Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakuu hii mechi nimeikuta katikati. Sasa kuna Ibra,Lukaku na Rashford formation gani inachezwa leo? Ibra needs service,Lukaku needs service hata Rashford anahitaji apasiwe afunge sasa hii mizigo mitatu kweli kuna balance?
 
Wakuu hii mechi nimeikuta katikati. Sasa kuna Ibra,Lukaku na Rashford formation gani inachezwa leo? Ibra needs service,Lukaku needs service hata Rashford anahitaji apasiwe afunge sasa hii mizigo mitatu kweli kuna balance?
Ndio mfumo wa kocha ngoja tuangalie ila boxing day uwa aimuachi mtu salama
 
Speechless...... 2 goals kipindi cha kwanza afu home khaaaa!!!!! Top 4 tutakuwepo kweli???
 
Pamoja na hali ngumu iliyopo (majeruhi wengi, Mou kubaniwa mkataba, kutoa draw mechi ya ushindi wa wazi last week) lakini Leo Burnley lazima wakae, lazima wapigwe vizuri. All the best MUFC.
Jirani vipi matokeo? Ukumbuke kunitag!!!
 
Back
Top Bottom