Akilibandia
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 478
- 637
Both Henrikh Mkhitaryan and Alexis Sanchez are in Liverpool at an immigration office to sort out their work permits. [Daily Mail] Transfer Related on Twitter
Jahaz modern taarabmkuu,umeoa?hivi mkeo kila mara wakati wote akiwa anaongea udhaifu wako tu utakuwa unamfurahia???yaani mke haongei mazuri kabisa kuhusu wewe mumewake utamfurahia huyo mkeo??unadhani hapo shida itakuwa kuongea udhaifu ama kutokuona mazuri nayo akayaongelea??yaani yeye udhaifu tuuuuuuu utamfurahia huyo Mkeo??
View attachment 682312 United are investigating their security staff after this picture was leaked from the clubs CCTV footage. [@TuftyMUFC]
Hahaha ni kweli mkuu ila labda wamekiuka maadili ya kaziMkuu mi naona wanapoteza muda jezi zilianza kuchongwa toka akiwa arsenal wakaushe tu huyo mali yetu
inavyoonekana kama jamaa wamepiga picha tv, yaani zile tv/monitor ambazo zinaonyesha matukio ya cctv. hilo neno osd tu hapo juu na quality inaonyesha hivyo.View attachment 682312 United are investigating their security staff after this picture was leaked from the clubs CCTV footage. [@TuftyMUFC]
Sio mara ya kwanza kwa staff wa Manchester kuvujisha siri, pogba na de gea picha zao zilisambaa hata kabla ya official announcement.inavyoonekana kama jamaa wamepiga picha tv, yaani zile tv/monitor ambazo zinaonyesha matukio ya cctv. hilo neno osd tu hapo juu na quality inaonyesha hivyo.
so ni rahisi kumjua mchawi nani, waliokuwa chumba cha cctv wakati huo watatajana tu.
Hela ya kununua Sanchez inarudi kwa kuuza jezi tu.Mkuu mi naona wanapoteza muda jezi zilianza kuchongwa toka akiwa arsenal wakaushe tu huyo mali yetu
Kabisa mkuu ndo mana walishupalia hio dili waliangalia pende zote mbili uwanjan na faida watakayoingiza subir wamtangaze tutasikia tuHela ya kununua Sanchez inarudi kwa kuuza jezi tu.

