Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wenyeji kumbe kuna mechi ambayo hamjai hapa kwenu?! Bila shaka mnaangalia 'upepo' kwanza... very funny indeed!
 
Wenyeji kumbe kuna mechi ambayo hamjai hapa kwenu?! Bila shaka mnaangalia 'upepo' kwanza... very funny indeed!
Mkuu vipi angalia mpira leo tunapiga mbili tu za kutusumbua hila liver hamna timu mlitakiwa kufunga mpaka sasa ... ...
 
Ngoja tuanze second half tuone ........maana ukiwa bingwa inatakiwa kushinda game kama hizi.
 
Vipi pensioner Rio naye yumo khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee naona Wine Romney yupo bench baada ya sarakasi za euro .... ..... wapi Manda, Belo et al ... .... .... wamefunga safari Anfield au wanachungulia tu? .... .... ..... (6 members and 7 guests)
 
Evra anatafuta penalty khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee kakumbuka kwamba walitoa brown envelopes , OOOps kumbe Manda upo mbona upo kimya sana leo ..... ...... .... ... au utakuja baada ya goli la matuta .....
 
Hoh hoh hoh Wine anaingia na mkosi chuma khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Je, ilikuwa makosa kwa SAF kumuweka Rooney kwenye bench!? 20 minutes to go, L'pool 1 MANU 0
 
Msijali sana wakuu Brown envelopes zitafanya kazi, Vipi mwizi wa maandazi hakuona ule mpira nini? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee lakini poa tu kwa Manure, mwizi wa wake za watu naye yupo ..... ..
 
sasa gigs amefanya nini..?! anakwepa mashine aliyotandika Gerald ... au bcz ilikuwa inaelekea ikulu.. hehehe
 
Mpira dakika 90 wakuu so wala msikate tamaa fun wenzangu,ila mechi ngumu kidogo.....
 
Wacha upo live leo?

Belo za siku mkuu, ungo wangu upo kesho rasmi Emirates kulikuwa na mawingu sana leo nimeshindwa kutua Anfield si unajua tena sina kibali pale kwa hiyo leo nakesha na swala maalumu kwa ajii ya kesho. Unakaribishwa uone mtanange, hala hala si unajua tena nyinyi mnaweza kuhamia ICU kwa miongo kadhaa treni ndio engine ime-nock khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

BTW there is a new name ..... .... ....unamjua Mzee wa chuki binafsi? Soma tread ya loserfools ... ...
 
Wacha hunaga comment za kuandika zaidi ya neno bahasha???
 
Back
Top Bottom