Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,880
- 7,021
Enzi za Van Gaal timu ilikuwa inashambulia ujio wa Jose tunacheza mipira ya kuzuia zaidi bila mikakati
.Enzi za Van Gaal timu ilikuwa inashambulia ujio wa Jose tunacheza mipira ya kuzuia zaidi bila mikakati
.Ni vema msijibu...Wakuu hivi mnaonaje tusiwe tunawajibu hawa jamaa wanaotoka kwny majukwaa yao then wanakuja kutukana na kupigia kelele humu.!? Maana tunavyowajibu ndo wanazidi kuvimba vichwa pumba hawa..
Lazima alaumiwe ufindishiji wake unawafanya wachezaji mara nyingi wanakuwa na nawazo ya kujilinda team aina speed.Mechi hii wakulaumiwa ni wafungaji, walipaswa wawe wamefunga si chini ya goli 3. Utashangaa watu wanamlaumu Mou.
Ahahaaaah...Ushindi ni lazima. GGMU
Mbona kama una mihemko??
Teh teh teh!Duh leo sio siku yetu...
Atalaumiwa kwa selection yake mbovu ya first eleven. Umeona baada ya kina Mata kuingia walivyopiga mpira mkubwa? Narudia tena na mnitukane tena. "HAKUNA MECHI ATAANZA MARTIAL UKASHINDA"Mechi hii wakulaumiwa ni wafungaji, walipaswa wawe wamefunga si chini ya goli 3. Utashangaa watu wanamlaumu Mou.
Leo nina amani sana..AY yupo ndani
Hakuna cha history toka mech ya tot timu haichez kbsa.Mourinho hana historia nzuri katika huu uwanja ushindi wake unakuwa suluhu
Wamekula kona.Hivi kwema humu Ndani? 😀 😀 😀
Mlimtukuza sana amejiona ni mchezaj wa kiwango cha juu. Ona goal tunavyofungwa unamuacha mchezaji wa upinzani anaruka juu bila ya kumkaba .Kuna kitu kinamsumbua Pogba sio bure.