Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mashabiki wengi wa Mau kwenye hili jukwaa ni wamejaa uswahili, h
timu ikifanya vizuri wanampongeza kocha na wachezaji, ila ikidraw basi lawana tele. Kuna watu wanakosoa mbinu za mwalimu wakati wenyewe wakipewa hata chekechea hawawezi kufundisha. Tuwe na ushabiki na pia tuweze kukubaliana na yale timu inafanya, huku kuna watu wanaongea mbovu utadhani hata wana hisa kwenye club
Ni kwamba unataka kila mtu/shabiki afikiri ufikirivyo wewe?

Kuweza kufundisha chekechea na kuwa na hisa katika club kuna uhusiano gani na ukosoaji wa mbinu za Mou?

Kila shabiki anayo uhuru wa kukosoa na kufurahia timu jinsi atakavyoona inafaa kwasababu aliamua kuipenda timu mwenyewe,sio wewe wala mimi tuliomshawishi aipende timu!
 
£90m overrated flop Paul Pogba in the PL:

Games - 12
Assists - 7

World Class best midfield player in the world Kevin de Bruyne in the PL:

Games - 21
Assists - 9

[HASHTAG]#mufc[/HASHTAG]

Unajua hii timu ina maadui wengi yule mshambuliaji wa arsenal anaenda mech ya 6 bila goli watu wapo kimya ila lukaku ukawa wote wanamtolea macho
 
Manchester United inaifunga Everton katika mchezo wa 35 wa Premier League - inakuwa ndio timu ambayo imeifunga mara nyingi zaidi katika Ligi tangu mwaka 1992.
 
Ni kwamba unataka kila mtu/shabiki afikiri ufikirivyo wewe?

Kuweza kufundisha chekechea na kuwa na hisa katika club kuna uhusiano gani na ukosoaji wa mbinu za Mou?

Kila shabiki anayo uhuru wa kukosoa na kufurahia timu jinsi atakavyoona inafaa kwasababu aliamua kuipenda timu mwenyewe,sio wewe wala mimi tuliomshawishi aipende timu!
Kwa lugha rahisi ni kuwa kuna watu wanakosoa vitu kuhusu hiyo timu bila kuwa na legitimacy, either ya ufahamu au umiliki. Shabiki ni vizuri ukajua limits zako.
 
Ni kwamba unataka kila mtu/shabiki afikiri ufikirivyo wewe?

Kuweza kufundisha chekechea na kuwa na hisa katika club kuna uhusiano gani na ukosoaji wa mbinu za Mou?

Kila shabiki anayo uhuru wa kukosoa na kufurahia timu jinsi atakavyoona inafaa kwasababu aliamua kuipenda timu mwenyewe,sio wewe wala mimi tuliomshawishi aipende timu!
Kwa lugha rahisi ni kuwa kuna watu wanakosoa vitu kuhusu hiyo timu bila kuwa na legitimacy, either ya ufahamu au umiliki. Shabiki ni vizuri ukajua limits zako.
 
Sawa na yako tu mech mbili au tatu gereji
Hehee.. Mi nina afadhali asee. Nikienda gereji ni sevirce ya uhakika. Nikitoka nimetoka kweli. Ila we unaweza kwenda ukalala siku mbili huko wakati huo mi napiga kazi huku
 
FB_IMG_1514837713120.jpg
 
Thierry Henry: “Today was vintage Juve Pogba. When he plays at that level, he’s almost unplayable. He changed the second half, that’s what you do as a captain. When he plays like that on the left coming in, being free, he’s very difficult to stop. He acted like a captain.”
FB_IMG_1514838010568.jpg
 
Unajua hii timu ina maadui wengi yule mshambuliaji wa arsenal anaenda mech ya 6 bila goli watu wapo kimya ila lukaku ukawa wote wanamtolea macho
Kuna mtu gunners haimtoki kinywani....,yaani raha yake aiongelee2...….,cjui tatizo nn!!!
 
Nilisema Hivyo Kwasababu Kuna Mashabiki Wanashindwa Kusimamia Hoja Zao! Leo Kabla Ya Game Mpaka Half Ya Kwanza inamalizika Nilikuwa Nasoma Comments tu Hapa Bila ya Kureply Chochote hatimae Nikagundua Kuwa Comments za Kipindi Cha Kwanza Ni Tofauti Na Za Kipindi Cha Pili.
Hahahaha haya mambo hayajaanza Leo mkuu
 
Kushabikia mpira raha sana,

Licha ya kuisupport timu yako sometime inabidi uwe shabiki wa mahasimu wako.

Arsenal nendeni mkashinde sasa, au hata draw sio mbaya.

Mkishwindwa mpigwe nyingi
 
Lindelof anastrugle sana akicheza fullback
Bila kuathiri furaha yenu, naomba nikubaliane na sentensi yako. Huyo dogo defence imemshinda.

Baada ya hayo niwatakie heri ya mwaka mpya. Tarehe 03 tunawarudisha nafasi yenu ya 3.
 
Back
Top Bottom