Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,726
Naomba kusema kwa mara ya kwanza nawaunga mkono na mguu wanaosema Mou anazingua timu hovyo kabisa. Mpaka wafungwe ndo wanacheza.
Hide my IDNimekerwa na Mpira waliocheza Man Untd Leo hii timu ni pumbavu kabisa....
Usiku mwema.
Wamefungwa 1-0 na Newcastle jinga kabisa hili li timu
He looks lethargic...Hakubali majukum ya kukaba ni hilo tu
Mou anazingua.Naomba kusema kwa mara ya kwanza nawaunga mkono na mguu wanaosema Mou anazingua timu hovyo kabisa. Mpaka wafungwe ndo wanacheza.
Nimekerwa na Mpira waliocheza Man Untd Leo hii timu ni pumbavu kabisa....
Usiku mwema.
Wamefungwa 1-0 na Newcastle jinga kabisa hili li timu
Sio kwa sasa...Ndo mana nimekaa kimya
Nakumbuka arsenal walipomnunua Xhaka walikimbilia kumlinganisha pogba kwa sasa kimya hata hao liverpool aliwekwa jordan henderson na allen wa stoke city kwamba ni bora kwa pogba wako wapi?
Jaman pogba ni kocha tu akitafuta kiungo wa kumfanya awe huru hizi kelele zitasepa
Wanaoujua mpira nafikir walimuona akiwa juve kaingia kwenye kikos bora cha fifa mara mbili mfululizo akiwa na miaka 23 tu tena wachezaj 11 sisi wa tanzania bado sana tunaongozwa na chuki sio uhalisia wa jambo suala la muda tu
Jamaa kahamia kwa kdb baada ya viungo wa liverpool kusepa
Kwa sasa KDB anafanya vizur sana.
Nashukur kwa kuweka takwimu za kila mchezaj alielipuka msimu mmoja mmoja
Sio kwa sasa...
KDB ni mnyama muda mrefu tu...
Labda wewe shabiki maandazi wa manure ndio umemjua KDB msimu huu..!
Kama la Arsenal fc. Ni yule jamaa.Tatizo la Man ni Jose full stop
Lingard anaweza kuwa mzuri sana ila hakuna kocha wa kumuweka bench Mata aanze lingard,ni Mou pekee!Naomba kusema kwa mara ya kwanza nawaunga mkono na mguu wanaosema Mou anazingua timu hovyo kabisa. Mpaka wafungwe ndo wanacheza.
Herrera ni majeruhiNaona pogba hana morali tena toka mechi inaanza nlimuona hayupo sawa
Pia mourinho sio mjanja kumshinda
Ander herrera
Toka mwanzo alipokosekana tu nkajua maumivu
4 3 3 ndo mpango huu mfumo wake wa 4 2 3 1 spurs na liverpool watatuoa pale.
Wanasoma na kusepa, no comments!!Wenyeji hawapo humu au? Mbona kimya......
Wakuu Kwani Sanchez leo alikuwemo?
Kwenda zako huko, si uKamuulize mourinho.Herrera ni majeruhi