaongea vibaya kuhusu Utd, as long as Lukaku anatufungia magoli hatujali anawafunga Swansea au Burnley inatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…