humphreygm
Member
- Oct 8, 2017
- 11
- 13
huyu kweli anaonekana shabiki maandazi atuachie manu yetu.
Labda ulivofupisha atakuelewa ndugu yangu.... Nilichokisoma kwake mdau sijawahi kukisikia kutoka kwa football fan yoyote.Mkuu umepoteza muda kuelezea sana wewe mwambie tu football team ni muungano wa vitu vitatu(wachezaji,makocha na mashabiki)
Noma sana....Valencia injured...hamstring
Hv tuanzebe ni namba ile eeh...Valencia injured...hamstring
Sina uhakika ila kuna Darmian,Young wote wanaweza kucheza hukoHv tuanzebe ni namba ile eeh...
2-0 wana sababu gani ya kukimbizana wajichoshe au waumie December hii? Jumatano kuna mechi,jumamosi mechi yaani kila siku tatu mechi mpaka mwaka mpya.Duh tunaingia lakini team inacheza slow sana wachezaji awachangamki awana speed
Nimekusoma mkuu umeonamechi ishakuwa ngumu kwa kacheza kwa kujilinda wakati mechi nyepesi ilikuwa tusiangalie mechi kishabiki2-0 wana sababu gani ya kukimbizana wajichoshe au waumie December hii? Jumatano kuna mechi,jumamosi mechi yaani kila siku tatu mechi mpaka mwaka mpya.
Usiogope clean sheet kuharibiwa ogopa kugawana pointClean sheet imeharibiwa.
ukabaji wetu poor angalia Rashford ana make kwa kupiga magotiBinafsi huwa naamini kuwa magoli ya kona ni uzembe wa safu ya ulinzi isipokuwa goli la Kichua alilotufunga kimiujiza dk ya mwisho.