Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hujui mpira inaonesha wewe.

Man United Haiwezi kuizarau Liverpoolfc kwani kufungwa na mpinzani wake ni kubaya kwa nafasi yoyote ile hata kama ingekuwa Liverpoolfc ipo Daraja la Kwanza. Sir Alex ni mtu mwenye akili ya Mpira hajaanza juzi pale, Sir Alex mie Liverpool ila namuheshimu alichofanya ni kuisaidia timu yake kwa kila hari, hizi ndio sababu nakuonesha hajazarau ila alikuwa anataka angalau draw.

1. Sir Alex kaona katika timu Man united wanaweza kufungwa basi Liverpoolfc imo kwa time ile walioenda Anfield, Kwahiyo katizama ana Point 19 cha kufanya nikuweka Middle nyingi kuzuia LFC isicheze ndomana ukaona Jones alikuwa Middle na Flecher mtu wa kupanda alicheza Mbele ya mabeki.

2. CL inakuja na Man united lazima CL wabebe Point 3 Jengine wakitoka Kule wana Man City. Kwahiyo inaonesha zahiri United walicheza for Draw ikibahatika ushindi ni Bonus Kwa Man U kubeba Point Anfield ni Point kubwa ukitegemea sehemu ya kufungwa umebeba Point na una Point Nyingi kwani City inajulikana watakuja kuwa na ma draw Mengi hawaendi mbali.

3, ingekuwa LFC wana Point 18 hivi na United wamekuja pale wana Point 16 au 19 unafikiri angechezesha vile angetaka ushindi.

Zaidi ya hapo United inatimu nzuri huwezi kufananisha na LFC, LFC ni timu ambayo inatakiwa kujipanga sana ifikie pale inapotakiwa.

Sir Alex anaujuzi wa Fikra sio kuchokesha timu ovyo.

wewe ni kilaza wa football............mpira wa miguu ninaujua na nimeucheza sana.......kama umeshindwa kuona tofauti niliyoitaja basi tena ..........hakuna kitu kama hicho eti unaingia mashindanoni ili ukatoe draw.........hata Brazil/Argentina ikienda LaPaz.........suala ni moja tu.........ushindi unatafutwa..........

Eti 'Kuchokesha timu"......yaani ndio kabisa inaelekea hata "ndinga" uwanjani hujawahi kukanyaga.........timu inatakiwa iwe na quality players wanaocheza kwa ushirikiano............Kwa SAF huwezi kushuhudia tabia za akina TEVEZ/Lampard........wakiwa substituted wanapiga chini chupa ya maji..........hata C.Ronaldo alipoleta jeuri kipindi fulani ManU naye alipigwa benchi na SAF..........
 
wewe ni kilaza wa football............mpira wa miguu ninaujua na nimeucheza sana.......kama umeshindwa kuona tofauti niliyoitaja basi tena ..........hakuna kitu kama hicho eti unaingia mashindanoni ili ukatoe draw.........hata Brazil/Argentina ikienda LaPaz.........suala ni moja tu.........ushindi unatafutwa..........

Eti 'Kuchokesha timu"......yaani ndio kabisa inaelekea hata "ndinga" uwanjani hujawahi kukanyaga.........timu inatakiwa iwe na quality players wanaocheza kwa ushirikiano............Kwa SAF huwezi kushuhudia tabia za akina TEVEZ/Lampard........wakiwa substituted wanapiga chini chupa ya maji..........hata C.Ronaldo alipoleta jeuri kipindi fulani ManU naye alipigwa benchi na SAF..........

LOl! Mkuu kama nimekukosea kwakusema Mpira hujui sorry nimetumia accusation ambayo haitakiwi sababu sikujui, Kuhusu timu inatakiwa iwe na quality players wanaocheza kwa ushirikiano nakubaliana Ndomana nikakwambia Sir Alex alivyopanga alijuwa nini anafanya sababu anajuwa ana Quality yakuweka baazi ya watu Bench na ile Game alienda kwa nia ambazo ikifikia Point basi bora Point moja, Pia ndomana nikasema Liverpool inatakiwa kujipanga sana kwa kumaanisha kuwa na quality wengi wa maana wa kucheza kwa ushirikiano, MAn City wana quality ila si wakucheza kwa ushirikiano timu yenye mafanikio niile inayoweza kukaa kama Familia yenye upendo, United wanao wengi Barca wanao wengi, Arsenal walikuwa wanao wengi ila wameitenganisha. na hata timu unapobadilisha basi unabadilisha kama unatimu nzuri watu wawili mwisho ndio mafanikio ya united wanakaa kwamuda mwingi kila mtu anampa mwenzake ushirikiano.
 
Wakuu naona mmekuwa torpedoed, khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nguvu ya soda imekwisha?
 
Hongereni..nasikia mmenusa TOP 10 kwa mara ya kwanza tangu ligi ianze...
Nt bad..

Ndio mkuu chichi tinakwenda mechi kwa mechi tumebakiza 30 games, nachikia nyinyi mnakwenda kwa mkupuo .... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hongereni ......

article-2049897-0E66038000000578-961_468x286.jpg




article-2049897-0E6600A300000578-437_468x286.jpg

article-2049897-0E65C4A000000578-974_468x333.jpg


Ooops BTW nachikia kuna Investigation FA ku nani?




And then ''United's in-house television channel MUTV were forced to edit an interview with Phil Jones following Saturday’s game after he spoke out over the challenge from Rio Ferdinand on Charlie Adam. He said the Scotland midfielder dived to win the free-kick.''

Tabia haibadiliki, ukiwa mtoa rushwa huwezi Wacha hata kwenye ukweli bado wanapindisha mwaka huu mtafilisika na Brown envelopes shukuruni hamkupata charge ya maandazi. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

 
article-2049897-0E6601B900000578-764_468x286.jpg


Mimi chi chemi khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
This fella is a real jerk, nilishamchukia in the aftermath of WC, ila naona this time nitamchukia mara mbili..... mwone, meno ka nguruwe pori.
 
Ndio mkuu chichi tinakwenda mechi kwa mechi tumebakiza 30 games, nachikia nyinyi mnakwenda kwa mkupuo .... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hongereni ......

article-2049897-0E66038000000578-961_468x286.jpg




article-2049897-0E6600A300000578-437_468x286.jpg


article-2049897-0E65C4A000000578-974_468x333.jpg


Ooops BTW nachikia kuna Investigation FA ku nani?





And then ''United's in-house television channel MUTV were forced to edit an interview with Phil Jones following Saturday's game after he spoke out over the challenge from Rio Ferdinand on Charlie Adam. He said the Scotland midfielder dived to win the free-kick.''

Tabia haibadiliki, ukiwa mtoa rushwa huwezi Wacha hata kwenye ukweli bado wanapindisha mwaka huu mtafilisika na Brown envelopes shukuruni hamkupata charge ya maandazi. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Diver...............!
 
Silence msipige kelele ... ..... ...... ....sh wenyeji wamekwenda kwenye vikao vya harusi. Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ngojeni wapate goli watarudi kwa mfululizo.
 
Noisy neighbours washabandikwa kamoja ..... .... . hapa naona pamepoa ngoja niingie kwa Mancs .... ... tena inanyesha mvua huko Eastland .... .... ...
 
Penalty for manure .... . . handball in the area ... ...
 
Manda jitokeze chacha khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Wine goli la matuta ... ... ...


Ooops red card Vidic .... ..
 
Back
Top Bottom