Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tushakupuuza sisi we hangaika ukitoka hapa nenda kule madrid


Pia sijui wapi nimemlinganisha lukaku na lacazatte mara sijui rooney mara sijui ibra upo sawa sawa wewe kichwani kweli wenger hajakuacha salama fuatiia tunachopost wenzio halafu angalia na utumbo unaojibu utajigundua dish limeyumba lukaku kwa kukusaidia hajafeli ana goli 9 na assist 4 uefa ana goli 4 huoni kama faida?
Paniki 2 mkubwa hujazuiwa
Aliyemponda lacazette hapo juu ni nani si ww? Na wakati unatambua kuwa una straika anayefunga kwa machale
Usiniambie mm mambo ya kwenda madrid ka umeipenda thread yao nenda
Naomba niachane na wewe endelea na timu yako
 
Dogo akili yako haiko sawa wapi kwenye coment yangu nimeizungumzia barca uwezo wake sawa na united? Nimezungumzia vizaz na upitaji wao na amekujaje hapa haya tuje kwa huyo huyo uliemleta.


Barca wana mpira gani wewe? Hata mm nshamnyoosha mara mbili zote nusu fainali na nimenyakuwa ndoo kupitia barca labda kwa kuwa anawafumua arsenal kila mkikutana nae hatua ya 16 mnarud kwenu umamua kuhamia barca



Nakuuliza msimu ulioisha pep kabeba nn na mourinho kabeba nini unatoa maelezo yasiyo na tija alipigika kisawasawa had kawakimbilka wakina walker yule angepewa united angeishusha daraja muone mourinho had muda huu hana papara wakina lingard wanapata namba na wanakufumua.
Barca wana mpira gani!!!,sawa
Barca nimempiga nikaingia fainali!!!,sawa.Hizi ndo hoja zako mkuu.Ndo maana nasemaga mashabiki wa man èstám'oçhàbrè
Ww una ubav gn wa kusimama mbele ya barca.Sawa mlimtoa semi final next year si mlikutana tena? Tena mlikutana fainali alichowafanya cjui.After 2 years mkakutana tena,cjui alichowafanya tena.
Ndo mmebaki kushangilia hivyo cjui tulimtoaga,cjui tunauza sana jezi coz mataji yamewakauka

Ignore me.Endelea kuishabikia timu yako.Thread za arsenal,barca zipo.Kaponde hukohuko ukijisikia.
 
Daaa ndugu umeongea kwa uchungu na ukweli mtupu, mimi sijui wanaomtetea Mou kwa hii staili ya uchezaji wanapata wapi uhalali huo. Nadhani hata utamaduni wa klabu yao ule ambao mashabiki pale OT wamekuwa wakifanyia chanting Attack! Attack! Attack! Hawaujui.

That is what is missing, mechi ile juzi city fans wanaimba park the Bus park the Bus manutd!!! Let him play his defensive football, but that should be the last resort. Man utd lack motivation and the need to shut their rivals.

Time has changed, ilikuwa vita baina ya MU na Liver, imekwisha imeingia MU na Arsenal, imekwisha, sasa ivi MU haina vita na yoyote, Kuna vita ya Mourinho na Guardiola na Guardiola hana time nae sasa ana focus kwenye kujenga MC. The Fall of MU and the rise of MC itatokea ikiwa MU board is not serious about football anymore.
 
It is not manchester united,It is united of manchester
Sijaelewa hoja yako apa, lakini naweza kusema kuwa, kwa ulichoandika hakina maana mbaya wala kama leongo ilikuwa ni ku mock us, i find it a big failure.
 
Povu lako hilo ulilolitoa kwenye post yako
Aisee we jamaa unachekesha.Kule kwetu umepakimbia naona umeamua kurudi kwenu kulia na wenzako
Ukuje ukuje usiwe unakimbia
Mwanaume hakimbii
Quote me and ofcourse iw ill respond, nimeona kimya nkajua tayari mmemaliza kutafakari, eti msimu alochukua ubingwa Man utd kombe kapewa Arsenal?
 
Mkuu chilubi lingard,rashford,martial,lukaku hapo nani mkabaji? Hapo hamna mchezaj wa kukaa ni mipira mguuni hao wote washambuliaji wakukimbia unapoambiwa tumemkosa pogba sio kwa bahat mbaya angekuwepo hao unaowaona wana madhara sana ila hatukuwa na pogba ndo mana timu yetu ilihangaika sana katkat kiungo cha kuokota mipira hapo kama uliona silva aliokota mipira mingi katkat sikuona kupak bus hapo ndo mana tumefungwa kizembe kwa kuwa hata goli zao uliona city hawakuwa kwenye ubora wao ila sio timu ya kubeza ni timu nzur sisi shida ni namba 10 tu angalia makosa ya otamend na company utajua hilo

Wakienda na trend hii city ya zile beki pale anfield itakiwa habar nyingine hata kwa chelsea tu usiangalie kufungwa kwake.
Mkuu unasema hukuona tukipaki bus? Unatania ukisema ivo. We parked the bus. Na sio sawa hasa kocha kutwambia eti Pogba is not in the team ndo mana tukafungwa. Yes Pogba ni important, but as a manager, you should have a back up. and he had time to prepare for that. The moment P amepewa Red Mou anatakiwa awe ashajua what to do.

Rashford, Lukaku and Martial, that was an attacking team from PAPER, but in reality, Mou ametudanganya. That was not the plan at all to attack.

Magoli ya Man city ni kweli ya bahati, lakini i can say THE DESERVED THEM, kwa sababu they showed they wanted to score against us and we showed them we want a draw!

I think its time MOU go, not because we loose, but because of the way we play, we play like pussies against our rivals, and that is just not us
 
Sijaelewa hoja yako apa, lakini naweza kusema kuwa, kwa ulichoandika hakina maana mbaya wala kama leongo ilikuwa ni ku mock us, i find it a big failure.
Perhaps,you may be correct according to your view
But,haitabadilisha ukweli juu ya timu yenu ya sasa
Man u is a good team,Yes. Are you capable enough to compete with best teams in Europe? I really don't know the correct answer of such a question
 
Quote me and ofcourse iw ill respond, nimeona kimya nkajua tayari mmemaliza kutafakari, eti msimu alochukua ubingwa Man utd kombe kapewa Arsenal?
Mlichukua ubingwa halafu kombe tukapewa sisi? Mmhhhhh hayo ni mameno yako mwenyewe mi cjaandika hivyo
By the way man u fans mnanichosha.Mnafanya napoteza time sana kisa kuqoute post zenu
Asee baki na endelea na timu yako.Yamkini utaokota hela
 
Mourinho on his future

I said a three-year contract because it was the time myself and the owner and the board we decided on. I knew it wasn’t going to be an easy job. I had that experience before. We go to clubs with a huge history where people look to the history and not to the moment and expectations are high. The job is difficult but I’ve had that experience before in other clubs.

I told that before when I go to Madrid we were in a difficult moment, no league title or cup, not even a Champions League quarter final for many years so it was hard. But it was good and it was good for my development as a manager too.

DN

FB_IMG_1513430672228.jpg
 
Ndio maaana nakwambia humjui Mourinho,approach ya Mourinho kwenye big match haijawahi kubadilika.SAF aliwahi kumfunga Mourinho mora moja tu kwenye EPL na huwa anafungwa na timu ndogo kuliko timu kubwa sababu ya hiyo approach since yuko Chelsea alivyoenda Madrid akarudi Chelsea same approach.Chelsea iliitwa timu ya kupaki bus sababu ya Mourinho

Correct me if i am wrong, MOU parking the Bus ameanza Inter not Chelsea. SAF kutomfunga Mou tayari it is proving my point, kwamba Mou wa sasa sio yule wa mwanzo, kwa sababu kama SAF anacheza sasa with his style, Mou analiwa, maana MU ya SAF hawaweki mapambo harusini, wakilisogelea goli tu, wanasukuma rungu. MOU yule alihakikisha Chelsea inakuwa timu tishio alitengeza timu ambayo ilibalance kwenye section zote, Defense walikuwa vizuri, mido palikuwa vizuri na ukija uko mbele ukiambiwa ummark Drogba kichwa kinaanza kuuma. Chelsea ilikuwa chelsea wakati wake, na foundation aloiacha chelsea ndio mpaka sasa imekuwa bado iko top 4. MOU sasa amekwisha, sikatai kila kocha ana falsafa yake, ata LVG alikuwa na falsafa yake, cheza pasi magoli si lazima, David mayai nae cheza kiudosho lakini usijue unafanya nini. MOU, park the bus tupate 1 point.

Usibishe kabisa ukanambia MOU ndio yule yuleeee...... maana basi kaanza kupark inter, apo tayari kashatimuliwa chelsea.
 
Mlichukua ubingwa halafu kombe tukapewa sisi? Mmhhhhh hayo ni mameno yako mwenyewe mi cjaandika hivyo
By the way man u fans mnanichosha.Mnafanya napoteza time sana kisa kuqoute post zenu
Asee baki na endelea na timu yako.Yamkini utaokota hela
katika ule uzi wenu, kuna mwenzako alikuja kutetea kuchukua back to back title, akaitaja mismu miwili mfululizo ambao mmoja kachukua arsenal na mwengine Man utd..... akadai yote kachukua arsenal kisha anajiona ndo mfatiliaji wa mpira wa zamani.....

Unajua nyie mashabiki wa arsenal mnanifurahisha, kwa sababu hamuna vision lakini mnajifanya mna vision.... Anyways ukitaka nireply from what you said niquote kama unavofanya ivi ili nijue kama kuna response inanihusu eti.
 
Perhaps,you may be correct according to your view
But,haitabadilisha ukweli juu ya timu yenu ya sasa
Man u is a good team,Yes. Are you capable enough to compete with best teams in Europe? I really don't know the correct answer of such a question

Hii ni ajabu kuona mshabiki wa arsenal, akijaribu kuukubali ukweli. Player wise, Man utd is capable of competing with the best teams in Europe, tena naona this time, inaweza kabisa. I personally was dissapointed kuona tumepangiwa Sevilla. Hamu yangu ilikuwa nikutanishwe aidha Real madrid au Barcelona, sio sevilla.

Lakini all in all, naamini timu ambayo inaweza kuitoa MU UEFA ni timu kutoka Uingereza. Ndio ninawapa probability kubwa
 
Hii ni ajabu kuona mshabiki wa arsenal, akijaribu kuukubali ukweli. Player wise, Man utd is capable of competing with the best teams in Europe, tena naona this time, inaweza kabisa. I personally was dissapointed kuona tumepangiwa Sevilla. Hamu yangu ilikuwa nikutanishwe aidha Real madrid au Barcelona, sio sevilla.

Lakini all in all, naamini timu ambayo inaweza kuitoa MU UEFA ni timu kutoka Uingereza. Ndio ninawapa probability kubwa
Si kuukubali ukweli huo ndo ukweli
Cjaona timu mbovu top six nzima

Timu za Hispania ni sumu kwa timu za England.Huyohuyo sevilla muulize liva shughuli yake.Anaonewa kila kukicha uefa,uropa
Umesahau sahivi tu shughuli ya Vigo?
Mm nnayempa nafasi ya kufika mbali ni city.Man siwaamini bado
 
Tushakupuuza sisi we hangaika ukitoka hapa nenda kule madrid


Pia sijui wapi nimemlinganisha lukaku na lacazatte mara sijui rooney mara sijui ibra upo sawa sawa wewe kichwani kweli wenger hajakuacha salama fuatiia tunachopost wenzio halafu angalia na utumbo unaojibu utajigundua dish limeyumba lukaku kwa kukusaidia hajafeli ana goli 9 na assist 4 uefa ana goli 4 huoni kama faida?
Akiendelea kupayuka payuka kama mwehu, we mpuuze wala hata usiumize kichwa kumjibu.
 
Back
Top Bottom