Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu unatumia Hydrogen Bombs na Missiles za North Korea kuua sisimizi.... Hoja zako ni heavy huyo jamaa hana ubavu wa kuzipunch


Huyo huwa hajielewi kabisa huwa nafuatilia hoja zake humu ni very Light..


Hiyo issue ya scholes kumsema Pogba huyu Radika alimponda sana eti scholes anaongea sana kama anaona ukocha ni mrahisi atafute team aifundishe.


Ila Leo anakuja na hoja zingine.
Daaa hata Mimi nimebaki nahangaa mkuu
 
Hivi we jamaa unasimamia nini has a? Kuna kipindi Scholes alilalamika sana juu ya msaada Wa pogba ktk timu hasa mechi kubwa na ngumu,Mou akasema pogba yuko poa tu ila Scholes anamsema pogba sababu ya wivu alionao juu ya pesa nyingi anayopata pogba pale man u. Baada ya kusema hivo ulimsapoti asilimia mia Mourinho, na Leo unam criticise pogba kwa nini!?
Scholes alimponda pogba kipind kocha anahangaika kuipata form yake unafikir kila mchezaji akipondwa na watu halafu kocha akuetendea kazi huo ushaur wao mara moja si mchezaj kupotea hata ronaldo kabla hajawa vizur kuna wachezaj waliuzwa pale kisa dogo kumlea unafikir wakina rud van wangeachiwa wamhangaishe ronaldo angafanikiwa? Mi nilimpongeza kocha kwa kukinga kifua mchezaji wake hata kama mchezaj kapoteza form ina maana hukujua? Hata zidane anamlinda benzema akiamua kuutendea kazi ushaur wa mashabaki mchezaj si anapotea?
Kwa hiyo scholes alipoongea ulitegemea mourinho amuunge mkono scholes?
Nani anafanya kazi na pogba kati ya kocha na scholes? Akiona mambo magum anamtoa ila sio apangiwe nn cha kufanya halafu mnapongeza na mwenzio eti mna hoja

Hao makocha wa kuamuliwa jambo wapo tz
 
Je kuna Kitu nyuma ya pazia ?
Scholes alimponda pogba kipind kocha anahangaika kuipata form yake unafikir kila mchezaji akipondwa na watu halafu kocha akuetendea kazi huo ushaur wao mara moja si mchezaj kupotea hata ronaldo kabla hajawa vizur kuna wachezaj waliuzwa pale kisa dogo kumlea unafikir wakina rud van wangeachiwa wamhangaishe ronaldo angafanikiwa? Mi nilimpongeza kocha kwa kukinga kifua mchezaji wake hata kama mchezaj kapoteza form ina maana hukujua? Hata zidane anamlinda benzema akiamua kuutendea kazi ushaur wa mashabaki mchezaj si anapotea?
Kwa hiyo scholes alipoongea ulitegemea mourinho amuunge mkono scholes?
Nani anafanya kazi na pogba kati ya kocha na scholes? Akiona mambo magum anamtoa ila sio apangiwe nn cha kufanya halafu mnapongeza na mwenzio eti mna hoja

Hao makocha wa kuamuliwa jambo wapo tz
 
Je kuna Kitu nyuma ya pazia ?

Hakuna kitu kama hicho hamna timu na wachezaj wasiopitia vipind vigum ila lazima wawe wapambanaji hii timu tunayoshabikia kwa mafanikio yake kocha aliestaafu 2013 alisurika kutimuliwa ila walikuwa wavumilivu tu sasa kocha hata hajafika miaka mi 3 atolewe kama tuliweza kushangilia kipind tupo vizur na sasa tuvumilie tu had hapo timu itakapopata wachezaj wa maana
 
Hakuna kitu kama hicho hamna timu na wachezaj wasiopitia vipind vigum ila lazima wawe wapambanaji hii timu tunayoshabikia kwa mafanikio yake kocha aliestaafu 2013 alisurika kutimuliwa ila walikuwa wavumilivu tu sasa kocha hata hajafika miaka mi 3 atolewe kama tuliweza kushangilia kipind tupo vizur na sasa tuvumilie tu had hapo timu itakapopata wachezaj wa maana
Hakuna mchezaji hapo Manchester united anaepitia kipindi kigumu kwa sababu zake ila kuna wachezaji wanaopitia katika vipindi vigumu kwa sababu za JOSE MOURINHO, Asap.


Micktaryan, Daley Blind ,Leo Pogba, Lukaku anafuatia, Leo anaanza kumpiga benchi beki bora kabisa ROJO kwa SMALLING tutegemee anguko lake. Herera atafuatia tunza kumbukumbu zangu.


Ni kweli wachezaji huwa wanapitia vipindi vigumu ila si kwa kiwango na idadi hii waliokatika kipindi kigumu kwa muda huu, orodha ni ndefu.



Mourinho is ruining our Good players performance
 
Hakuna mchezaji hapo Manchester united anaepitia kipindi kigumu kwa sababu zake ila kuna wachezaji wanaopitia katika vipindi vigumu kwa sababu za JOSE MOURINHO, Asap.


Micktaryan, Daley Blind ,Leo Pogba, Lukaku anafuatia, Leo anaanza kumpiga benchi beki bora kabisa ROJO kwa SMALLING tutegemee anguko lake. Herera atafuatia tunza kumbukumbu zangu.


Ni kweli wachezaji huwa wanapitia vipindi vigumu ila si kwa kiwango na idadi hii waliokatika kipindi kigumu kwa muda huu, orodha ni ndefu.



Mourinho is ruining our Good players performance
Basi poa tuone mwisho wa msimu itakuwaje
 
Manchester United inahitaji kocha mwngne la sivyo mour abadilike

Hili suala tunaongea mno kila siku humu japo kila mtu ruksa kuongea anachowaza
 
HII IMETOKA LEO ASUBUHI KWENYE GAZETI LA DAILY MAIL

Jose Mourinho 'Holds Hour Long Meeting' With Paul Pogba Amid Reports of Old Trafford Rift

Joanna Durkan 17 FEB 2018



Manchester United manager Jose Mourinho held an hour long intervention with Paul Pogba this week to clear-the-air following a run of poor form which has seen the pairs relationship dominate the headlines.


The United boss dismissed all suggestions that a rift existed between Pogba and himself, simply stating the France international has not been playing to his full potential as of late.


In order to ensure the air was clear the pair met at United's Carrington base for an hour on Tuesday to discuss Pogba's form and his best position in the side after he was substituted at both Newcastle and Tottenham, and relegated to the bench against Huddersfield - as per the Daily Mail.



BAADA YA MASAA KADHAA IKATOKA TAARIFA POGBA HATOKUWEMO KWENYE KIKOSI CHA LEO DHIDI YA HUDDLESFIELD.

Paul Pogba Ruled Out of Huddersfield FA Cup Clash Through Illness Amid Mourinho Rift Rumours

Tom Power17 FEB 2018

19 k

Paul Pogba has been ruled out of Manchester United's FA Cup clash against Huddersfield Town through illness.


The midfield star, who has been in the papers this week over an alleged falling out with manager Jose Mourinho, is absent from the matchday squad for the fifth round tie against the Terriers according to the club's official site.


Pogba has been replaced in the 18-man party by Under-18s star Ethan Hamilton instead, and the product of United's youth academy will be hoping to make his senior bow for the Red Devils if they have the game wrapped up early enoug




Kama Kuna MTU Bado haamini Mourinho kuwa anaharibu team yetu ni muda wa kuamini sasa.
 
HII IMETOKA LEO ASUBUHI KWENYE GAZETI LA DAILY MAIL

Jose Mourinho 'Holds Hour Long Meeting' With Paul Pogba Amid Reports of Old Trafford Rift

Joanna Durkan 17 FEB 2018



Manchester United manager Jose Mourinho held an hour long intervention with Paul Pogba this week to clear-the-air following a run of poor form which has seen the pairs relationship dominate the headlines.


The United boss dismissed all suggestions that a rift existed between Pogba and himself, simply stating the France international has not been playing to his full potential as of late.


In order to ensure the air was clear the pair met at United's Carrington base for an hour on Tuesday to discuss Pogba's form and his best position in the side after he was substituted at both Newcastle and Tottenham, and relegated to the bench against Huddersfield - as per the Daily Mail.



BAADA YA MASAA KADHAA IKATOKA TAARIFA POGBA HATOKUWEMO KWENYE KIKOSI CHA LEO DHIDI YA HUDDLESFIELD.

Paul Pogba Ruled Out of Huddersfield FA Cup Clash Through Illness Amid Mourinho Rift Rumours

Tom Power17 FEB 2018

19 k

Paul Pogba has been ruled out of Manchester United's FA Cup clash against Huddersfield Town through illness.


The midfield star, who has been in the papers this week over an alleged falling out with manager Jose Mourinho, is absent from the matchday squad for the fifth round tie against the Terriers according to the club's official site.


Pogba has been replaced in the 18-man party by Under-18s star Ethan Hamilton instead, and the product of United's youth academy will be hoping to make his senior bow for the Red Devils if they have the game wrapped up early enoug




Kama Kuna MTU Bado haamini Mourinho kuwa anaharibu team yetu ni muda wa kuamini sasa.
Kwa hiyo Pogba sio mgonjwa kocha anampiga bench ?
 
Naona ume-conclude kocha anaiharibu timu baada ya ku-qoute hizo habari za DailyMail

Umeona alichopost Pogba Twitter/Instagram ?
Mbona unejibu maneno yangu ya lugha ya kiswahili na hayo yaliyoandikwa kwa lugha ya wakina "Wayne rooney " umeyapotezea.


Nimeyaona kwani kasema anaumwa..... Aiseeeh hii lugha ni changamoto sana... Nimekuwekea taarifa ya daily mail kama controversy ya kwanini hachezi Leo and why itokee baada ya kuwa na mazungumzo na Mourinho kuhusu kiwango chake Leo asubuhi ...


Ingia mitandao Mkubwa yote ya michezo duniani hii ni Trending Controversy
 
Mbona unejibu maneno yangu ya lugha ya kiswahili na hayo yaliyoandikwa kwa lugha ya wakina "Wayne rooney " umeyapotezea.


Nimeyaona kwani kasema anaumwa..... Aiseeeh hii lugha ni changamoto sana... Nimekuwekea taarifa ya daily mail kama controversy ya kwanini hachezi Leo and why itokee baada ya kuwa na mazungumzo na Mourinho kuhusu kiwango chake Leo asubuhi ...


Ingia mitandao Mkubwa yote ya michezo duniani hii ni Trending Controversy
Hata ningekuwa mimi kocha siwezi ku-risk my key players kwenye hii game while nina very crucial game next week (Sevilla +Chelsea )

Do you know Pogba aliumia kwenye warm up kabla ya game against Newcastle ?
 
Hata ningekuwa mimi kocha siwezi ku-risk my key players kwenye hii game while nina very crucial game next week (Sevilla +Chelsea )

Do you know Pogba aliumia kwenye warm up kabla ya game against Newcastle ?
Kwahyo baada ya kuumia hakucheza ????? Nipe official taarifa
 
HII IMETOKA LEO ASUBUHI KWENYE GAZETI LA DAILY MAIL

Jose Mourinho 'Holds Hour Long Meeting' With Paul Pogba Amid Reports of Old Trafford Rift

Joanna Durkan 17 FEB 2018



Manchester United manager Jose Mourinho held an hour long intervention with Paul Pogba this week to clear-the-air following a run of poor form which has seen the pairs relationship dominate the headlines.


The United boss dismissed all suggestions that a rift existed between Pogba and himself, simply stating the France international has not been playing to his full potential as of late.


In order to ensure the air was clear the pair met at United's Carrington base for an hour on Tuesday to discuss Pogba's form and his best position in the side after he was substituted at both Newcastle and Tottenham, and relegated to the bench against Huddersfield - as per the Daily Mail.



BAADA YA MASAA KADHAA IKATOKA TAARIFA POGBA HATOKUWEMO KWENYE KIKOSI CHA LEO DHIDI YA HUDDLESFIELD.

Paul Pogba Ruled Out of Huddersfield FA Cup Clash Through Illness Amid Mourinho Rift Rumours

Tom Power17 FEB 2018

19 k

Paul Pogba has been ruled out of Manchester United's FA Cup clash against Huddersfield Town through illness.


The midfield star, who has been in the papers this week over an alleged falling out with manager Jose Mourinho, is absent from the matchday squad for the fifth round tie against the Terriers according to the club's official site.


Pogba has been replaced in the 18-man party by Under-18s star Ethan Hamilton instead, and the product of United's youth academy will be hoping to make his senior bow for the Red Devils if they have the game wrapped up early enoug




Kama Kuna MTU Bado haamini Mourinho kuwa anaharibu team yetu ni muda wa kuamini sasa.
Moyes,van gal na mourinho yupi kajitahidi?
 
Back
Top Bottom