radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Tatizo sio kocha bali kocha atafute kiungo mwingine wa kumsaidia pogba kocha kwa upande wa timu inafanya poa tungekuwa hovyo kama timu zingine hapo ndo tatizo la kocha.Naona taratiiiiiiiiiiibu unaanza kuona tatizo la kocha
