Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Point number tatu, nipo wrong but hizo mbili am 100% sure.

Lecazatte +ozil + Sanchez =15
Lukaku= 10

But sema hivi;
Lacazette 8
Lukaku 10
Halafu angalia na dakika walizocheza
Ozil ni kiungo c mshambuliaji

Hapo hutakuwa umekosea
 
Reports claim Manchester United have entered the race to sign Eden Hazard!
25550356_10155993542668598_4798496544158236295_n.jpg
 
Marcus Rashford has had a hand in 16 goals (nine goals, seven assists) in 27 appearances for Manchester United in all competitions this season, one more than he managed in the entirety of 2016-17 (15)
25446188_10155991766743598_7971404789509675286_n.jpg
 
Nakuongelea wewe, siyo fans in general! Mzee inawezekana una comprehension deficiency. Yaani unarukaruka kama mahindi kwenye popcorn machine! Kwani nafanya discussion na fans wote ama wewe?

Do you have membership card? Have you ever bought a ticket to from United’s ticket sales? Do you have even a genuine United’s merchandise?

Anyways, I’m not going to respond to you anymore. You have so much negativity that I don’t want to read or hear in this festival season!

One love!
Mwenye haki ni mwajiri wake, the Glazers na bodi ya United. Pili, huchangii hata senti 1 kwenye majukumu ya José pale OT! José hawajibiki kwetu sisi mashabiki.
Ona ulichoandika mwenyewe.... JOSE hawajibiki kwetu sisi MASHABIKI au umesema hawajibiki kwako CHILUBI?

How do you know kama sina membership? what if i had the membership card? au How do you know sina original merchandise from Man utd? Usichukulie all fans ni sawa na wewe. Na ndio maana ukasema jose anawajibika kwa Board tu, hii kauli ilitosha kumaanisha kuwa fans hawana effects..... Seems like kuna mambo mengi huyajui, Man Utd kwenye ukurasa wao wa insta wanasherekea kupata 20 million followers, ivi unafikiri wale wote wamechangia senti ata moja direct? Fan base ni very important kwenye business kama hujui....

Pretending to be a football but you dont know how important a fan is.....
 
Mourinho kafungwa mechi mbili tu OT, sasa unavyosema timu zinakuja OT kuchukua points 3 sikuelewi. Umeandika mambo mengi lakini yote hayana maana.
Ndio, timu zinapokuja trafford au hata kwao zinakuja zikiwa na belief kuwa tunaweza kupata point 3. Hio kucheza 40 games at home unbeaten sio sababu ya kuifanya timu kuiogopa MU. MU haitishi kama ilivokuwa inatisha, saivi tunajulikana kama wazee wa kupark basi tu. Ata WBA game ya juzi wameonesha ari ya kusaka magoli...... Ivi hushangai kwanini timu hizi hizi ambazo ni miwa zinapoenda kucheza na Arsenal au MC au LFC huwa zinahaha kama mtu aloanguka na kifafa lakini wakija kucheza na MU wanajikaza?
 
Ndio, timu zinapokuja trafford au hata kwao zinakuja zikiwa na belief kuwa tunaweza kupata point 3. Hio kucheza 40 games at home unbeaten sio sababu ya kuifanya timu kuiogopa MU. MU haitishi kama ilivokuwa inatisha, saivi tunajulikana kama wazee wa kupark basi tu. Ata WBA game ya juzi wameonesha ari ya kusaka magoli...... Ivi hushangai kwanini timu hizi hizi ambazo ni miwa zinapoenda kucheza na Arsenal au MC au LFC huwa zinahaha kama mtu aloanguka na kifafa lakini wakija kucheza na MU wanajikaza?

Kama hizo timu zikikutana na Arsenal zina haha mbona Arsenal yuko nafasi ya 5 na Man United ambayo haigopeki iko nafasi ya pili? Na Pale OT wameruhusu goli 3 tu msimu huu, pale Emirates wameruhusu goli 7, je ni nani anaogopwa akiwa kwake?
 
Kama hizo timu zikikutana na Arsenal zina haha mbona Arsenal yuko nafasi ya 5 na Man United ambayo haigopeki iko nafasi ya pili? Na Pale OT wameruhusu goli 3 tu msimu huu, pale Emirates wameruhusu goli 7, je ni nani anaogopwa akiwa kwake?
Kama ntakuwa sikosei, hata Man city wamefungwa magoli 7 wakiwa kwao, lakini ni big threat in his home turf than Man utd. A threat comes when you play attacking football. Arsenal was a threat when they play United, we were opportunists. Shots 33 arsenal wamepata kwa 8 za MU....

Ndio maana nakwambia Timu nyengine zikija Trafford zinaamini zinauwezo wa kupata magoli kwa jinsi wanavopata chance za kushambulia mara kwa mara.... kwa sababu tunawaachia wacheze wanavotaka.... kitu ambacho wenzetu hawaruhusu adui akae na mpira akiwa huru.

Ila mkuu kama unaiona MU inatisha kwenye epl, bora nikae kimya tu. Ndio maana tunatafuta droo tukicheza na timu kubwa. Halafu nnachoshangaza MOU analamika anasema timu zikija trafford zinakuja kudefend tu, wakati yeye mwenyewe ndio mchezo wake....
 
Kama ntakuwa sikosei, hata Man city wamefungwa magoli 7 wakiwa kwao, lakini ni big threat in his home turf than Man utd. A threat comes when you play attacking football. Arsenal was a threat when they play United, we were opportunists. Shots 33 arsenal wamepata kwa 8 za MU....

Ndio maana nakwambia Timu nyengine zikija Trafford zinaamini zinauwezo wa kupata magoli kwa jinsi wanavopata chance za kushambulia mara kwa mara.... kwa sababu tunawaachia wacheze wanavotaka.... kitu ambacho wenzetu hawaruhusu adui akae na mpira akiwa huru.

Ila mkuu kama unaiona MU inatisha kwenye epl, bora nikae kimya tu. Ndio maana tunatafuta droo tukicheza na timu kubwa. Halafu nnachoshangaza MOU analamika anasema timu zikija trafford zinakuja kudefend tu, wakati yeye mwenyewe ndio mchezo wake....
Naomba takwimu zinazosapoti maelezo yako.
 
Tetesi
MAN UTD YATENGA £60M KUMSAJILI SANDRO


Manchester United wanajipanga kutoa kitita cha paundi milioni 60 kwa ajili ya beki wa Juventus Alex Sandro uhamisho wa Januari, kwa mujibu wa Daily Mirror .
Bosi wa United amekuwa akivutiwa na kazi ya Mbrazili huyo mara kadhaa kwani anataka kuimarisha zaidi safu yake ya mabeki Old Trafford.
 
Tetesi
DORTMUND WANANAMTAKA MKHITARYAN WAO


Borussia Dortmund wanaendelea kuonyesha nia ya kumrejesha mshambuliaji wa Manchester United Henrikh Mkhitaryan kwenye klabu yao, kwa mujibu wa The Independent .
Mkhitaryan aliondoka Dortmund kutua Old Trafford majira ya joto 2016, lakini mchezaji huyo wa kimataifa wa Armenia ameshindwa kuleta ushawishi chini ya Jose Mourinho.
Bosi wa United hajakataa uwezekano wa kuuza wachezaji Januari, na kufuatia habari zilizojiri anaweza kumruhusu Mkhitaryan kurejea Bundesliga na kumruhusu Mourinho kumsajili Julian Weigl.
 
Back
Top Bottom