ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,527
- 7,923
Mkuu timu hii imekosa mtu mmoja muhimu sana, Mchezeshaji. Wakati ule tulikuwa na Rooney sasa hatuna angalao tunae Mata, angekuwepo ungeona tofauti kubwa. Huwa namfananisha sana na David Silva wa Man City.Utoto mwingi hii team tusitegemee chochote kile kwa wachezaji hawa