Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Subirini tu, siku hiyo mkipaki treni L10 atalisambaratisha tunapigilia misumari kuanzia 9
Sasa si kila mwaka mngekuwa mnabeba makombe hujiuliz kwa nini madrid mfalme wa kombe la la liga kwani barcelona amewah kushuka daraja? Wakat barcelona,madrid na athletic bilbao ndo timu ambazo spain hazijawah shuka daraja ila baca kashindwa kukata gep la makombe acha maneno
 
IMG_20180122_222554.jpg
ujumbe kwa jamaa zetu wa Arsenal.
 
Sasa si kila mwaka mngekuwa mnabeba makombe hujiuliz kwa nini madrid mfalme wa kombe la la liga kwani barcelona amewah kushuka daraja? Wakat barcelona,madrid na athletic bilbao ndo timu ambazo spain hazijawah shuka daraja ila baca kashindwa kukata gep la makombe acha maneno
United nyie ni vibaraka wa Madrid waume zenu ndio maana tuliwafunza adabu UEFA final 2009, 2011

Mwaka 2011 Pete ya babu ikapotea na kona hamkupiga hata 1
 
Mpira umeanza juzi wewe kizazi cha mess akistaafu mtahama timu
Nimegundua kuwa uwezo wako wa kujenga hoja ni mdogo mno

Sasa wewe uliyeanza kushabikia zamani mbona unachemka kujibu easy questions kama izo?
 
Mabibi na Mabwana msikose kushuhudia mtanange kati ya Spurs na Man Utd tarehe 31/01/2018, ambapo mtapata fursa ya kuona kwa mara ya kwanza maudambwi udambwi ya Alex Sanchez akiwa kama mchezaji wa timu kubwa na bora Duniani Man Utd.

GGMU
 
Nimegundua kuwa uwezo wako wa kujenga hoja ni mdogo mno

Sasa wewe uliyeanza kushabikia zamani mbona unachemka kujibu easy questions kama izo?
Bristol city kamfunga man barcelona kafungwa na espanyol lakin man hawez kumfunga barca kwa kuwa kafungwa na bristol city akili zako zipo timamu? Hilo nalo swali kama espanyol anamfunga barca why united ashindwe?
 
Back
Top Bottom