Zlatan anatucheleweshea ushindiTunapigana lakini mhh childish inasumbua pale mbele
Pole mkuuWachezaji wanacheza ilimradi wakati wa kushambulia utakuta mtu mmoja ktk box
hahahahaha unachekesha kweli kweliUCL tumetolewa?
sasa kwenye Uefa napo unategemea hahaha dah!Hizo ni khabari za uhakika mze.Wameleta ofa au unasoma udaku? Nyie kombe gani mnalotegemea?

Sawa mkuuLeteni updates plus team news achaneni na haters tuliteteleka ila leo tunatoa kipigo cha mbwa mwizi. Sisi 4 wao 0
#GGMU#
Rashford ndio anatuchelewesha yeye ndio mwenyewe speed poor lakiniZlatan anatucheleweshea ushindi
Tatizo la mournho anaua vipaji, angalia lukaku wa Everton alikuwa on fire, lakin huyu wa man u daah! mech kumi on target moja.Giant wa england ukamfananishe na aston villa

Imeshashindikana.Mnashinda 2/1
