Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Acha ujinga wewe kama vitu hujui kama kimya , Paul scholes ni muajiriwa wa kituo cha television cha BT sport pale England kama Football pundit ,sasa asiongee . Kuongea ndio kazi yake , Same To Rio Ferdinand na Lampard...


Huwa husikii anavyoongea Thiery Henry pale Sky sport....


Hao uliowataja wapo kimya kwa sababu hawafanyanyi kazi za uchambuz wa mpira.


Nevile yupo Pia Sky Sport, hizo ndio kazi zao hawarembeshi.

pamoja na ujinga wangu ila mourinho kampa nyundo moja tu pwaaa safi sana kwa hiyo cantona na kean walivyokuwa wanakosoa sera za usajili au maradoma alipowaambia madrid wamsajili mbape nao wameajiriwa na hivyo vituo?

ila huwa sipend kukuqoute mana najijua kwa lugha unazotumiaga huwa sipend uniquote wala mm kukuqoute nafikir hii ndo mara ya mwisho nimelazimika kwa sababu maalumu.
 
Akija bado atakuwa msaada sana kwa sababu naamini jamaa yuko nje ya kiwango chake kwa sasa labda kwa sababu ya umri ila naamini ni kipindi cha mpito pia
Nakubaliana na wewe....amedrop kiasi lakini sio wa kumbeza nafasi zikijitokeza. Akipata feeder wazuri, kwenye kitupia anajua sana tu bado.
 
Narudia Tena na Tena Ikibidi tunzeni haya maneno ,


Manchester United chini ya Mourinho haiwezi kufika popote, Mbinu za mourinho zipo outdated.
Mkuu kuchukua Europa league sio kupiga hatua? Kati ya van gaal, moyes na jose nani ana takwimu bora? Nani kaleta makwapa mengi kabatini?
 
wanaongea sana nao kwani beckham,cole,yorke na wakina soskjier hawaipend timu? kamnyoosha sana scholes muda wote kuwaponda tu wachezaj na kocha hata van gaal kuna muda walimpoteza uelekeo kampiga nyundo moja ya kichwa pwaaa

wamuulize maradona na ujuaji wake kaishia wap alipopewa timu au gary nevile

wakimbiwa wakaifundishe swansea city haina kocha wanalala mbele
Mbaya zaidi huwaponda wachezaji wa kigeni ila wakiharibu wakiingereza wanamponda kocha hawa kina Paul scholes ni wanafiki sana.
 
FB_IMG_1515067977995.jpg
 
Manchester United has Extended the contract of Ashley Young, Ander Herrera, Daley Blind and Just Mata till Summer 2019!!
 
Mkuu lazima wapishane wajue utaratibu wa club ndo ya van gaal na wakina chicharito hiyo nzur watu wanachomolewa taratibu hata timu inakuwa na stabiity
Dah sawa mkuu ila mi nliona kuna aja kubwa ya kusafisha timu maana hadhi yetu inazid kushuka
 
Manchester United have opened talks with Jose Mourinho regarding an extension to his current contract, says Sky Sports.

The Portuguese coach penned three-year deal at Old Trafford upon his arrival in the summer of 2016 and the Red Devils are eager to fend off rumours suggesting he could cut his stay short.
 
wanaongea sana nao kwani beckham,cole,yorke na wakina soskjier hawaipend timu? kamnyoosha sana scholes muda wote kuwaponda tu wachezaj na kocha hata van gaal kuna muda walimpoteza uelekeo kampiga nyundo moja ya kichwa pwaaa

wamuulize maradona na ujuaji wake kaishia wap alipopewa timu au gary nevile

wakimbiwa wakaifundishe swansea city haina kocha wanalala mbele

Nakumbuka kipindi cha David Moyes hawa hawakufungua mdomo mpaka Moyes anatimuliwa. Lakini alivyokuja Van Gaala walianza kumponda sana na Mourinho na yeye wanamponda, ukiangalia wachezaji wetu wanaopondwa ni wawili au watatu.
Pogba, Lukaku na Martial, sijawasikia Rashford akipondwa kwa kukosa nafasi za wazi.
Nakumbuka 2012 Gary Neville aliletewa noma na Babu baada ya kumpiga mdomo David De Gea, pia Roy Keane alitimuliwa na Babu baada ya kuwapiga mdomo wachezaji wenzake.
Man United haina tabia ya kumvumilia yeyote anaepiga wachezaji wake mdomo, timu iko kulinda wachezaji wake.
Halafu hawa jamaa wana hasira sana baada ya Ed Woodward kuwakataa kwenye timu, Scholes alitaka kuwa kocha wa under 23’s lakini alikataliwa, Giggs alitaka kuwa kocha mkuu lakini alikataliwa tokea hapo ni mara chache sana anaiongelea Man United vizuri.
 
sawa ndugu kwa mawazo chanya. Hizo tetesi nimeziona kwa mbali,ila nimeona wanamzungumzia pia Lucas Moura Wa PSG. Ila naamini hata yule kijana tukimpata itakuwa ni addition nzuri sababu ana kasi na ujuzi mzuri pia. CR7 huwa simuamini hadi nione amekuja manake karibia kila msimu huwa anatingisha kiberiti ili aongezewe mkwanja pale Real.

Release Clause ya CR7 ni € 1 bilioni, hakuna timu itakayoweza kutoa hiko kitita.
 
Nakumbuka kipindi cha David Moyes hawa hawakufungua mdomo mpaka Moyes anatimuliwa. Lakini alivyokuja Van Gaala walianza kumponda sana na Mourinho na yeye wanamponda, ukiangalia wachezaji wetu wanaopondwa ni wawili au watatu.
Pogba, Lukaku na Martial, sijawasikia Rashford akipondwa kwa kukosa nafasi za wazi.
Nakumbuka 2012 Gary Neville aliletewa noma na Babu baada ya kumpiga mdomo David De Gea, pia Roy Keane alitimuliwa na Babu baada ya kuwapiga mdomo wachezaji wenzake.
Man United haina tabia ya kumvumilia yeyote anaepiga wachezaji wake mdomo, timu iko kulinda wachezaji wake.
Halafu hawa jamaa wana hasira sana baada ya Ed Woodward kuwakataa kwenye timu, Scholes alitaka kuwa kocha wa under 23’s lakini alikataliwa, Giggs alitaka kuwa kocha mkuu lakini alikataliwa tokea hapo ni mara chache sana anaiongelea Man United vizuri.

umeeleza vizur sana mkuu mi toka hao wakkna van gal na moyes wawepo nimeangalia mech kwa tabu sana ila kwa mourinho unajua tukitingwa hata suluhu ipo hawa ni kuponda tu tulipokuwa tunashinda zile nne wapo kimya mi nashukur mourinho alipomdungua tu
 
Back
Top Bottom