Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,726
Sijaelewa liver kashindaje dah inabidi wachezaji wetu wakaze sana aisee.. Timu nyingine wachezaji wanafight mpaka dakika ya mwisho yani.
Tuombee hivo mkuu maana kuna walio nyuma yetu wanakuja kwa kasNaona kikosi cha leo kipo tofauti kidogo wanaweza wakatufurahisha
Mkuu Nina waswas kweliSijaelewa liver kashindaje dah inabidi wachezaji wetu wakaze sana aisee.. Timu nyingine wachezaji wanafight mpaka dakika ya mwisho yani.
tupo wengSisi mashabiki wa Everton tumekuja kupiga kambi hapa kwa muda.
Hepi nyu yia....
Punguza ukali wa maneno mkuuEverton piga hawa mbwa
Everton piga hawa wachovuPunguza ukali wa maneno mkuu
Fabio Capello serious ?Hii team inahitaji kocha aina ya Fabio Capello au Ancelot