Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hao waliflop ? Micky,Debrune hawakupewa nafasi? Na chelsea ya kipindi hicho ulitaka hao wamuweke nani benchi?Au ukitaka wacheze 14 uwanjani?
Hivi wewe unajua kusoma na kuelewa ?? Wapi nimesema hao wachezaji hawakupewa Nafasi ... Jamaa kasema mbinu za mourinho zinaweza kufanya sanzez akaflop wewe unaleta shombo zako za kupewa Nafasi, you're talking insanely.



Elewa Logic za anachoongea mtu
 
Hivi wewe unajua kusoma na kuelewa ?? Wapi nimesema hao wachezaji hawakupewa Nafasi ... Jamaa kasema mbinu za mourinho zinaweza kufanya sanzez akaflop wewe unaleta shombo zako za kupewa Nafasi, you're talking insanely.



Elewa Logic za anachoongea mtu
Mbinu za Mournho zipi? Nmeelezea jinsi mou anavyosuka kikosi chake na kuacha baadh ya players kwenye free role ambayo ndo Sanches huwa anaperfom akipewa uo uhuru kama alivyokuwa udenese au Chile. Nikatoa mifano na wachezaji walionufaika na hilo mfano CR7 na Hazard lakini bado kwakuwa unataka kuonekana kuwa humpendi Mou ukantolea mifano mfu ili usimamie point yako eti de brune na salah seriously hawa hawakushindwa mbinu za Mou chelsea ilikuwa na ushindani katika kikosi chao na wakashindwa kuthrive.
 
Mkuu kuna watu humu kauli kama hizi hawataki kuzisikia...
mkuu,umeoa?hivi mkeo kila mara wakati wote akiwa anaongea udhaifu wako tu utakuwa unamfurahia???yaani mke haongei mazuri kabisa kuhusu wewe mumewake utamfurahia huyo mkeo??unadhani hapo shida itakuwa kuongea udhaifu ama kutokuona mazuri nayo akayaongelea??yaani yeye udhaifu tuuuuuuu utamfurahia huyo Mkeo??
 
mkuu,umeoa?hivi mkeo kila mara wakati wote akiwa anaongea udhaifu wako tu utakuwa unamfurahia???yaani mke haongei mazuri kabisa kuhusu wewe mumewake utamfurahia huyo mkeo??unadhani hapo shida itakuwa kuongea udhaifu ama kutokuona mazuri nayo akayaongelea??yaani yeye udhaifu tuuuuuuu utamfurahia huyo Mkeo??
Acha auseme tu udhaifu
 
Custis: “Lukaku is an excellent striker, Martial is only 22 and getting better under JM, Lingard is getting better under JM, Rashford has had a little dip but will come back and when all things click with Sanchez in it, they've already got the base of a good team.”

Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
 
Mshambuliaji kutoka Chile Alexis Sanchez amepigwa picha akiwa amevaa jezi ya Manchester United kwa mara ya kwanza huku akikaribia kuhamia Old Trafford kutoka Arsenal. (Metro)


Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amesema uhamisho wa Sanchez kutoka Arsenal kwenda United ulichochewa na 'tamaa' ya fedha. (Telegraph)


Arsene Wenger amekiri kuwa wasiwasi kuhusu mustakabali wa Sanchez Arsenal uliteteresha morali ya timu nzima. (Guardian)
 
Manchester United watakuwa na wasiwasi baada ya kipa wa Athletic Bilbao Kepa Arrizabalaga kukataa nafasi ya kujiunga na Real Madrid, na hivyo huenda Real wakarejea kutaka kumsajili David de Gea, 27. (Mirror)
 
Na Yaya toure aliflop kule Barca na Sasa tena huku Man City.
Hahahha ila mourinho ndo anaonekana kwa uraisi sana hawa jamaa wanatia huruma mno yaya tuore kaja epl 2011 kawa kiungo bora mfululizo miaka kama mi 3

Cha ajabu mourinho anachukiwa sana

Siku zote mshindi vigumu sana kukubalika hata sir alex alikuwa akipondwa sana alipoondoka mara manchester imeondoka na babu wakat walikuwa wakiponda soka lake

Lakin wanasahau namna alivyowatendea hawa weusi wetu wakina etoo na toure ila mourinho mzur sana hanaga ubaguz wa hivyo nakumbuka etoo analazimishwa kusepa baca watu wapo kimyaa
 
Back
Top Bottom