DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,542
- 2,741
Kwanini utasema hivyo mkuu?Mie ikipigwa kura kati ya Pogba na MourninHo nani abaki Mie napiga Pogba abaki Mou aondoke anaaribu team na vipaji
Kwanini utasema hivyo mkuu?Mie ikipigwa kura kati ya Pogba na MourninHo nani abaki Mie napiga Pogba abaki Mou aondoke anaaribu team na vipaji
Ufundishaji wake auna faida kwa team itakuwa inashinda kwa bahat ona kama hii game kama team ingekuwa inashambulia tungekuwa tunashambulia tushamaliza gameKwanini utasema hivyo mkuu?
Ila lile ni goli la mata imevulundaHii technology ya VAR itatutesa sana.
Nakubaliana na huyu mchambuzi wa BBC. Maana mistari ya jamaa wa VAR haikuwa sambamba na mstari ya 18. Kuna uhuni hapo!
VAR official Neil Swarbrick has not even got his squiggly lines straight. In fact, they are not even parallel to the 18-yard line!
Itakuwa refa ndio amelikataa sio VARNakubaliana na huyu mchambuzi wa BBC. Maana mistari ya jamaa wa VAR haikuwa sambamba na mstari ya 18. Kuna uhuni hapo!
VAR official Neil Swarbrick has not even got his squiggly lines straight. In fact, they are not even parallel to the 18-yard line!
Jamaa kaja kupiga pesa tu ana anachokifanya awa Huddersfield wanawizidi Manchester United kila kitu nguvu skills ujanjaHivi hii team huko mazoezini huwa Wa nafanya nini
Bahati mzuri board ya manchester ina watu timamu na wanaojua mpira kuliko mimi na wewe thus y wamempa morinho mkataba mpya juzi tu baada ya kulidhika na anachokifanyaMie ikipigwa kura kati ya Pogba na MourninHo nani abaki Mie napiga Pogba abaki Mou aondoke anaaribu team na vipaji
Wanaweza wakampa na baadae wakamtimua tu ni kitu cha kawaida wanamvumilia sababu team ipo nafasi ya pili lakini tukimaliza chini ya Top 4 utaniambiaBahati mzuri board ya manchester ina watu timamu na wanaojua mpira kuliko mimi na wewe thus y wamempa morinho mkataba mpya juzi tu baada ya kulidhika na anachokifanya
Manchester wanamuitaji morinho kuliko morinho anavyoiitaji manchchesterWanaweza wakampa na baadae wakamtimua tu ni kitu cha kawaida