Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona kipa wa loserfools alikuwa anatafuta baloon khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee all square .... ..
 
Huyu dogo namuheshimu sana ndani ya box. Ni goal poacher wa nguvu.

Heshima zake japo ananikera sana kwa vile niko upande wa pili.
 

Chacha ndio unaandika lugha gani hapa? Wacha ngebe angalia mpira ..... ..... .. Kibwiko sio lugha rasmi JF.

Hahahaha umeona goli hilo, endelea kuongea,naona unataka sana tupotezee hii game hahaha.....
 
Hongereni wakuu kwa kupoteza two points, safi sana ngoja tule kuku chacha kwa mrija, kumbe mashabiki wa Manure wako wawili tu Belo na Manda wengine wamesingiziwa tu, ooops wako Anfield ...... ... ngoja warudi ..... oops Papizo yupo naye .. ....
 
Mie huwa sipendi Mtu timu yake haichezi na anaye mwambia umefungwa au ume Draw, Game Ilikuwa ni LiverpoolFc na Man united.

Mie kwanza Naweza kusema liverpool walicheza vizuri ila walichemsha kutotafuta Bao la pili na kuuweka mpira kama mwanzo walivyofanya.

2. Wapinzani wangu nimewasifu kuweza kutafuta Bao la kusawazisha.

3. Nawapa hongera Mashabiki wa Liverpoolfc na Manchester United kwa kutoimba Nyimbo zisizo na Msingi uwanjani.

Napenda Hapa pia tuwe tunataniana mpira ila tujirekebishe Matusi kuweka Pembeni na Kuingilia Thred za watu kwa fujo kama huchezi nao.

Zaidi ya Hapo Liverpoolfc imeniuma draw na Welldone De Gea kwa ile save ya Handerson. Man of the Match wa Game Nzima ni SG kweli akifuatiwa na De Gea.
 
Danny-Welbeck-and-Lucas-Manchester-United-vs-_2665726.jpg

well done welbeck
 
Phil Jones admitted he was surprised to be plunged into the midfield minefield at Liverpool but felt United deserved a point from the challenging trip to Merseyside.

"The last time I played there was for Blackburn quite a while ago but I had to adapt today and I think it was about breaking the play up and making it difficult for Liverpool to play in there because it was quite congested."
 
[h=1]Chicha: Team comes first[/h]Javier Hernandez was delighted to net the equalizer in United's 1-1 draw with Liverpool, but insists the overall team performance is more important than his own personal achievement.
 
bad results for liverpool

true but the f....g official robbed us the victory. that j evans' was clear handball - and a f....g penalty!
plus we comprehensively outplayed that manure gang.

that king ken team needs another 10 games only to gel. i can assure u the reverse showdown at OT will be a repeat of the 2008 massacre!
watch me!
 
Evra anatafuta penalty khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee kakumbuka kwamba walitoa brown envelopes , OOOps kumbe Manda upo mbona upo kimya sana leo ..... ...... .... ... au utakuja baada ya goli la matuta .....

Bana na wewe, iv sikukuaga kuwa nimeanza vikao vya harusi yangu?, sikuweza kuona mechi

Giggs katoa goko. Manda amka sasa unaletewa Rooney na Nani wakuokoe.

Hahaha! naona mlinisaka sana leo, sikupata nafasi ya kuona mechi leo....

Pamoja sana.
 
Hii gemu ya leo naona SAF ameidharau kabisa Liverpool,..........kuna tofauti kubwa sana kati ya benchi la ManU na benchi la Liverpool........kweli ManU ni kiboko..............
 
Hii gemu ya leo naona SAF ameidharau kabisa Liverpool,..........kuna tofauti kubwa sana kati ya benchi la ManU na benchi la Liverpool........kweli ManU ni kiboko..............

Hujui mpira inaonesha wewe.

Man United Haiwezi kuizarau Liverpoolfc kwani kufungwa na mpinzani wake ni kubaya kwa nafasi yoyote ile hata kama ingekuwa Liverpoolfc ipo Daraja la Kwanza. Sir Alex ni mtu mwenye akili ya Mpira hajaanza juzi pale, Sir Alex mie Liverpool ila namuheshimu alichofanya ni kuisaidia timu yake kwa kila hari, hizi ndio sababu nakuonesha hajazarau ila alikuwa anataka angalau draw.

1. Sir Alex kaona katika timu Man united wanaweza kufungwa basi Liverpoolfc imo kwa time ile walioenda Anfield, Kwahiyo katizama ana Point 19 cha kufanya nikuweka Middle nyingi kuzuia LFC isicheze ndomana ukaona Jones alikuwa Middle na Flecher mtu wa kupanda alicheza Mbele ya mabeki.

2. CL inakuja na Man united lazima CL wabebe Point 3 Jengine wakitoka Kule wana Man City. Kwahiyo inaonesha zahiri United walicheza for Draw ikibahatika ushindi ni Bonus Kwa Man U kubeba Point Anfield ni Point kubwa ukitegemea sehemu ya kufungwa umebeba Point na una Point Nyingi kwani City inajulikana watakuja kuwa na ma draw Mengi hawaendi mbali.

3, ingekuwa LFC wana Point 18 hivi na United wamekuja pale wana Point 16 au 19 unafikiri angechezesha vile angetaka ushindi.

Zaidi ya hapo United inatimu nzuri huwezi kufananisha na LFC, LFC ni timu ambayo inatakiwa kujipanga sana ifikie pale inapotakiwa.

Sir Alex anaujuzi wa Fikra sio kuchokesha timu ovyo.
 
Back
Top Bottom