Hahaa by the way karibu mkuuNilimtolea maneno yanayokera, wala sikumtukana.![]()
Hahaa by the way karibu mkuuNilimtolea maneno yanayokera, wala sikumtukana.![]()
Consistency ya lingard bado tunasubir na mwakan tumwekee akiba ya maneno ila namba kupata itakuwa changamoto kubwa naona kama watasajili tena watu akifikisha goli kumi atakuwa kajitahid sana msimu huu pia rashford naona uchovu kacheza mechi nyingi sana pia nikiangalia watu anaoshindania namba hii inampoteza hajatofautiana sana watakapoleta watu wa maana akir zitawakaa sawaJesse Lingard Kwa Sasa Namkubali Ni Good Young Talented!
Lakini swali La Kujiuliza Ni Je, Ataweza Kuendeleza Consistency??
Asije Akavimba Bichwa kama Rashford??
Rashford alianza Vizuri tu, lakini alipoona anamwagiwa Misifa Kwenye kurasa zake za Twitter na Instagram Basi akaona Bora acheze na Mitandao Kuliko Kipaji Chake...
Sasahivi Kawa Kama Wabrazili.. (Adriano, Ronaldinho, Pato, De Lima etc)
Naona majukwaa yameungana hiyo ndo shida ya kushangilia timu isiyo na afyaVi4g vimekauka![]()
![]()
We inafaa nije nikubwebweje ngoja....Naona majukwaa yameungana hiyo ndo shida ya kushangilia timu isiyo na afya

We endelea kuwepo tu huna makazi timu yenyewe kimeo jukwaa limenuna wakina bak wanapambana na siasa tuWe inafaa nije nikubwebweje ngoja....![]()
Mkuu nakupiga kavu bila ya mpira. Hutaamini.Unataka kushinda wp?.......,mufc chukueni kiti kbs mstarehe mpige kAhawa
Capello huyuhuyu mtaliano au!?Hii team inahitaji kocha aina ya Fabio Capello au Ancelot
Mkuu Arsenal anapigwa na hamtaamini keshoKushabikia mpira raha sana,
Licha ya kuisupport timu yako sometime inabidi uwe shabiki wa mahasimu wako.
Arsenal nendeni mkashinde sasa, au hata draw sio mbaya.
Mkishwindwa mpigwe nyingi
Heti kwako pia mkuu.. Naamini katika kipindi icho ulikua na wakati mzuri wa kufanya ungariba bila bughudhaHeri ya mwaka mpya wakuu, mods walinifungia kwa takribani week mbili.
Uckimbie kesho......,coz hizo ndo tabia zenuMkuu nakupiga kavu bila ya mpira. Hutaamini.
Acha kunishushia heshima wewe. Arsenal si hata wa kukimbiwa.Uckimbie kesho......,coz hizo ndo tabia zenu
Ligi inaendelea......,ulasikiaga kifurushi kinaitwa pinduapindua....??We endelea kuwepo tu huna makazi timu yenyewe kimeo jukwaa limenuna wakina bak wanapambana na siasa tu
Wapi tumeandika ligi imeisha?Ligi inaendelea......,ulasikiaga kifurushi kinaitwa pinduapindua....??
Unajitapa ka ligi imeisha........,halafu ka umeniacha pointi kumi dadekiWapi tumeandika ligi imeisha?
!!!!!!Zifikie sasa hizo 2Unajitapa ka ligi imeisha........,halafu ka umeniacha pointi kumi dadeki!!!!!!
Na anavyokuonyaga c unamjua lkn....?Acha kunishushia heshima wewe. Arsenal si hata wa kukimbiwa.
Kesho zinarudi zile zile sitaZifikie sasa hizo 2
Uzitoea wapiKesho zinarudi zile zile sita
Mkuu tuache. Time will tell. Kesho si mbaliNa anavyokuonyaga c unamjua lkn....?