Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sir Alex Ferguson three years ago:

"Jesse Lingard is going to be some player,”

“He will become a player when he’s 22 or so. As an attacking midfielder he has got a really good talent. I think he will be a player we have high hopes for, definitely.”


Jesse Lingard Kwa Sasa Namkubali Ni Good Young Talented!

Lakini swali La Kujiuliza Ni Je, Ataweza Kuendeleza Consistency??
Asije Akavimba Bichwa kama Rashford??
Rashford alianza Vizuri tu, lakini alipoona anamwagiwa Misifa Kwenye kurasa zake za Twitter na Instagram Basi akaona Bora acheze na Mitandao Kuliko Kipaji Chake...
Sasahivi Kawa Kama Wabrazili.. (Adriano, Ronaldinho, Pato, De Lima etc)
 
Bado kuna watu watakwambia kuwa hatuna wachezaji ambao watawezesha united kucheza mpira mzuri..jana naamini mmeona tulivokuwa tunacheza kama timu inayojielewa..tunaitaji wachezaji wachache tu kusajiliwa ili kuboresha kikosi chetu..na wachache kuondoka kwenda kutafuta nafasi sehemu nyingine(blind,darmian,zlatan na mikhitaryan)

Lukaku ndo anayefanya tucheze mpira kama watu tusiokuwa na uwezo kwa kuwa akiwepo uwanjani yeye ndo anakuwa target,kross za ajabu ajabu na pia hata akipata mpira akiwa katikati first touch zake ni za ovyo ovyo.

We must try martial upfront,kwa sababu timu inacheza kwa kutokuwa na focal point,kitu kinachofanya kutokuzoeleka wakati wa kuattack kwani wale front three wanakuwa wanainterchange..naamini mliona mipira ilivokuwa inatembea vizuri,no hoofball anymore,na mipira ya juu na mirefu kulikuwa hamna kabisa.

Naamini ili pogba awe katika ubora wake ni lazima awe na jukumu kubwa tu la kuattack,na solution ni kucheza na three midfielders..kama kuna holding midfielder mwingine mzuri sokoni inabidi asajiliwe acheze na matic huku pogba akiwa free kufanya yake akitoke left side..hata gemu za mwanzo ambazo pogba alifanya vizuri,ilikuwa ni baada ya fellaini kuwa ameingia akicheza na matic..kiungo kama granit xhaka wa arsenal ni mzuri sana eneo hili..

Lingard is our best attacking player so far..ana football brain.

Nitashangaa sana mourinho akirudi kwenye fomesheni yake ya 4-2-3-1 ili aweze kumaccomodate lukaku..Mi naona ni vizuri tucheze 4-3-3..baadhi ya gemu lukaku aanzie benchi huku martial akianza upfront..mtu gani hawekwi benchi bana..

De gea
Lindelof rojo jones shaw
Herrera matic pogba
Mata martial Lingard
Hii ni kwa kipindi hiki cha injuries..

De gea
Valencia BaillyJonesShaw
Herrera Matic Pogba
Mata RL/Martial lingard
Hii ni tukiwa hatuna injuries..
 
Jesse Lingard Kwa Sasa Namkubali Ni Good Young Talented!

Lakini swali La Kujiuliza Ni Je, Ataweza Kuendeleza Consistency??
Asije Akavimba Bichwa kama Rashford??
Rashford alianza Vizuri tu, lakini alipoona anamwagiwa Misifa Kwenye kurasa zake za Twitter na Instagram Basi akaona Bora acheze na Mitandao Kuliko Kipaji Chake...
Sasahivi Kawa Kama Wabrazili.. (Adriano, Ronaldinho, Pato, De Lima etc)
Rashford hajawahi kuwa kwenye kiwango cha juu kama alichonacho jesse kwa sasa hivi..pia consistency yake mbona iko poa tu tokea gemu ya watford anacheza vizuri sana..
 
Jamani Mimi @King_Ngwaba Niambieni Ninaishi Sayari Gani???
Manake Katika Sayari ya Earth (Dunia) Sitegemei Kama Naweza Sikia Vituko Kama Hivi!!!

ههههههههههههههه
Upo kwa akina ma'alliens' babake
Ngoja tumnyofoe coutinho....,madridogs wamnyofoe kiberenge salah ndo ukenue nyambaf......,
 
Back
Top Bottom