Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lakini kuna mechi kadhaa, hata ile ya Manchester City, aliwaanzisha kwa pamoja.
Kabla ya ile mechi kuanza, niliandika humu tutakuwa outnumbered and outplayed in midfield and that what happened. Mechi iliofuata akamuweka mmoja bench na kumuongeza Mata tukashinda kama leo. Tofauti ni nini? Ni hivi Martial na Rashford wote wanacheza pembeni hivyo katikati anabaki Herera na Matic vs 3 or 4 opponent's midfielders, ila Mata akiwepo anaingia kati hivyo kunakuwa na Mata,Matic,Herrera timu inakuwa na balance.
Pogba akirudi Mata bench kwa mechi ngumu atabaki Herera ,Matic na Pogba mechi ikiwa laini Mata ataanza.
 
I cant believe what you are saying. I cant believe if you are really a football fan. You are ruling out fans? Kweli hujui football ndugu yangu, hujui effect ya fans kweli?

Old Trafford ticket Sales, ambazo wananua FANS sio GLAZER, tutizame cheapest season ticket ambayo ina cost 798 Pound, multiply 70,000 (achie hizo tickets wanazouziwa away teams, also Old trafford kila match ni 99% full kama sikosei) inatupa total ya 55,860,000 pounds in one footbal year, Pogba shirts, ambazo wamenunua FANS sio Glazer family, ime amount to 190m pounds in just first week.

Heh!! Hebu vutia picha, leo all MU FANS wagome for the whole season kwenda uwanjani, wagome kununua hizo shirt sales, tuone kama they will be the same....

Nzi you shoudl doubt yourself na sio others, if you think fans dont play an important role in MU club. Duh! yaani ndio unajio wewe football fan kisha unasema fans hawana haki ya kuhoji au mie sichangii ata shilingi moja, unatambua kama kuna MEMBERSHIP CARD? zinatolewa bure hizi?

Nakuongelea wewe, siyo fans in general! Mzee inawezekana una comprehension deficiency. Yaani unarukaruka kama mahindi kwenye popcorn machine! Kwani nafanya discussion na fans wote ama wewe?

Do you have membership card? Have you ever bought a ticket to from United’s ticket sales? Do you have even a genuine United’s merchandise?

Anyways, I’m not going to respond to you anymore. You have so much negativity that I don’t want to read or hear in this festival season!

One love!
 
ccf2c86284d463efda5c32bf67a83ee0.jpg

Sina maana mbaya
 
Kabla ya ile mechi kuanza, niliandika humu tutakuwa outnumbered and outplayed in midfield and that what happened. Mechi iliofuata akamuweka mmoja bench na kumuongeza Mata tukashinda kama leo. Tofauti ni nini? Ni hivi Martial na Rashford wote wanacheza pembeni hivyo katikati anabaki Herera na Matic vs 3 or 4 opponent's midfielders, ila Mata akiwepo anaingia kati hivyo kunakuwa na Mata,Matic,Herrera timu inakuwa na balance.
Pogba akirudi Mata bench kwa mechi ngumu atabaki Herera ,Matic na Pogba mechi ikiwa laini Mata ataanza.
Siku hizi Utd ni underdogs tu...

Ata OT wanajihami na kupaki basi
 
Nakuongelea wewe, siyo fans in general! Mzee inawezekana una comprehension deficiency. Yaani unarukaruka kama mahindi kwenye popcorn machine! Kwani nafanya discussion na fans wote ama wewe?

Do you have membership card? Have you ever bought a ticket to from United’s ticket sales? Do you have even a genuine United’s merchandise?

Anyways, I’m not going to respond to you anymore. You have so much negativity that I don’t want to read or hear in this festival season!

One love!
anazingua huyu atuachie Manchester united yetu
 
Back
Top Bottom