Waseme
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,611
- 4,119
Mimi zaidi mpenzi, karibuAroooo!!! Nimekuham sana dear...

Mimi zaidi mpenzi, karibuAroooo!!! Nimekuham sana dear...

Asante sana dearMimi zaidi mpenzi, karibu![]()
HBD mama, kumbe mshale mwenzangu.....enjoy your day sweetheartThank you Manchester United mmeifanya siku yangu kuwa mwaaaaa!!! Happy birthday to me.

Asante dear, kumbe na wewe eeeeeehhhhh!!!! Happy birthday to you.HBD mama, kumbe mshale mwenzangu.....enjoy your day sweetheart![]()
![]()
Yah nimekutangulia kidogo thoAsante dear, kumbe na wewe eeeeeehhhhh!!!! Happy birthday to you.

Thank you Manchester United mmeifanya siku yangu kuwa mwaaaaa!!! Happy birthday to me.
Thank you Manchester United mmeifanya siku yangu kuwa mwaaaaa!!! Happy birthday to me.
Vya mtu huliwa na mtu njooni chumbani haraka sn niwape dawa nyie watoto wa MourinhoNipo boss..
Ila ukiona sipo huku ujue ni vimajukumu tuu vya kutafuta mkate vimenizidiaaa
Aroooo!!! Nimekuham sana dear...
AROOOOO,!!! Pacha missing you so much.
Hbd to you na ushindi juuAsante dear, kumbe na wewe eeeeeehhhhh!!!! Happy birthday to you.
Usishituke weye kuona mambo mapya ni hapa kz tu....Asante dear, kumbe na wewe eeeeeehhhhh!!!! Happy birthday to you.
Hio haina tofauti yoyote na ya Arsenal. Shots nyingi harmless ila ukisoma hio chat unaweza kudhani kuna cha maana sana.Ya liver hyo
Hivi kweli kipa anaokoa magoli ya wazi 7, 8, hadi 10 halafu unaishia kusema hii haimaanishi tuna beki mbovu bali tuna kipa mzuri! Hainiingii akilini.Hio haina tofauti yoyote na ya Arsenal. Shots nyingi harmless ila ukisoma hio chat unaweza kudhani kuna cha maana sana.
Mtu anaweza kuwa na shots on target 10 lakini ni zile tunaita routine saves....mwingine ana shot on target tatu mbili goal kwasababu zote ni matikeo ya clear cut chances rather than hopeful shots.
Mechi gani kaokoa magoli 8 au 10 YA WAZI?Hivi kweli kipa anaokoa magoli ya wazi 7, 8, hadi 10 halafu unaishia kusema hii haimaanishi tuna beki mbovu bali tuna kipa mzuri! Hainiingii akilini.
Mechi ya Arsenal alifanya saving 14Mechi gani kaokoa magoli 8 au 10 YA WAZI?
Hatuelewani lugha. Siku njema.Mechi ya Arsenal alifanya saving 14
You cant win Ballon D'or for just scoring against FC Bournemouth and the likes....!Mo Salah for Ballon D’or
Na kwako pia ndugu. Kuhusu lg kuna siku tutaelewana tuHatuelewani lugha. Siku njema.
We aim for 3 points.Siku hizi Utd ni underdogs tu...
Ata OT wanajihami na kupaki basi