Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimetizama press kadhaa kadhaa za kocha wetu mou jana nikijaribu kuangalia kama ana lolote jipya kuhusu performance ya tim recently nimegundua vitu kadhaaa ila cha muhimu ni kwamba mou ni kama anajua anachokifanya hebu tusubiri tuone.

Kuna moja hivi anaulizwa kuhusiana na relation yake na position ya pogba anajibu kwa kudai pundits wengi wanaongopa akalirudisha swali kwa mwandishi akiuliza game dhidi ya newcastle alimchezesha pogba nafasi gani wakaanza kumshangaa, mmoja akaropoka 'midfield' akauliza je tulicheza na sita wawili na nane mmoja au tulicheza na nane wawili na sita mmoja au sita mmoja nane mmoja na kumi wawili? Alafu akauliza ni nafasi gani hasa nzuri zaidi kumchezesha paul? Akajijibu mwenyewe akasema game ya newcastle alichezesha sita mmoja (matic) na nane wawili pogba akicheza upande wa kushoto ambayo ndio nafasi yake sahihi alaf akasema ni fair kusema pogba hafanyi vizuri ss hv ila sio kwenda kwenye ooh hafurahii position anayochezeshwa ooh ana ugomvi na mou na vitu kama hivyo.

Nyingine anaulizwa khs alexis kama ni kheri acheze kwa kufuata details za kocha zaidi au awe freel tu, akasema akikutana na bekhs au scholes au keane atawauliza kipindi hiko wanacheza man utd je walikiwa wakipoteza mpira wanasimama katikati au wanarudi kukaba? Kwenye timu yake jambo ni moja tu na simple 'tukiwa na mpira tunashambulia hatuna mpira tunakaba baaasi'
 
Hapana sio mwandishi wa habari bali habari nazitoa kwa waandishi na kuwaletea huku
leo ngoja nikuulize, wewe huwa ni mwadizi wa hbr? i.e carrier yako ni uandishi?

maana maandishi yako huwa ni ya mulengo huo.

.....hongera.....
 
Fabian delph hakuflop kwenye midfield role kama ilivyo kwa Valencia, Valencia na young walinunuliwa kuwa wabadala wa Giggs na Ronaldo kama ma winger, lakini HAKUNA aliye fanikiwa kwenye hiyo nafasi, Valencia alianza kuchezeshwa kama full back baada ya akina Darmian, blind kushindwa ku cover vema hiyo nafasi.

Luke shaw nae hana consistency ya kiwango chake, kuna mechi anakua vizuri na kuna mechi anakua hovyo, hadi sasa ni msimu wake wa nne na kacheza mechi takribani 60, wastani wa mechi 14 kama sio 16 kwa msimu labda tujiulize hizo mechi zingine (league + FA cup + uefa/europa na carabao cup) pindi ye akiwa majeruhi au out of form nani ana cover? Je tuna natural left back mwingine ukiachana na shaw?

Smalling na Jones wana miaka zaidi ya saba pale Manchester lakini ni wachezaji ambao hata west brome nina wasiwasi kama wanaweza kupata namba. Je miaka yote hiyo ni mourinho alikua ana wakumbatia? Sikatai mourinho ana makosa yake mengi tu lakini embu tujaribu kuangalia behind the scene, tatizo la Manchester ni zaidi ya mourinho. Ni wachache wanaoweza kunielewa na maanisha nini, tatizo letu mashabiki huwa tunaangalia kile kinachotokea uwanjani tu, tuifunge watford, arsenal na chelsea ili tushangilie then tusahau, lakini kama kweli tunataka tushindane na the so called giants kama Barcelona, madrid, man city (lol) , bayern na hata PSG basi kuna takiwa kuwe na mabadiliko makubwa sana si uwanjani tu hadi nje ya uwanja.
Nakubaliana na wewe Fabian delph hakuflop , kwahyo unataka kuniambia Valencia aliflop ???? Unaukumbuka msimu Wa mwisho Wa sir Alex furguson ??? Valencia alikuwa miongoni Mwa wachezaji waandamizi waliofanikisha Van PerSie kubeba kiatu cha dhahabu. Kwa taarifa yako Valencia hakushuka kiwango kama sababu ya kuchezeshwa namba mbili. Ni ubishi Wa Van Gal kumuuza Rafael na Kumsajili Memphis Depay.


Depay alisajiliwa ili aje kucheza namba saba aliyokuwa anacheza Valencia hivyo basi Valencia alirudishwa nyuma kucheza namba mbili aliyokuwa akiicheza Rafael Dos Santos. From there Valencia amekuwa na "consistency performance" kama ilivyo kwa David De Gea. Leo kuja kusema Valencia alishuka kiwango ni kumkosea heshima.




Sasa turudi kwa hao Wakina Luke shaw, Smalling na Jones.

Ni ukweli usiopingika kuwa Smalling ni mchezaji Wa kawaida tena sanaaaaaa. Kama una mchezaji Wa kawaida kama Smalling na unacheza defensively what do you expect ??? .. Hapa ndipo Mbinu za Mwalimu zonapochunguzwa. Unapokuwa na average defender kama Smalling na bado unacheza kwa kupack bus Nani Wa kulaumiwa???. Yani ni sawa na unajijua una kigugumizi unaleta ubishi Wa maneno na mzaramo lazima uumie tu. Morinho hajui aina ipi ya wachezaji aliyo nayo wanastahili aina ipi ya uchezaji.

Unapokuwa na mabeki uchochoro kama Smalling dawa ni kucheza kwa kuattack attack attack attack ili kupunguza presha kubwa golini kwako zinazoweza kuzaa magoli. Unamfahamu Gerald Pique kwangu Mimi ni beki Wa kawaida saaaaaaaaaaaaaaaana kinachombeba tangu enzi za Giardiola pale Barcelona ni ile "Total football " na attack attack attack ya Barcelona inayowapunguzia mabeki presha kubwa golini. Issue ni mourinho siwezi kulaumu wachezaji kwa sababu hao wakina Jones na Smalling walokuwepo tangu enzi za babu na wameshabeba vikombe kadhaa.

Kama Mourinho anampiga benchi Rojo dhidi ya Smalling unategemea nini??? Nani tumlaumu ????



Nije kwa Ashley young napingana na wewe 100% kuwa alichezeshwa namba tatu kwa sababu ya kushuka kiwango... Nenda kaangalie misimu miwili ya Kocha Van Gal winga aliekuwa anacheza kushoto ni Nani. He had a fantastic performance ... Nenda kaangalie league review kule you tube. Hata msimu huu kuna baadhi ya mechi unanona kabisa kama Ashley young akiachwa acheze kama winga tutapata matokeo yake mazuri kuzidi anavyochezeshwa kama beki Wa kushoto.



Jamani tukubali tukatae na nirudia ile kauli yangu " Mourinho hana mbinu za kuivusha hii team" , mwisho Wa siku mbinu zake za hovyo zinapelekea wachezaji kuonekana Wa hovyo....


Una mabeki Young , Smalling ,Jones na Valencia halafu unapack basi. Huu ni ujinga ambao hauwezi kufanywa hata na kocha Wa lipuli.
 
Nimetizama press kadhaa kadhaa za kocha wetu mou jana nikijaribu kuangalia kama ana lolote jipya kuhusu performance ya tim recently nimegundua vitu kadhaaa ila cha muhimu ni kwamba mou ni kama anajua anachokifanya hebu tusubiri tuone.

Kuna moja hivi anaulizwa kuhusiana na relation yake na position ya pogba anajibu kwa kudai pundits wengi wanaongopa akalirudisha swali kwa mwandishi akiuliza game dhidi ya newcastle alimchezesha pogba nafasi gani wakaanza kumshangaa, mmoja akaropoka 'midfield' akauliza je tulicheza na sita wawili na nane mmoja au tulicheza na nane wawili na sita mmoja au sita mmoja nane mmoja na kumi wawili? Alafu akauliza ni nafasi gani hasa nzuri zaidi kumchezesha paul? Akajijibu mwenyewe akasema game ya newcastle alichezesha sita mmoja (matic) na nane wawili pogba akicheza upande wa kushoto ambayo ndio nafasi yake sahihi alaf akasema ni fair kusema pogba hafanyi vizuri ss hv ila sio kwenda kwenye ooh hafurahii position anayochezeshwa ooh ana ugomvi na mou na vitu kama hivyo.

Nyingine anaulizwa khs alexis kama ni kheri acheze kwa kufuata details za kocha zaidi au awe freel tu, akasema akikutana na bekhs au scholes au keane atawauliza kipindi hiko wanacheza man utd je walikiwa wakipoteza mpira wanasimama katikati au wanarudi kukaba? Kwenye timu yake jambo ni moja tu na simple 'tukiwa na mpira tunashambulia hatuna mpira tunakaba baaasi'
Mourinho aache maneno afundishe mpira
 
Fabian delph hakuflop kwenye midfield role kama ilivyo kwa Valencia, Valencia na young walinunuliwa kuwa wabadala wa Giggs na Ronaldo kama ma winger, lakini HAKUNA aliye fanikiwa kwenye hiyo nafasi, Valencia alianza kuchezeshwa kama full back baada ya akina Darmian, blind kushindwa ku cover vema hiyo nafasi.

Luke shaw nae hana consistency ya kiwango chake, kuna mechi anakua vizuri na kuna mechi anakua hovyo, hadi sasa ni msimu wake wa nne na kacheza mechi takribani 60, wastani wa mechi 14 kama sio 16 kwa msimu labda tujiulize hizo mechi zingine (league + FA cup + uefa/europa na carabao cup) pindi ye akiwa majeruhi au out of form nani ana cover? Je tuna natural left back mwingine ukiachana na shaw?

Smalling na Jones wana miaka zaidi ya saba pale Manchester lakini ni wachezaji ambao hata west brome nina wasiwasi kama wanaweza kupata namba. Je miaka yote hiyo ni mourinho alikua ana wakumbatia? Sikatai mourinho ana makosa yake mengi tu lakini embu tujaribu kuangalia behind the scene, tatizo la Manchester ni zaidi ya mourinho. Ni wachache wanaoweza kunielewa na maanisha nini, tatizo letu mashabiki huwa tunaangalia kile kinachotokea uwanjani tu, tuifunge watford, arsenal na chelsea ili tushangilie then tusahau, lakini kama kweli tunataka tushindane na the so called giants kama Barcelona, madrid, man city (lol) , bayern na hata PSG basi kuna takiwa kuwe na mabadiliko makubwa sana si uwanjani tu hadi nje ya uwanja.
Kudos
 
Niliwahi sema na ninawakumbusha


" Chini ya Mourinho kuna baadhi ya wachezaji wataporomoka viwango na kuonwa wabaya"
Kina Forlan,Veron,Kagawa hawa walichemsha United kocha alikuwa SAF
Depay,Di Maria,Falcao wamechemsha kocha akiwa LVG

Mourinho sio kocha wa kwanza wachezaji kuchemsha wachezaji kama Morata,Bakayoko,Lacazette,Batshuayi hawa wote wamechemsha hata imebidi Chelsea/Arsenal wanunue replacement
 
Naona watu wanalalamika na kutaka Man United icheze kama Man City chini ya Mourinho.
Hilo jambo halitokaa litokee chini ya Mourinho, hizo ndio mbinu zake zinazompa mafanikio kwa kila timu anayopitia.
Akiwa Madrid, CR7 alikua anarudi kukaba kama wachezaji wengine bila ya ubishi wowote. Timu ilikua ina paki bus bila ya ubishi wowote.
Ndio jinsi Mourinho alivyo, anashambulia pale anapoitaji timu yake icheze hivyo na ana paki bus pale anavyoona timu yake inahitaji kufanya hivyo.
Mourinho na Simeone ni makocha ambao wako radhi timu yao iwe na 20% ya ball possession lakini wakatoka bila ya kufungwa.
 
Mechi 15 za kwanza United ilikuwa inacheza vizuri,ilikuwa inashinda average si chini ya magoli 2 na ilikuwa inatengeneza nafasi nyingi sana mpaka Lukaku akawa anakosa magoli hakuna mtu aliyekuwa anasema timu ilikuwa inapaki bus

Majority ya mechi zote hizo timu ilikuwa inacheza 4-2-3-1 (De Gea,Valencia,Jones,Matic,Pogba,Lukaku) hawa walikuwa wanaanza while Young+Shaw, Bailly+Smalling+Blind+Lindelof,Herrera +Fellaini, Mata+Lingard+Rashford+Martial walikuwa wanabadilishana namba


Timu ilianza kuyumba baada ya Pogba na Bailly kuumia ingawa Fellaini alikuwa anacheza vizuri sana(alifunga magoli 3) baadae nae alikuja kuumia Mikhi akapotea kabisa ikafika wakati Lingard ndio akawa muokozi wa timu na wachezaji walikuwa wanakosa sana magoli na Lukaku akawa anaachwa isolated peke yake wafungaji wakawa Martial na Lingard

Pogba akarudi akacheza vizuri sana mechi kama 3 (Arsenal,Everton + UCL) Matic akawa amechoka timu ikawa inashambuliwa sana kibaya zaidi majority ya mechi Jones +Smalling ndio wakawa CB
Timu ikapoteza confidince kabisa Rashford,Mikhi,Lukaku,Matic,Pogba wakapotea kabisa

Watu wakaanza kusema mfumo wa 4-3-3 ndio Pogba unamfaa (game Vs Madrid Mourinho aliujaribu timu ilizidiwa sana baadae akamtoa Herrera mechi 3 zilizopita Mourinho ameswitch from 4-2-3-1 to 4-3-3 na kibaya timu ndio inazidiwa kabisa

Siku hizi kila timu ikifungwa watu wanasema sababu ni kocha anapaki bus wanaamini kwamba timu haistahili kufungwa

Siku zote foundation ya timu inajengwa kwenye kiungo sidhani kama kuna timu ambayo viungo wake wamekosa mechi kama United Carrick,Pogba,Fellaini,Herrera wamekosa majority ya mechi nyingi sana Matic kacheza mechi nyingi sana na amechoka imebidi Mourinho aanze kumchezesha dogo kutoka academy ambaye sasa ndio kiungo ambaye anayecheza vizuri

Kingine ni watu kutaka timu inayofundishwa na Mourinho icheze kama timu ya Guardiola hiyo ni impossible hata walipo mpa timu Mourinho wanafahamu hilo

Another problem ni kusajiliwa kwa Sanchez ni mchezaji mzuri tangu amesajiliwa haja-settle na kabla hajasajiliwa Lingard na Martial walikuwa wanacheza vizuri Sanchez anachezeshwa LW nafasi yake na Lingardrd anaanza bench baaada ya kocha kuamua kucheza 4-3-3
 
Kina Forlan,Veron,Kagawa hawa walichemsha United kocha alikuwa SAF
Depay,Di Maria,Falcao wamechemsha kocha akiwa LVG

Mourinho sio kocha wa kwanza wachezaji kuchemsha wachezaji kama Morata,Bakayoko,Lacazette,Batshuayi hawa wote wamechemsha hata imebidi Chelsea/Arsenal wanunue replacement
Mkuu kweli unataka kuniambia kagawa alichemsha Manchester united????? Sikubaliani na wewe kagawa aliondoka united kwasababu ya kushuka kiwango ila Ferguson alionesha tangu mwanzo kutokumuamini kagawa 100% tangu mwanzo.


Unakumbuka baada ya kusajiliwa kagawa Paul scholes alirudishwa kikosini baada ya kustaafu??.. From there kagawa akawa hana regular start kwenye kikosi....


Alivyokuja van gal ndio kabisa akawa anampiga benchi mpaka kumuuza..


Tuje Kwa Dimaria , huyu jamaa msimu wa 2014/5 alikuwa na outstanding performance licha ya kucheza mechi chache , angalia hizo takwimu zake za premier league tu !!
Stats focus: Angel Di Maria is the Premier League's most creative player

View attachment 700600View attachment 700601

Kumbuka jamaa alikuwa na injury nyingi sana ,vipi kama angekuwa na msimu bora acheze walau mechi 50. Jibu unalo. Na wala hakuondoka kwa sababu za kushindwa kuperform uwanjani.

Hebu cheki hapa sababu iliyomfanya Dimaria kuondoka Manchester united Why Angel Di Maria was unhappy at Man United, according to ex-employee

Hakuna sababu inayohusianisha kiwango chake, na Nina amini Dimaria ni miongoni Mwa wachezaji bora tuliowasajili na ni miongoni Mwa wachezaji bora man united imewahi kuwapoteza kirahisi + chicharito.




Kina Forlan,Veron,Kagawa hawa walichemsha United kocha alikuwa SAF
Depay,Di Maria,Falcao wamechemsha kocha akiwa LVG

Mourinho sio kocha wa kwanza wachezaji kuchemsha wachezaji kama Morata,Bakayoko,Lacazette,Batshuayi hawa wote wamechemsha hata imebidi Chelsea/Arsenal wanunue replacement

Mkuu kweli unataka kuniambia kagawa alichemsha Manchester united????? Sikubaliani na wewe kagawa aliondoka united kwasababu ya kushuka kiwango ila Ferguson alionesha tangu mwanzo kutokumuamini kagawa 100% tangu mwanzo.


Unakumbuka baada ya kusajiliwa kagawa Paul scholes alirudishwa kikosini baada ya kustaafu??.. From there kagawa akawa hana regular start kwenye kikosi....


Alivyokuja van gal ndio kabisa akawa anampiga benchi mpaka kumuuza..


Huyu ni lacazetView attachment 700609
Sina cha kuongeza.


Nimalizie kwa kusema kuna sababu nyingi zinazopelekea mchezaji kuporomoka kiwango, kuna sababu za mchezaji mwenyewe na kuna sababu za Mwalimu.

Mchezaji kama Diego forlan hakupata Nafasi ya kucheza kutokana na lundo la wachezaji aliowakuta pale Manchester kwenye idara ya ushambuliaji tena wakiwa kwenye ubora wa hali ya Juu ...

Hebu cheki hapa ....
1519446600994.png
1519446600994.png
1519446600994.png


Nirudi kwenye mada: Wachezaji wengi wa Manchester viwango vyao vimedorora kwa sababu ya mbinu mbovu za Mourinho. Kambadirisha Herrera kutoka kuwa attacking midfielder aliekuwa anafunga magoli na assists za kutosha misimu miwili ya Van Gal mpaka kuwa " Mpaki Mabasi" ya Ubungo.

Ameua kiwango cha micktaryan kwa kumpa kazi za kulinda zaidi kuliko kuwa "free roller"


Yeye ndio amesababisha Pogba kupitia kiwango anachopitia sasa hivi ,kumbuka maneno aliyoongea Paul scholes dhidi ya Pogba kaka reference.

Romelo lukaku anapitia kipindi kigumu kwa sababu ya aina ya uchezaji wa team ( kujilinda sana) hali inayopelekea kutengeneza Nafasi chache za kufunga magoli.

Mpaka hapo linganisha sababu za wachezaji unaosema walishuka kiwango kipindi cha Ferguson na kipindi hiki cha mourinho.
 
Mechi 15 za kwanza United ilikuwa inacheza vizuri,ilikuwa inashinda average si chini ya magoli 2 na ilikuwa inatengeneza nafasi nyingi sana mpaka Lukaku akawa anakosa magoli hakuna mtu aliyekuwa anasema timu ilikuwa inapaki bus

Majority ya mechi zote hizo timu ilikuwa inacheza 4-2-3-1 (De Gea,Valencia,Jones,Matic,Pogba,Lukaku) hawa walikuwa wanaanza while Young+Shaw, Bailly+Smalling+Blind+Lindelof,Herrera +Fellaini, Mata+Lingard+Rashford+Martial walikuwa wanabadilishana namba


Timu ilianza kuyumba baada ya Pogba na Bailly kuumia ingawa Fellaini alikuwa anacheza vizuri sana(alifunga magoli 3) baadae nae alikuja kuumia Mikhi akapotea kabisa ikafika wakati Lingard ndio akawa muokozi wa timu na wachezaji walikuwa wanakosa sana magoli na Lukaku akawa anaachwa isolated peke yake wafungaji wakawa Martial na Lingard

Pogba akarudi akacheza vizuri sana mechi kama 3 (Arsenal,Everton + UCL) Matic akawa amechoka timu ikawa inashambuliwa sana kibaya zaidi majority ya mechi Jones +Smalling ndio wakawa CB
Timu ikapoteza confidince kabisa Rashford,Mikhi,Lukaku,Matic,Pogba wakapotea kabisa

Watu wakaanza kusema mfumo wa 4-3-3 ndio Pogba unamfaa (game Vs Madrid Mourinho aliujaribu timu ilizidiwa sana baadae akamtoa Herrera mechi 3 zilizopita Mourinho ameswitch from 4-2-3-1 to 4-3-3 na kibaya timu ndio inazidiwa kabisa

Siku hizi kila timu ikifungwa watu wanasema sababu ni kocha anapaki bus wanaamini kwamba timu haistahili kufungwa

Siku zote foundation ya timu inajengwa kwenye kiungo sidhani kama kuna timu ambayo viungo wake wamekosa mechi kama United Carrick,Pogba,Fellaini,Herrera wamekosa majority ya mechi nyingi sana Matic kacheza mechi nyingi sana na amechoka imebidi Mourinho aanze kumchezesha dogo kutoka academy ambaye sasa ndio kiungo ambaye anayecheza vizuri

Kingine ni watu kutaka timu inayofundishwa na Mourinho icheze kama timu ya Guardiola hiyo ni impossible hata walipo mpa timu Mourinho wanafahamu hilo

Another problem ni kusajiliwa kwa Sanchez ni mchezaji mzuri tangu amesajiliwa haja-settle na kabla hajasajiliwa Lingard na Martial walikuwa wanacheza vizuri Sanchez anachezeshwa LW nafasi yake na Lingardrd anaanza bench baaada ya kocha kuamua kucheza 4-3-3
Unataka nikuulize swali , katika hizo mechi 15 za mwanzo timu ilikuwa inapack Basi au alikuwa haipack bus???
 
Mechi 15 za kwanza United ilikuwa inacheza vizuri,ilikuwa inashinda average si chini ya magoli 2 na ilikuwa inatengeneza nafasi nyingi sana mpaka Lukaku akawa anakosa magoli hakuna mtu aliyekuwa anasema timu ilikuwa inapaki bus

Majority ya mechi zote hizo timu ilikuwa inacheza 4-2-3-1 (De Gea,Valencia,Jones,Matic,Pogba,Lukaku) hawa walikuwa wanaanza while Young+Shaw, Bailly+Smalling+Blind+Lindelof,Herrera +Fellaini, Mata+Lingard+Rashford+Martial walikuwa wanabadilishana namba


Timu ilianza kuyumba baada ya Pogba na Bailly kuumia ingawa Fellaini alikuwa anacheza vizuri sana(alifunga magoli 3) baadae nae alikuja kuumia Mikhi akapotea kabisa ikafika wakati Lingard ndio akawa muokozi wa timu na wachezaji walikuwa wanakosa sana magoli na Lukaku akawa anaachwa isolated peke yake wafungaji wakawa Martial na Lingard

Pogba akarudi akacheza vizuri sana mechi kama 3 (Arsenal,Everton + UCL) Matic akawa amechoka timu ikawa inashambuliwa sana kibaya zaidi majority ya mechi Jones +Smalling ndio wakawa CB
Timu ikapoteza confidince kabisa Rashford,Mikhi,Lukaku,Matic,Pogba wakapotea kabisa

Watu wakaanza kusema mfumo wa 4-3-3 ndio Pogba unamfaa (game Vs Madrid Mourinho aliujaribu timu ilizidiwa sana baadae akamtoa Herrera mechi 3 zilizopita Mourinho ameswitch from 4-2-3-1 to 4-3-3 na kibaya timu ndio inazidiwa kabisa

Siku hizi kila timu ikifungwa watu wanasema sababu ni kocha anapaki bus wanaamini kwamba timu haistahili kufungwa

Siku zote foundation ya timu inajengwa kwenye kiungo sidhani kama kuna timu ambayo viungo wake wamekosa mechi kama United Carrick,Pogba,Fellaini,Herrera wamekosa majority ya mechi nyingi sana Matic kacheza mechi nyingi sana na amechoka imebidi Mourinho aanze kumchezesha dogo kutoka academy ambaye sasa ndio kiungo ambaye anayecheza vizuri

Kingine ni watu kutaka timu inayofundishwa na Mourinho icheze kama timu ya Guardiola hiyo ni impossible hata walipo mpa timu Mourinho wanafahamu hilo

Another problem ni kusajiliwa kwa Sanchez ni mchezaji mzuri tangu amesajiliwa haja-settle na kabla hajasajiliwa Lingard na Martial walikuwa wanacheza vizuri Sanchez anachezeshwa LW nafasi yake na Lingardrd anaanza bench baaada ya kocha kuamua kucheza 4-3-3


Mkuu Hapa Kuna Kitu Nimekusoma!
Ujio Wa Sanchez Una Faida Kwa 50% na Hasara Kwa 50%.

√ Faida Ni Kwamba Sanchez Ni Mchezaji Mzuri (Laeft Attacking Midfielder (Winger)).

√ Kwa Upande Wa Hasara Ni:
• Ujio Wake Ni dhahiri Kuwa Utampoteza Mmoja Wapo Katika ya Lingard au Martial na Kusahaulika Kabisa Katika Soka.

• Au Ujio Wake Waweza Kuwapoteza Wote Wawili Martial na Lingard.
 
Unataka nikuulize swali , katika hizo mechi 15 za mwanzo timu ilikuwa inapack Basi au alikuwa haipack bus???
Ungeniambia kwako kupaki basi ni nini kwanza ?

Inaonekana kwako timu ikishinda 4-0,4-1 haijapaki basi but ikishinda 1-0,2-1 ni kupaki basi

Kwa mtazamo wangu game ambazo United ilipaki basi ni against Liverpool & Arsenal zote away game against City United haikupaki basi but ilizidiwa City walicontrol game the same pia game against Madrid.Against Barca Chelsea walipaki na wanasifiwa sababu walitengeneza nafasi chache wakazitumia unlike United ambao wachezaji wanakosa sana magoli ya wazi
 
Mkuu kweli unataka kuniambia kagawa alichemsha Manchester united????? Sikubaliani na wewe kagawa aliondoka united kwasababu ya kushuka kiwango ila Ferguson alionesha tangu mwanzo kutokumuamini kagawa 100% tangu mwanzo.


Unakumbuka baada ya kusajiliwa kagawa Paul scholes alirudishwa kikosini baada ya kustaafu??.. From there kagawa akawa hana regular start kwenye kikosi....


Alivyokuja van gal ndio kabisa akawa anampiga benchi mpaka kumuuza..


Tuje Kwa Dimaria , huyu jamaa msimu wa 2014/5 alikuwa na outstanding performance licha ya kucheza mechi chache , angalia hizo takwimu zake za premier league tu !!
Stats focus: Angel Di Maria is the Premier League's most creative player

View attachment 700600View attachment 700601

Kumbuka jamaa alikuwa na injury nyingi sana ,vipi kama angekuwa na msimu bora acheze walau mechi 50. Jibu unalo. Na wala hakuondoka kwa sababu za kushindwa kuperform uwanjani.

Hebu cheki hapa sababu iliyomfanya Dimaria kuondoka Manchester united Why Angel Di Maria was unhappy at Man United, according to ex-employee

Hakuna sababu inayohusianisha kiwango chake, na Nina amini Dimaria ni miongoni Mwa wachezaji bora tuliowasajili na ni miongoni Mwa wachezaji bora man united imewahi kuwapoteza kirahisi + chicharito.






Mkuu kweli unataka kuniambia kagawa alichemsha Manchester united????? Sikubaliani na wewe kagawa aliondoka united kwasababu ya kushuka kiwango ila Ferguson alionesha tangu mwanzo kutokumuamini kagawa 100% tangu mwanzo.


Unakumbuka baada ya kusajiliwa kagawa Paul scholes alirudishwa kikosini baada ya kustaafu??.. From there kagawa akawa hana regular start kwenye kikosi....


Alivyokuja van gal ndio kabisa akawa anampiga benchi mpaka kumuuza..


Huyu ni lacazetView attachment 700609
Sina cha kuongeza.


Nimalizie kwa kusema kuna sababu nyingi zinazopelekea mchezaji kuporomoka kiwango, kuna sababu za mchezaji mwenyewe na kuna sababu za Mwalimu.

Mchezaji kama Diego forlan hakupata Nafasi ya kucheza kutokana na lundo la wachezaji aliowakuta pale Manchester kwenye idara ya ushambuliaji tena wakiwa kwenye ubora wa hali ya Juu ...

Hebu cheki hapa ....
View attachment 700610View attachment 700610View attachment 700610

Nirudi kwenye mada: Wachezaji wengi wa Manchester viwango vyao vimedorora kwa sababu ya mbinu mbovu za Mourinho. Kambadirisha Herrera kutoka kuwa attacking midfielder aliekuwa anafunga magoli na assists za kutosha misimu miwili ya Van Gal mpaka kuwa " Mpaki Mabasi" ya Ubungo.

Ameua kiwango cha micktaryan kwa kumpa kazi za kulinda zaidi kuliko kuwa "free roller"


Yeye ndio amesababisha Pogba kupitia kiwango anachopitia sasa hivi ,kumbuka maneno aliyoongea Paul scholes dhidi ya Pogba kaka reference.

Romelo lukaku anapitia kipindi kigumu kwa sababu ya aina ya uchezaji wa team ( kujilinda sana) hali inayopelekea kutengeneza Nafasi chache za kufunga magoli.

Mpaka hapo linganisha sababu za wachezaji unaosema walishuka kiwango kipindi cha Ferguson na kipindi hiki cha mourinho.
1.Msimu bora wa Herrera akiwa United ni last season (2 goals+11 assist) akiwa chini ya Mourinho mpaka akachaguliwa mchezaji bora wa United akaitwa Spain national timu kwa mara ya kwanza na tukawa tunasema anastahili kupewa unahodha ubora wa mchezaji sio kufunga magoli tu last season Kante ndio alikuwa mchezaji bora wa EPL sidhani kama alifikisha hata magoli 4

2. Issue ya Forlan naona list ya striker ni Solskjaer,Nistelrooy kumbuka hiyo ni era ambayo United ilikuwa inapambana makombe 4 na Solskjaer alikuwa kashazeeka alikuwa majeruhi muda mrefu kumbuka SAF alikuwa anachezesha 2 striker(4-4-2)

3.Nakushangaa unasema Di Maria alipata sana injury,nakumbuka Di Maria aliumia mara moja tu akiwa United
 
Ukitaka kuonga ndugu wanashikana uchawi njoo kwenye huu Uzi kila mmoja anajifanya mchambuzi na kila mmoja anamlalamikia mwenzake
 
Ukitaka kuonga ndugu wanashikana uchawi njoo kwenye huu Uzi kila mmoja anajifanya mchambuzi na kila mmoja anamlalamikia mwenzake


3 to 4 days before tulikuwa na Vita Kali Sana Ya Maneno Kule Nyumbani Lakini Naona Vita Hii Ya Maneno imehamia Humu Kwa Watani 😀 😀 😀

Wewe Ukiona Uzi Hauna Challenges Kama Hizi na Watu Wake Wote Wamefanana Kimawazo na Mitazamo jua Uzi Huo Ni Mfu.

Nimezipenda Hizi Challenges
 
Mkuu Hapa Kuna Kitu Nimekusoma!
Ujio Wa Sanchez Una Faida Kwa 50% na Hasara Kwa 50%.

√ Faida Ni Kwamba Sanchez Ni Mchezaji Mzuri (Laeft Attacking Midfielder (Winger)).

√ Kwa Upande Wa Hasara Ni:
• Ujio Wake Ni dhahiri Kuwa Utampoteza Mmoja Wapo Katika ya Lingard au Martial na Kusahaulika Kabisa Katika Soka.

• Au Ujio Wake Waweza Kuwapoteza Wote Wawili Martial na Lingard.

Ujio wake hauwezi kumpoteza Martial na Lingard, ujio wake umepoteza balance na rythm ya timu.
 
Back
Top Bottom