Wewe umejibu au umeandika mipasho?Wapuuzi km nyie inatakiwa mpuuzwe..ndo maana hakuna aliyekujibu kwasababu tumeona hujielewi..
Its not my question to answer..Wewe umejibu au umeandika mipasho?
Sanchez kushoto, Martial kulia.....Lingard katikati nyuma ya Lukaku.Wakuu tupo uwanjani na hawa vijana wa newcastle,mda sio mrefu tunakipiga..hivi mourinho atawapanga vipi sanchez na martial ili kuweza kuwaaccomodate kwenye first eleven??
Kifupi ni kuwa Sanchez kachukua namba ya Rashford/MataSanchez kushoto, Martial kulia.....Lingard katikati nyuma ya Lukaku.
Muwekee kwenye ignore list, hutaona pumba zake na hata ona posts zako. Ndio ninachowafanya wajinga kama hao.Wakuu hivi mnaonaje tusiwe tunawajibu hawa jamaa wanaotoka kwny majukwaa yao then wanakuja kutukana na kupigia kelele humu.!? Maana tunavyowajibu ndo wanazidi kuvimba vichwa pumba hawa..
Ushindi ni lazima. GGMUGGMU
Watoto malimbukeni sana hawa mwaka huu wameibuka wengi kama huyo mchezaji ndo msimu wake wa kwanza.Muwekee kwenye ignore list, hutaona pumba zake na hata ona posts zako. Ndio ninachowafanya wajinga kama hao.
Ignore list yangu sasa hivi ni ndefu sana. Nikiona mtu mpuuzi namtupia huko.Watoto malimbukeni sana hawa mwaka huu wameibuka wengi kama huyo mchezaji ndo msimu wake wa kwanza.
Dawa ni kuwapuuza tu kibaya zaidi wanaingiza na matusi makuzi ni kitu muhimu sana ukizoea kuwaza machafu kuacha ngumu sana.
Mkuu itakuwa lingardYaani Martial anamuweka Mata nje??? Maajabu dunia hii hayataisha.
Bila herrera huwaga sina amani napenda sana pogba akiwa free
Sometimes inabidi upange kikosi umalize mechi mapemaWakuu tupo uwanjani na hawa vijana wa newcastle,mda sio mrefu tunakipiga..hivi mourinho atawapanga vipi sanchez na martial ili kuweza kuwaaccomodate kwenye first eleven??
Usijali mkuu tutakujuza..Dah hii mechi nitaikosa, ila nitakuwa ninafuatilia hapa kujua kinachoendelea
GGMU